Mawaziri waliosimama kama Mawaziri awamu ya Sita, Wengine hamna kitu kabisa

Mawaziri waliosimama kama Mawaziri awamu ya Sita, Wengine hamna kitu kabisa

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Ukweli kabisa kwangu mimi ni mawaili tu mpaka sasa!
Mohamedi Mchengerwa na Geofrey Mwambe.

Hawa wamezishika nafasi zao kwa kujiamini na wanaendasha kazi za Uwaziri kama ipasavyo.

Mohamed Mchengerewa mpaka nimeanza kumfikia come 2030 akae pale juu. Huyu bwana anajitambua sana. Mwambe anajua nini anafanya.

Mwambe kapewa lidude very complex lakini ninamwona kabeba hali ya kujiamini kwa kiasi kinachopaswa huku akiwa makini sana kuendana na Bosi wake.

Anafafanua mambo kwa uelewa mkubwa bila hata ya kusababishiwa kashfa.

Wengine waliokuwa wanaenda vizuri ni Simbachawene ingawa kwa kiasi ninaona ile hali ya kujiamini ilipunguzwa na awamu ya tano. Anatakiwa arudi kawaida yake.

Mkenda alikuja vizuri lakini Mwezi Novemba, 2021 kwake umekuwa mchungu kwa kiasi na ninahisi kapunguziwa confidence kwa kiasi kikubwa ingawa ni Mtendaji mzuri.

Hawa wengine hawa wameshindwa kabisa! Mziki waliokuwa wanaucheza awamu ya tano unawachanganya.

Wanashindwa kubadilika kwa sababu ya kuona aibu. Dr. Mwigulu alikuja na staili ya kuanza kusimama kwenye gari na kutoa mastatement kama Mkuu wa Nchi akifikiri awamu ya sita haitamshtukia.

Baada ya kuona Ndugulile katunguliwa kama kunguru aliyekuwa anavizia vifaranga naye kaufyata! Tatizo la Dr. Mwigulu ni kusaka umaarufu wa kinchi badala ya wa kijimbo. Na 2025 kule jimboni kwake Iramba hapati.

Mawaziri wengine bado sana, akina Kitila Mkumbo, Ndumbaro, Mhagama, Ummy, Ndalichako, Mulamula, wapo wapo tu. Mbaya zaidi ni akina Kabudi ambao wamejificha pangoni, hawana impact yeyotena wapo kama maksai aliyehasiwa!

Mama yangu SSH zingatia sana thread hii, fanya mabadiliko, akina Kabudi, Mkuchika sio vibaya ukiwaondoa. Ukiwaacha kwa nafasi zao kwa muda mrefu kama akina Mhagama wameshajitengenezea networks hatari sana katika potifolios wanazozisimamia na ndiyo maana wana viburi hatari.

Hawa watu watakuja kukuangusha mchana kweupe! Angalau uwafanyie hata reshuffle basi!
 
Tuwe wakweli tu....Huyu MHAGAMA sijui JENI ni moja ya watu ambao unajiuliza aliwezaje kuwa Waziri....sio tu waziri huyu hana uwezo hata wakuwa katibu kata... UMMY alipaswa kwenda kupractice na kukifanyia kazi alichosomea huko, akiwa competent aishie huko huko.... Ndalichako huyu alipaswa kukaa huko kwenye utendaji wizarani sio kuwa Waziri.... Mulamula naye alipaswa kubaki kuwa Personal secretary wa mtu sio level ya uwaziri...

Tuache sasa kuwapa watu nyadhifa kwa connection, tujitahidi kupima uwezo wao na ikiwezekana kushindanisha na wengine...Mifumo imejaa VILAZA ndio maana kila siku tunalialia...
 
Tuwe wakweli tu....Huyu MHAGAMA sijui JENI ni moja ya watu ambao unajiuliza aliwezaje kuwa Waziri....sio tu waziri huyu hana uwezo hata wakuwa katibu kata... UMMY alipaswa kwenda kupractice na kukifanyia kazi alichosomea huko, akiwa competent aishie huko huko.... Ndalichako huyu alipaswa kukaa huko kwenye utendaji wizarani sio kuwa Waziri.... Mulamula naye alipaswa kubaki kuwa Personal secretary wa mtu sio level ya uwaziri...

Tuache sasa kuwapa watu nyadhifa kwa connection, tujitahidi kupima uwezo wao na ikiwezekana kushindanisha na wengine...Mifumo imejaa VILAZA ndio maana kila siku tunalialia...
Utaambiwa umewasema akina mama tu! Hebu gusa basi na wababa, kuna Kabudi, Mwigulu na Ndumbaro - sema kitu!
 
Unatakiwa usiwe na akili kabisa ili uendane na Bi.Hangaya
Yaani usiwe na akili hata kidogo
Shangaa Mkenda anatumia weledi ndio anaonekana hafai
Tehe tehe! Mkenda awe mtulivu tu - Mama anajua akifanyacho. Aliamua kumfurahisha mgeni tu!
 
