Mawaziri waliotia fora kumuangusha Rais Samia 2022 hawa hapa

Mawaziri waliotia fora kumuangusha Rais Samia 2022 hawa hapa

Mpaka Sasa eti nchemba ni waziri Tena wa feza hapo ndio unaona nchi hii haina viongozi na ninyepesi kuiongoza hata matonya angeiongoza na angepata wafuasi wakutosha tu
 
Naona nyuzi za kumtetea maza zimeongezeka mgodi umetema Nini.
Mana majuzi hapa alizodolewa Naona naye ameamua kupararua na kukumbatia na kubusu Ila pwani jamani Kuna Mambo acha
Mama hana tatizo hana sababu ya kutetewa na mtu
 
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao

1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara

Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Amefe
Unawaonea hakunaga naibu Waziri mbovu ukiona hovyo Waziri husika ndo hafai.

Waziri Makamba kwangu Mimi ndiye kafeli zaidi.

Pia sera za waziri wa fedha ni mbovu inawezekana ni bosi wake au yeye mwanga Hii wizara imemshinda.

Wizara ya maji nayo Waziri wake imemshinda.

Hao wengine ni mbuzi wa kafara tu .
Amefelije?
 
Kama anaweza kuangushwa huenda shida sio waangushaji bali muangushwaji....

A Good Leader should Pass the Credit and take the Blame (hili ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wa vizazi hivi);

The buck stops with Her...
 
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao

1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara

Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
1. January Makamba
2. Aweso
3. Mwigulu
4. Mbarawa
5. Kairuki
6. Gwajima
7. Ummy
8. Kijaju
 
Kama anaweza kuangushwa huenda shida sio waangushaji bali muangushwaji....

A Good Leader should Pass the Credit and take the Blame (hili ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wa vizazi hivi);

The buck stops with Her...
Tatizo rushwa na kupenda sifa
 
Wanasiasa wanaharibu sana hii nchi. unavyovisikia jukwaani ni tofauti kabisa na hali ilivyo katika ground. wakiwa kwenye vikao kuanzia ngazi za wilaya mpaka Taifa unaweza dhani inchi inasonga mbele kwa speed kubwa sana kumbe ni tofauti. katika vikao tunasifiana na kuogopa kusema ukweli kwakua baada ya hapo kunakushughulikiana kila mtu anaishia kusifia anavuta pesa yake anatulia
 
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao

1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara

Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Wanafiki kwenye ubora wao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao

1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara

Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Hapo mbona waziri ni mmoja tu.
 
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao

1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara

Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Mary Masanja huyu huyu mpuyangaji kila pahala?

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom