Mawaziri waliotia fora kumuangusha Rais Samia 2022 hawa hapa

Mawaziri waliotia fora kumuangusha Rais Samia 2022 hawa hapa

Mjinga sana mbolea mkuuu ni shida sana mtaaani mfumo wao ni wa upigaji
Nadhan mbolea ni sababu ya ukame pia. Awamu ya 5 iliacha shida sana, haikuacha viwanda vya mbolea sasa hv tunapata tabu kudeal navyo, tungevikuta ingekuwa sifa kwetu kuwa tunaupiga mwingi
 
Nadhan mbolea ni sababu ya ukame pia. Awamu ya 5 iliacha shida sana, haikuacha viwanda vya mbolea sasa hv tunapata tabu kudeal navyo, tungevikuta ingekuwa sifa kwetu kuwa tunaupiga mwingi
Ukame tena umeleta matatzo kwenye mbolea
 
Mwaka 2022 unakaribia kumalizika huku wananchi wengi wakilalamikia sana utendaji wa baadhi ya mawaziri ambao wamepewa dhamana na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwa mwaka 2022 Mawaziri walioongoza kutajwa kwa uwajibikaji hafifu na kulalamikiwa na wananchi ni wafuatao

1. Patrobas Katambi- Naibu Waziri Kazi na Ajira
2. Marry Masanja - Naibu Waziri Maliasili
3. Dk. Ashatu Kijaji- Waziri wa Viwanda na Biashara

Tuendelee kuweka orodha ya Mawaziri waliomuangusha Rais Samia kwa mwaka 2022 na waliolalamikiwa sana na wananchi kwa mwaka 2022
Una muacha January makamba no 1 na no 2. Nape Nnauye kisa timu Zanzibar eti?
 
Unawaonea hakunaga naibu Waziri mbovu ukiona hovyo Waziri husika ndo hafai.

Waziri Makamba kwangu Mimi ndiye kafeli zaidi.

Pia sera za waziri wa fedha ni mbovu inawezekana ni bosi wake au yeye mwanga Hii wizara imemshinda.

Wizara ya maji nayo Waziri wake imemshinda.

Hao wengine ni mbuzi wa kafara tu .
Makamba kafeliji?
 
Ukame tena umeleta matatzo kwenye mbolea
Serikali yetu hii sababu ni zile zile. Inatumia majanga kufunika madhaifu yote. Utasikia covid 19, vita vya ukraine, ukame, mwendazake, n.k ilimradi tu isionekane dhaifu
 
Serikali yetu hii sababu ni zile zile. Inatumia majanga kufunika madhaifu yote. Utasikia covid 19, vita vya ukraine, ukame, mwendazake, n.k ilimradi tu isionekane dhaifu
Hapo nimekuelewa mkuuu mie nalima mpunga na mahidi mbolea hakuna tuna pata shida kweli nakuambia mkuuu tuna nujua mbolea kwa bei ya juuu sana tena kwa magendo na mbolea hakuna
 
Orodha ya wananchi halisi ni kama ifuatavyo.

1. Pena.

2. Rope.

3. Madevu Chemba.

4. Bi. Mdash na yeye hasomeki vile vile.
 
Waziri wa Ardhi nae anatakiwa kutiwa kwenye orodha, hajui wajibu wake anaingilia taasisi nyingine.

Maswala ya EWURA na Vituo yeye yanamhusu nini?

Wakati Taifa linaukosefu wa Ajira.
 
Back
Top Bottom