Mawazo yangu: Waziri wa Maji ndiye kiongozi anayehangaika sana awamu hii

Huyu Waziri anapiga kazi kwakweli anapambana saana.
 
Kuhangaika, siyo wakati wote, ni uthibitisho wa ufanisi. Mafanikio yanahitajika zaidi ya kuhangaika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…