Mawaziri watano wa Rais Samia wanuka utajiri wa kutisha, waogelea mabilioni ya shilingi

Ni rahisi sana kujua kama wanaiba. Kama mshahara wa waziri ni mil 20, kwa mwezi au mil 240, kwa mwaka lakini ana miradi ya billions 10 na hana mikopo , huyo ni mwizi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…