Mawazo yenu tafadhali, nakaribia kuacha kazi

Mawazo yenu tafadhali, nakaribia kuacha kazi

Kwenu wakuu I hope mko salama..

Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.

SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!

Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,

Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.

Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.

Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.

Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..

NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.

Asante.
Acha kazi Mfate mumeo wewe, utakuja kunishukuru siku 1
 
Anzisha mradi wa kusafirisha mafuta ya alizeti toka singida hadi dar mumeo akusaidie kuifanya biashara hii!!utamuona anakuja mara kwa mara na nyundo itakuwa inakugonga mara kwa mara na utafurahia Maisha na kusahau kuhama!!!!shida ni nyundo hujapata inayokugonga ipasavyo!!
 
Kwenu wakuu I hope mko salama..

Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.

SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!

Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,

Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.

Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.

Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.

Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..

NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.

Asante.

Ningekuwa wewe, ningetumia fursa hiyo ya ajira kuchukua mkopo na kuwekeza kwenye biashara ninayoamini itanilipa nikiacha kazi.

Hii biashara ningeifungua kabla ya kuacha kazi ili niwe na uhakika wa faida yake. Nikiona imesimama, ndo naacha kazi.

Bila kuwa na mpango mzuri, sikushauri uache kazi. Utawaumiza wengi wanaokutegemea.
 
Ningekuwa wewe, ningetumia fursa hiyo ya ajira kuchukua mkopo na kuwekeza kwenye biashara ninayoamini itanilipa nikiacha kazi.

Hii biashara ningeifungua kabla ya kuacha kazi ili niwe na uhakika wa faida yake. Nikiona imesimama, ndo naacha kazi.

Bila kuwa na mpango mzuri, sikushauri uache kazi. Utawaumiza wengi wanaokutegemea.
Nashukuru Sana mkuu.
Nimezingatia.
 
Anzisha mradi wa kusafirisha mafuta ya alizeti toka singida hadi dar mumeo akusaidie kuifanya biashara hii!!utamuona anakuja mara kwa mara na nyundo itakuwa inakugonga mara kwa mara na utafurahia Maisha na kusahau kuhama!!!!shida ni nyundo hujapata inayokugonga ipasavyo!!
[emoji38] duh!
 
Wazo lako ni zuri kufanya kazi pasi na kuwa na ari na mwamko wa kazi yako ni tatizo kubwa sana,asilimia kubwa ya matatizo yanachangiwa na mifumo iliyopo pamoja na wajiri kwa sababu zao binafsi au kiutendaji

Nasikiaga wakubwa wa utumishi wanavyo pishanisha habari za kuhusu uhamisho wa waalimu "MSIRUHUSU WALIMU WAHAME,UHAMISHO UMESIMAMISHWA MPAKA MAELEKEZO YATAKAPOTOKA"
kwakweli sio fair hata kidogo

Nakushauri mwalimu jipange kidogo kabla hujaacha hiyo kazi
Kwa kuandaa pesa kipindi ambacho serikali haitakuwa inakulipa
Kwa maana halisi ya mahitaji yako kwa kipindi cha angalau miezi minne au sita na kuendelea
Wakati unaangalia mpango mwingine wa kuingiza kipato ukiwa sehemu tofauti na mwanzo.
Iwe ni biashara au ajira mpya

Alafu Usiache kazi kwa kutoroka andika barua Kabidhi sehemu husika wakujibu endelea na maisha yako kwa amani
Samahani kwa uandishi Mbovu
 
Back
Top Bottom