Mawazo yangu kuhusu wanawake na uongozi!

Mawazo yangu kuhusu wanawake na uongozi!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Naomba nisieleweke vibaya ama nikaonekana nina ubaguzi na hii jinsia yakike kutokana na maoni yangu!, ikiwa kuna mtu nitamkwaza kwa hii mada basi tusameheane!.


Kitu kinachoitwa uongozi na wanawake kwenye haya maisha naweza sema kwa idadi yao basi wanaouweza uongozi labda ni asilimia 2 tu ya population yao!, na haohao asilimia 2 wakichunguzwa vyema ni aidha wanahomoni nyingi yakiume!.
Kwa ninayoyaona kwa wanawake wengi namna ya utendaji wao, mapokeo,fikra na hisia ni dhahiri naona kuna dosari kubwa mno kwenye kitu kinachoitwa "uongozi na mwanamke!".

Nieleweke si kwamba wanaume sote tupo vyema kwenye uongozi la hasha!, ila walau nafasi ya uongozi wanaume tunauwezo wa kuitenda vyema kuliko jinsia yakike!.
Na uongozi naoongelea hapa ni katika nyanja zote iwe nyumbani, kazini, kitaifa ama kidini. ikiwa tu anaongoza mwanamke basi we have to check it out!.

Kwanini..??
kwasababu hawa viumbe hata mahali ambapo hawatakiwi kutumia hisia wao wanatumia hisia!.
Pia ni viumbe vyenye maneno sana kuliko vitendo!, wakati uongozi hautaki maneno bali vitendo!.
Uongozi unahitaji kujitoa sadaka na ndio maana kwa mwanaume kuwa na familia anauwezo wakupambania familia hata aibike, lakini kwa mwanamke ni tofauti. Hata mbinu na maarifa yakupambania kitu hawa viumbe wanambinu chache mno!.
kushindwa kwa mwanaume ni kuitia doa familia ila kushindwa kwa mwanamke ni kushindwa tu wala si doa!.

Fikra za mwanamke mara nyingi anajifikiria yeye kuwa ni kiumbe chapili!, nafikiri hii ni natural aidha kutokana na maumbile yao n.k
Kufaulu kwa mwanamke ni doa kwa mwanaume (hivyo ndivyo wanavyofikiri, i mean mwanaume akishindwa kitu fulani halafu mwanamke akakiweza basi jua hilo ni dongo kwako mwanaume na unaweza ukautwa ni Mama!).

Ubinafsi, wanawake kwa ubinafsi ni pro max! chakwao ni chao ila cha mwanaume ni cha wote!.
hichi kitu kwenye uongozi ni sumu kubwa mno haviendani kabisa!.

Mwanamke ndio kiumbe unaweza kumshauri kitu hichi usifuate na ukampa sababu zakimaana kabisa ila kwakutumia hisia zake atafuata tu!, na ndio maana wao ni wahanga wakubwa kwenye masuala yanayohusu imani!, hawajali kuhusu kutumia mantiki ila hisia tupu!.

Nguvu ya mwanamke ipo hapa.
Nje na hivyo nilivyogusia bado mwanamke ananafasi kubwa kwenye jamii haswa kwenye masuala ya,
UZAZI
UHAI
KUTUNZA FAMILIA KIMAADILI IWAPO ATATAMBUA NAFASI YAKE!.
KUTIA MOYO.
MUANGALIZI.

Rai yangu kwa hivi viumbe ni kuijua nafasi yao katika ngazi husika popote pale walipo, na rai yangu pia ni kwasisi wanaume kuijua nafasi ya hawa viumbe na kuwasaidia pale panapotakiwa.

Niwatakie siku njema yenye furaha,burudani na baraka tele.
 
Umekutana tu na wanawake vilaza mkuu ambao hawajaenda shule. Embu pitia pia kwa wanawake waliosoma labda utabadili mtazamo. NB kiongozi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, usitarajie mtu mwingine kukuongoza unavyotaka
 
Umekutana tu na wanawake vilaza mkuu ambao hawajaenda shule. Embu pitia pia kwa wanawake waliosoma labda utabadili mtazamo. NB kiongozi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, usitarajie mtu mwingine kukuongoza unavyotaka
Kati ya Mwanamke aliyesoma na mwanaume aliyesoma, nitampa credit za uongozi mwanaume aliyesoma.
Ukiona mwanamke anafanya vizuri ktk uongozi jua kabisa kuna kiongozi/viongozi mwanaume/wanaume waliopambana ktk mazingira magumu ili kusuka mfumo imara. Mifumo hiyo imara itamfanya kila mtu kuwa mzuri ktk uongozi, Ikiwemo mwanamke.
 
