UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Hata mimi nilitegemea aanze na hao wawili, badala yake jamaa ameshupalia manaibu mawaziri, sijui ana ugomvi nao!Nilotwgemea uanze na makamba
Na nape
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nilitegemea aanze na hao wawili, badala yake jamaa ameshupalia manaibu mawaziri, sijui ana ugomvi nao!Nilotwgemea uanze na makamba
Na nape
AmefeMwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao
1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara
Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Amefelije?Unawaonea hakunaga naibu Waziri mbovu ukiona hovyo Waziri husika ndo hafai.
Waziri Makamba kwangu Mimi ndiye kafeli zaidi.
Pia sera za waziri wa fedha ni mbovu inawezekana ni bosi wake au yeye mwanga Hii wizara imemshinda.
Wizara ya maji nayo Waziri wake imemshinda.
Hao wengine ni mbuzi wa kafara tu .
1. Mikamba
2. Madelu
3. Nepi
4. Mtoto wa Bulicheka wa msoga
5. Mambo ya ndani
6. Msomali
Mtaliwa vichwa Hadi muisheAliyepo juu mwenyewe hafifu sasa chini kutakuwaje na presha kubwa.
Ukitumia akili na maarifa kama mama Mulamula unatumbuliwa. Basi we kula tu na kipofu.
1. January MakambaMwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao
1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara
Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Tatizo rushwa na kupenda sifaKama anaweza kuangushwa huenda shida sio waangushaji bali muangushwaji....
A Good Leader should Pass the Credit and take the Blame (hili ni tatizo kubwa sana kwa viongozi wa vizazi hivi);
The buck stops with Her...
Msomali ndio mjinga tena sana mbolea hakuna wakulim tunateseka jamni1. Mikamba
2. Madelu
3. Nepi
4. Mtoto wa Bulicheka wa msoga
5. Mambo ya ndani
6. Msomali
Mjinga sana mbolea mkuuu ni shida sana mtaaani mfumo wao ni wa upigajiMsomali mbona anaupiga mwingi?
Wanafiki kwenye ubora wao!Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao
1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara
Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Huyu huyu dogo mzee wa kitengo, hapana bana mnamsingizia.1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
Hapa sasa ndio makini1. Mikamba
2. Madelu
3. Nepi
4. Mtoto wa Bulicheka wa msoga
5. Mambo ya ndani
6. Msomali
Hapo mbona waziri ni mmoja tu.Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao
1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara
Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Mary Masanja huyu huyu mpuyangaji kila pahala?Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao
1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara
Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022