Mawaziri hawa watano utumishi wao haujatukuka

Kuna mmoja anasura ya songesha na mwingine nipigetaf
 
Kunaumuhimu mawaziri Hawa wawe wanaomba hizo nafasi Kwa vigezo ,nadhani ndohoja yake
Hoja yake wawe wamepitia utumishi Sasa Si tutatengeze gang la wababe maana watumishi wataona wao ndo wanahaki ya kushika nyadhifa za kisiasa na fursa ya kuingia kwenye siasa ni nyembamba
 
Anza na mkuu wao ambaye kilembe kinampwaya! Hana ubavu wa kuongea lolote baada kuhonga bandari zetu kwa wajomba! Mwanae anampa uwaziri usiokuwepo!
Kiongoz pekee aliyeweza kuratibu rushwa na kugawa raslimali zote!
 
Huelewi unachosema. Hakuna uhusiano huo unaodai wewe. Hata hao unaowaona wewe wanafanya vizuri sio wote wametokea huko utumishi wa umma. Kwani huko idarani hakuna mapungufu? Halmashauri hakuna rushwa? Hakuna deals?
Halafu umefikiri vizuri au umeongea utoto tu?
Elewa kuwa changamoto zote unazoziona ni za kimfumo! Kuanzia katiba hadi sheria zake.
Mfano tu hapa.....Donald Trump angekuwa kiongozi wa hovyo sana kwa tabia zake kule USA. Hata matokeo ya uchaguzi angeweza kugomea.Lakini kilichosaidia ni uimara wa mifumo yao.
 
Wewe tangu kujitambua kwako umepigia kura marais wangapi? Ni nani kati yao kaifata na kaisimamia hiyo sheria?


Rais ni mtumishi wa Ummah ama Serikali?

Mipaka ya ummah na serikali iko wapi na inalindwa na nani?
kama huelewi kitu Bora unyamaze, hivi unafikiri waliowekwa hizo Sheria ni wajinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…