Naomba nisieleweke vibaya ama nikaonekana nina ubaguzi na hii jinsia yakike kutokana na maoni yangu!, ikiwa kuna mtu nitamkwaza kwa hii mada basi tusameheane!.


Kitu kinachoitwa uongozi na wanawake kwenye haya maisha naweza sema kwa idadi yao basi wanaouweza uongozi labda ni asilimia 2 tu ya population yao!, na haohao asilimia 2 wakichunguzwa vyema ni aidha wanahomoni nyingi yakiume!.
Kwa ninayoyaona kwa wanawake wengi namna ya utendaji wao, mapokeo,fikra na hisia ni dhahiri naona kuna dosari kubwa mno kwenye kitu kinachoitwa "uongozi na mwanamke!".

Nieleweke si kwamba wanaume sote tupo vyema kwenye uongozi la hasha!, ila walau nafasi ya uongozi wanaume tunauwezo wa kuitenda vyema kuliko jinsia yakike!.
Na uongozi naoongelea hapa ni katika nyanja zote iwe nyumbani, kazini, kitaifa ama kidini. ikiwa tu anaongoza mwanamke basi we have to check it out!.

Kwanini..??
kwasababu hawa viumbe hata mahali ambapo hawatakiwi kutumia hisia wao wanatumia hisia!.
Pia ni viumbe vyenye maneno sana kuliko vitendo!, wakati uongozi hautaki maneno bali vitendo!.
Uongozi unahitaji kujitoa sadaka na ndio maana kwa mwanaume kuwa na familia anauwezo wakupambania familia hata aibike, lakini kwa mwanamke ni tofauti. Hata mbinu na maarifa yakupambania kitu hawa viumbe wanambinu chache mno!.
kushindwa kwa mwanaume ni kuitia doa familia ila kushindwa kwa mwanamke ni kushindwa tu wala si doa!.

Fikra za mwanamke mara nyingi anajifikiria yeye kuwa ni kiumbe chapili!, nafikiri hii ni natural aidha kutokana na maumbile yao n.k
Kufaulu kwa mwanamke ni doa kwa mwanaume (hivyo ndivyo wanavyofikiri, i mean mwanaume akishindwa kitu fulani halafu mwanamke akakiweza basi jua hilo ni dongo kwako mwanaume na unaweza ukautwa ni Mama!).

Ubinafsi, wanawake kwa ubinafsi ni pro max! chakwao ni chao ila cha mwanaume ni cha wote!.
hichi kitu kwenye uongozi ni sumu kubwa mno haviendani kabisa!.

Mwanamke ndio kiumbe unaweza kumshauri kitu hichi usifuate na ukampa sababu zakimaana kabisa ila kwakutumia hisia zake atafuata tu!, na ndio maana wao ni wahanga wakubwa kwenye masuala yanayohusu imani!, hawajali kuhusu kutumia mantiki ila hisia tupu!.

Nguvu ya mwanamke ipo hapa.
Nje na hivyo nilivyogusia bado mwanamke ananafasi kubwa kwenye jamii haswa kwenye masuala ya,
UZAZI
UHAI
KUTUNZA FAMILIA KIMAADILI IWAPO ATATAMBUA NAFASI YAKE!.
KUTIA MOYO.
MUANGALIZI.

Rai yangu kwa hivi viumbe ni kuijua nafasi yao katika ngazi husika popote pale walipo, na rai yangu pia ni kwasisi wanaume kuijua nafasi ya hawa viumbe na kuwasaidia pale panapotakiwa.