Lukuvi inaisimamia vizuri tu wizara ya ardhi.
Ilikuwa zamani. Siku hivi mwenyewe kajinyakulia maeneo kule Veyula na kajenga nyumba za kupangisha kibao kulw Ilazo!
 
Tuwe wakweli tu....Huyu MHAGAMA sijui JENI ni moja ya watu ambao unajiuliza aliwezaje kuwa Waziri....sio tu waziri huyu hana uwezo hata wakuwa katibu kata... UMMY alipaswa kwenda kupractice na kukifanyia kazi alichosomea huko, akiwa competent aishie huko huko.... Ndalichako huyu alipaswa kukaa huko kwenye utendaji wizarani sio kuwa Waziri.... Mulamula naye alipaswa kubaki kuwa Personal secretary wa mtu sio level ya uwaziri...

Tuache sasa kuwapa watu nyadhifa kwa connection, tujitahidi kupima uwezo wao na ikiwezekana kushindanisha na wengine...Mifumo imejaa VILAZA ndio maana kila siku tunalialia...
Kuhusu Jenister hata yeye hajui kwa nini amefika alipo, ukisikia "KWA NEEMA" ndo hii sasa.
 
Tunaomba msaada kuna wafanyakazi wanadai mzabuni anaelisha chakula hospitali ya Mloganzila shilingi 23,887,000 lakini mpaka sasa hivi wameomba msaada kwa uongozi wa hospitali mara kadhaa lakini hawajapata haki zao.

IMG_20211126_195737.jpg
 
Tuwe wakweli tu....Huyu MHAGAMA sijui JENI ni moja ya watu ambao unajiuliza aliwezaje kuwa Waziri....sio tu waziri huyu hana uwezo hata wakuwa katibu kata... UMMY alipaswa kwenda kupractice na kukifanyia kazi alichosomea huko, akiwa competent aishie huko huko.... Ndalichako huyu alipaswa kukaa huko kwenye utendaji wizarani sio kuwa Waziri.... Mulamula naye alipaswa kubaki kuwa Personal secretary wa mtu sio level ya uwaziri...

Tuache sasa kuwapa watu nyadhifa kwa connection, tujitahidi kupima uwezo wao na ikiwezekana kushindanisha na wengine...Mifumo imejaa VILAZA ndio maana kila siku tunalialia...
Yule ana sifa zingine hutumika kama vigezo. Sio vigezo hivyo unavyotaka wewe.

Yule hata sifa ya kuwa diwani hana.
 
Ukweli kabisa kwangu mimi ni mawaili tu mpaka sasa!
Mohamedi Mchengerwa na Geofrey Mwambe. Hawa wamezishika nafasi zao kwa kujiamini na wanaendasha kazi za Uwaziri kama ipasavyo. Mohamed Mchengerewa mpaka nimeanza kumfikia come 2030 akae pale juu. Huyu bwana anajitambua sana. Mwambe anajua nini anafanya. Mwambe kapewa lidude very complex lakini ninamwona kabeba hali ya kujiamini kwa kiasi kinachopaswa huku akiwa makini sana kuendana na Bosi wake. Anafafanua mambo kwa uelewa mkubwa bila hata ya kusababishiwa kashfa.
Wengine waliokuwa wanaenda vizuri ni Simbachawene ingawa kwa kiasi ninaona ile hali ya kujiamini ilipunguzwa na awamu ya tano. Anatakiwa arudi kawaida yake. Mkenda alikuja vizuri lakini Mwezi Novemba, 2021 kwake umekuwa mchungu kwa kiasi na ninahisi kapunguziwa confidence kwa kiasi kikubwa ingawa ni Mtendaji mzuri.
Hawa wengine hawa wameshindwa kabisa! Mziki waliokuwa wanaucheza awamu ya tano unawachanganya. Wanashindwa kubadilika kwa sababu ya kuona aibu. Dr. Mwigulu alikuja na staili ya kuanza kusimama kwenye gari na kutoa mastatement kama Mkuu wa Nchi akifikiri awamu ya sita haitamshtukia. Baada ya kuona Ndugulile katunguliwa kama kunguru aliyekuwa anavizia vifaranga naye kaufyata! Tatizo la Dr. Mwigulu ni kusaka umaarufu wa kinchi badala ya wa kijimbo. Na 2025 kule jimboni kwake Iramba hapati.
Mawaziri wengine bado sana, akina Kitila Mkumbo, Ndumbaro, Mhagama, Ummy, Ndalichako, Mulamula, wapo wapo tu. Mbaya zaidi ni akina Kabudi ambao wamejificha pangoni, hawana impact yeyotena wapo kama maksai aliyehasiwa!
Mama yangu SSH zingatia sana thread hii, fanya mabadiliko, akina Kabudi, Mkuchika sio vibaya ukiwaondoa. Ukiwaacha kwa nafasi zao kwa muda mrefu kama akina Mhagama wameshajitengenezea networks hatari sana katika potifolios wanazozisimamia na ndiyo maana wana viburi hatari. Hawa watu watakuja kukuangusha mchana kweupe! Angalau uwafanyie hata reshuffle basi!
Dk. Mwigulu anavuma kweli kweli!
 
Back
Top Bottom