permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
PhD nyingi za wanasiasa ni michongo mitupu, hapo ma supervisor wa (wanasiasa) ilibidi wajiongeze kwa kuwaandikia hizo thesis kwa lengo la kupata uteuzi.Unahakika gani hama huyu mzaramo naye hajaandikiwa[emoji851][emoji851]
Umemaliza mkuu[emoji1316][emoji1316][emoji1316]PhD nyingi za wanasiasa ni michongo mitupu, hapo ma supervisor wa (wanasiasa) ilibidi wajiongeze kwa kuwaandikia hizo thesis kwa lengo la kupata uteuzi.
Halafu unakuta kuna lipumbavu flani linatetea hio PhD uchwara[emoji34][emoji34]Hiyo ni PhD nyingine feki kwa watanzania! Nilikuwa pale UDSM Mlimani Campus tena kwenye Department of Chemistry wakati Magufuli “anafanya PhD” yake pale wakati huo akiwa waziri wa ujenzi. Dr. Akwilapo alikuwa lecturer wangu wa organic chemistry na ndiye aliyehusika na hiyo “PhD” ya JPM hadi ikifanikiwa. Leo hii Dr. Akwilapo ni katibu mkuu wizara ya elimu na mimi na wenzangu tuliokuwepo UDSM enzi hizo tunajua kwanini huyu doctor wa chemistry alipewa ukatibu mkuu. Seleman Jaffo ana PhD ???!!!!….!***! Najua imewezekana vipi. Kila la kheri watanzania.
We rukaruka kama title imevuja tutapata hadi book zima tulinganishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Garissa na Tanzania wapi na wapi case kufanana sio hoja data zitakuwa tofauti kabisa Jafo zake za Tanzania huyo zake za Kenya huwezi kusema Ni copy and paste mfano mmoja akifanya case study ya Covid 19 ujerumani na mwingine akafanya case study ya Covid 19 Tanzania huwezi sema wa Tanzania ka copy and paste case study ya ujerumani .Ni case tofauti zenye Takwimu tofauti
Kalinganishe data hazitafanana na quotation hazitafanana yule ka collect za Kenya Jafo za Tanzania mfanano utatoka wapi?We rukaruka kama title imevuja tutapata hadi book zima tulinganishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana mpaka wanafunzi wanakalia mawe, tatizo la msingi lilianzia humu.Wahaya na wachaga hamjawahi toa hata waziri mkuu na ujuaji wenu Pwani imetoa maraisi watatu Mzee Mwinyi Hana hata digrii ana Diploma tu , pia Raisi wa Zanzibar katoka mkuranga Pwani .Pwani ikatoa Raisi Kikwete ana digrii moja tu wakati wachaga na wahaya mna midigrii mingi weeee ambayo mwisho wa siku haizalishi waziri mkuu Wala raisi mnaishia tu kuongea kiingereza kilichonyooka ambacho Kiko grammaticality correct!!!!
Pwani hoyeeee
Kwa hiyo kupishana naye mara moja chuoni huko PhD tayari !!Jafo amesoma Ph.D na tumepishana naye one time pale UDOM.
Hongera sana Mh Jafo.
All the best in the future
Plagiarism inaanzia kwenye title, hata kabla ya contents. Katika hali ya kawaida, alipaswa arudishwe kuanzia hatua ya proposal. Kwa mfanano wa kwenye title nina wasiwasi originality ya hii kazi haivuki 10%.Kalinganishe data hazitafanana na quotation hazitafanana yule ka collect za Kenya Jafo za Tanzania mfanano utatoka wapi?
Jamaa yako ka-edit hakuna data alizokusanya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kalinganishe data hazitafanana na quotation hazitafanana yule ka collect za Kenya Jafo za Tanzania mfanano utatoka wapi?
Conclusion angefikiaje bila data?Jamaa yako ka-edit hakuna data alizokusanya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo nilimsikia tu, sikusoma hayo makitu.Huyo prof. alikua anafundisha Chemistry ipi?Themodynamics kama ya Dr. Mkayula,Au Stereo chemistry ya Dr. Mgani Quntino???
Nenda pale UDSM kaulizie. Au fanya search tu kwenye google utaona. Kama hilo pia huna muda, fuata hii link hapa halafu tazama namba 16: https://www.udsm.ac.tz/web/index.php/colleges/coss/postgraduate-programmesMkuu kama huelewi kitu uwe tu unauliza ujuzwe.
Kweli huenda Kuna shida katika kusimamia ubora wa hizi PhD lakini si kwa kiwango unachoeleza.
Kwamba mtu anasoma coursework anapata PhD bila kufanya research?
Hamna kitu kama hiyo.
Huu sasa ndio u-snitch kabisa! Hizi mbona ni studies mbili tofauti zenye uwezekano wa kufanana variables chache tu? Study populations ni tofauti. Respondents ni tofauti. Hata research questions na methodology lazima ziwe tofauti, kwa kutazama title tu. Daudi Biriye amechunguza hizo factors katika wilaya moja nchini Kenya, wakati Dr Jafo amechunguza "mediating role of management" katika kushughulikia hizo factors kwa Tanzania nzima, na huenda hata factors zenyewe hazifanani.
Supervisor wa JPM kwenye PhD alikuwa Prof Joseph Buchweshaija. Huyo Akwilapo unayemtaja alihusikaje?Hiyo ni PhD nyingine feki kwa watanzania! Nilikuwa pale UDSM Mlimani Campus tena kwenye Department of Chemistry wakati Magufuli “anafanya PhD” yake pale wakati huo akiwa waziri wa ujenzi. Dr. Akwilapo alikuwa lecturer wangu wa organic chemistry na ndiye aliyehusika na hiyo “PhD” ya JPM hadi ikifanikiwa. Leo hii Dr. Akwilapo ni katibu mkuu wizara ya elimu na mimi na wenzangu tuliokuwepo UDSM enzi hizo tunajua kwanini huyu doctor wa chemistry alipewa ukatibu mkuu. Seleman Jaffo ana PhD ???!!!!….!***! Najua imewezekana vipi. Kila la kheri watanzania.
hakuna linaloshindikana bongo brasa.phd za wanasiasa wa tanzania hususani wa chama tawala huwa ni phd za mchongo.
Ww umesoma chuo gani hujui kama mambo hayo yanafanyika?Una ushahidi juu ya hilo au ni wivu tu?
Mimi nauza nyanya na bamia Buguruni sokoni. Nimesoma kwa Mnyamani.Ww umesoma chuo gani hujui kama mambo hayo yanafanyika?