Niwatakie siku njema yenye furaha,burudani na baraka tele.
Nilisha toa elimu hapa kuwa 👉MWANAMKE YOYOTE KANYIMWA AKILI KWENYE KIPENGERE CHA UONGOZI ....yaani mwanamke hana akili ya kuongoza ...nikosa kubwa kumpa uongozi mwanamke kwenye jambo lolote la maamuzi ..hata kwenye majeshi nilisema cheo cha juu kabisa kwa wanawake majeshini kiwe kapteni basi ...tatizo ccm ni wapumbavu kuelewa na kuchukua hatua ni ngumu kwao
 
Siku nchi km Urusi, China au USA zitaongozwa na wanawake hapo tutajua wana uwezo wa kuongoza .
Tatizo lako ni kushindwa kujua tofouti ya kuongoza (kuwa kiongozi) na kuweza uongozi ...mwanamke anaweza kuwa kiongozi ila awezi kuwa kiongozi mzuri hata siku moja ....pia upumbavu wa mwanaume kwenye mambo ya uongozi ni bora kuliko akili za mwanamke kwenye mambo ya uongozi ...
Yaani upumbavu wa mwanaume kwenye uongozi una akili zaidi ya akili za mwanamke kwenye uongozi ...hivyo ni bora kuongoza na mwanaume mpumbavu kuliko mwanamke .
 
Umekutana tu na wanawake vilaza mkuu ambao hawajaenda shule. Embu pitia pia kwa wanawake waliosoma labda utabadili mtazamo. NB kiongozi wa maisha yako ni wewe mwenyewe, usitarajie mtu mwingine kukuongoza unavyotaka
Tatizo lako ni kushindwa kujua tofauti ya kuwa na elimu na kuwa na akili ...kitabu kina elimu ila hakina akili ....mwanamke ana tatizo kwenye kipengere za AKILI YA UONGOZI...anaweza kuwa na akili zingine zote ila hii ya uongozi awezi kuwa nayo ....AKILI YA UONGOZI NDIYO AKILI ADIMU SANA HATA KWA WANAUME WANAYO YA KIWANGO CHA CHINI SANA ISIPOKUWA WANAUME WACHACHE TU NDIYO WENYE AKILI KUBWA YA UONGOZI ...MWANAMKE HANA KABISA AKILI YOYOTE KWENYE MAMBO YA UONGOZI...HIVYO NI BORA KUONGOZWA NA MWANAUME MPUMBAVU KULIKO KUONGOZWA NA MWANAMKE.
 
Mmekariri maisha na mnalazimisha sana mwanamke bado awe chini. Chochote anachoweza mwanaume na mwanamke anaweza, msitulishe mfumo dume wenu.
Jaribu kukojoa ukiwa umesimama wima kama utaweza
 
Tatizo lako ni kushindwa kujua tofauti ya kuwa na elimu na kuwa na akili ...kitabu kina elimu ila hakina akili ....mwanamke ana tatizo kwenye kipengere za AKILI YA UONGOZI...anaweza kuwa na akili zingine zote ila hii ya uongozi awezi kuwa nayo ....AKILI YA UONGOZI NDIYO AKILI ADIMU SANA HATA KWA WANAUME WANAYO YA KIWANGO CHA CHINI SANA ISIPOKUWA WANAUME WACHACHE TU NDIYO WENYE AKILI KUBWA YA UONGOZI ...MWANAMKE HANA KABISA AKILI YOYOTE KWENYE MAMBO YA UONGOZI...HIVYO NI BORA KUONGOZWA NA MWANAUME MPUMBAVU KULIKO KUONGOZWA NA MWANAMKE.
Tuliza mawazo mkuu.
 
Naomba nisieleweke vibaya ama nikaonekana nina ubaguzi na hii jinsia yakike kutokana na maoni yangu!, ikiwa kuna mtu nitamkwaza kwa hii mada basi tusameheane!.


Kitu kinachoitwa uongozi na wanawake kwenye haya maisha naweza sema kwa idadi yao basi wanaouweza uongozi labda ni asilimia 2 tu ya population yao!, na haohao asilimia 2 wakichunguzwa vyema ni aidha wanahomoni nyingi yakiume!.
Kwa ninayoyaona kwa wanawake wengi namna ya utendaji wao, mapokeo,fikra na hisia ni dhahiri naona kuna dosari kubwa mno kwenye kitu kinachoitwa "uongozi na mwanamke!".

