Mawazo hasa ya wanaume yanahitajika hapa

Ume Sema una pendwa alafu Tena unatuambia ngumu kuingia kwenye mahusiano...

Basi acha kunaumambo mengi ya kufanya nje ya mahusiano
 
Dingi unapiga sana nyeto hadi unaogopa mademu😂😂😂

Tatizo unakula nyeto excess ukitoka humo unaanza kuwaona madem viazi tu😂😂kwamba hata uwe pisi kali vipi nakuona kawaida😂😂😂😂😂
Kaule imekaa kinyeto sana tena kutoka kwa jenerali wa nyeto
 
Bora uwe hivyo hvyo ila ukijichanganya anga za hao viumbe.
 
Ukiona kutongoza imekuwa changamoto jaribu kimasihara ya rikiboy huenda ikakusaidia..
 
Muda utasema

Muda umeshasema sana,,, ni wewe tu umeziba masikio hutaki kuusikia muda unasemaje....

Chakalika mtoto wa kike,,Kijua ndio hiki,,usipouanika hakika utaula m'bichi
 
Muda umeshasema sana,,, ni wewe tu umeziba masikio hutaki kuusikia muda unasemaje....

Chakalika mtoto wa kike,,Kijua ndio hiki,,usipouanika hakika utaula m'bichi
Hapo sasa nimekuelewa
 
Ww unazingua sana kumjali mwanamke sio kujishusha wanawake wameumwa kujali sana asa awa wakiafrika usipomjali kwa kumpigia simu kwasiku ata mara nne kuwanae karibu mara kwa mara kukuacha ni kugusa tu endelea ivyo ivyo utakoma na dawa itakuingia.
 
Ww unazingua sana kumjali mwanamke sio kujishusha wanawake wameumwa kujali sana asa awa wakiafrika usipomjali kwa kumpigia simu kwasiku ata mara nne kuwanae karibu mara kwa mara kukuacha ni kugusa tu endelea ivyo ivyo utakoma na dawa itakuingia.
Sasa mkuu shida ya hawa viumbe ukiwajali hivyo c ndio wanaleta dharau
 
Ww unazingua sana kumjali mwanamke sio kujishusha wanawake wameumwa kujali sana asa awa wakiafrika usipomjali kwa kumpigia simu kwasiku ata mara nne kuwanae karibu mara kwa mara kukuacha ni kugusa tu endelea ivyo ivyo utakoma na dawa itakuingia.
Umepotoka

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…