Nieleweke si kwamba wanaume sote tupo vyema kwenye uongozi la hasha!, ila walau nafasi ya uongozi wanaume tunauwezo wa kuitenda vyema kuliko jinsia yakike!.
Na uongozi naoongelea hapa ni katika nyanja zote iwe nyumbani, kazini, kitaifa ama kidini. ikiwa tu anaongoza mwanamke basi we have to check it out!.

Kwanini..??
kwasababu hawa viumbe hata mahali ambapo hawatakiwi kutumia hisia wao wanatumia hisia!.
Pia ni viumbe vyenye maneno sana kuliko vitendo!, wakati uongozi hautaki maneno bali vitendo!.
Uongozi unahitaji kujitoa sadaka na ndio maana kwa mwanaume kuwa na familia anauwezo wakupambania familia hata aibike, lakini kwa mwanamke ni tofauti. Hata mbinu na maarifa yakupambania kitu hawa viumbe wanambinu chache mno!.
kushindwa kwa mwanaume ni kuitia doa familia ila kushindwa kwa mwanamke ni kushindwa tu wala si doa!.

Fikra za mwanamke mara nyingi anajifikiria yeye kuwa ni kiumbe chapili!, nafikiri hii ni natural aidha kutokana na maumbile yao n.k
Kufaulu kwa mwanamke ni doa kwa mwanaume (hivyo ndivyo wanavyofikiri, i mean mwanaume akishindwa kitu fulani halafu mwanamke akakiweza basi jua hilo ni dongo kwako mwanaume na unaweza ukautwa ni Mama!).

Ubinafsi, wanawake kwa ubinafsi ni pro max! chakwao ni chao ila cha mwanaume ni cha wote!.
hichi kitu kwenye uongozi ni sumu kubwa mno haviendani kabisa!.

Mwanamke ndio kiumbe unaweza kumshauri kitu hichi usifuate na ukampa sababu zakimaana kabisa ila kwakutumia hisia zake atafuata tu!, na ndio maana wao ni wahanga wakubwa kwenye masuala yanayohusu imani!, hawajali kuhusu kutumia mantiki ila hisia tupu!.

Nguvu ya mwanamke ipo hapa.
Nje na hivyo nilivyogusia bado mwanamke ananafasi kubwa kwenye jamii haswa kwenye masuala ya,
UZAZI
UHAI
KUTUNZA FAMILIA KIMAADILI IWAPO ATATAMBUA NAFASI YAKE!.
KUTIA MOYO.
MUANGALIZI.

Rai yangu kwa hivi viumbe ni kuijua nafasi yao katika ngazi husika popote pale walipo, na rai yangu pia ni kwasisi wanaume kuijua nafasi ya hawa viumbe na kuwasaidia pale panapotakiwa.

Niwatakie siku njema yenye furaha,burudani na baraka tele.
Umeandika Vizuri sana.

Mwanamke hana namna yake ya asili ya kuonesha umadhubuti au 'Umwamba' isipokuwa lazima afanye kama vile ambavyo wanaume hufanya.

Yaani Ili Mwanamke aonekane Shupavu lazima aanze kujifananisha na Mwanaume Kwenye kuvaa,,kuongea ,, Kutembea na Namna ya kufanya.

Hakuna namna Mwanamke atabaki katika Maumbile yake ya kike alafu aonekane Shupavu na sio dhaifu.

Kinyume Chake Mwanaume ili awe dhaifu mara moja aanze Kufanya kama wafanyavyo Wanawake.

Hapo utagundua Unamke na Uanamme ni Asili na Majukumu ya kila Upande yametokana na Asili hiyo hiyo.

Ni Tuu kwa Sababu binadamu Wote(wanaume na wanawake) tumepewa akili ndio utaona kuna hoja kuwa "kila analoweza Mwanaume mwanamke Nae anaweza".

Lakini hatuna hata jeshi moja la Nchi za magharibi (zinazotangaza usawa wa kijinsia) lenye Angalau asilimia 40 ya Wapiganaji Wanawake.
 
Mwanamke hafai kuongoza. Wanaume Mungu aliwaumba na kaba. Wanawake hilo hatuna. Wanawake tunajua kulea na si kuongoza.
 
Back
Top Bottom