Mawazo yenu tafadhali, nakaribia kuacha kazi

Mawazo yenu tafadhali, nakaribia kuacha kazi

Ongea na mwenzi wako muone kama mnaweza kusaivu , yaan namaanisha kama ana kipato pia,mkubaliane uache na mkubaliane way forward,usitishwe na wanakuambia usiache, mazingira kama hayo yadikufanye huache watu wako WA thamani kama watoto, Mungu atawafungulia mlango mwingine WA kupata rizki.
Mi nliacha kazi Sina kazi na baada ya mwaka mmoja japo kwa subira nilipata shunguli ya kufanya ambayo nafanya kwa furaha na mafanikio nayaona.
Usiogopee sana hofu, panga muombe Mungu chukua hatua mapema, hiyo Hali SI kwamba itaadhiri familia yako lakini itakuadhiri kiakili na kiafya pia.
 
Mkopo mil 20 kwa mshahara upi wa mwalimu
Kama hujui Mambo Bora ukae kimya tu .
Graduate ajira ya 2020 anao uwezo wa kuchukua hata m17 Sasa Kama huyo Ni mkongwe kazin au ajira ya mwaka 2015 na Ni graduate means saiz alishapanda daraja so m20 Ni za kufikia.

Pia Kuna walimu Wana sifa za kuchukua loan Hadi ya m30 ,usikariri maisha ya zamani ya mwalimu saiz Kuna walimu wanakunja had m2.6 per month
 
Njoo mwaya dar kutamu upumnzike kutembea jangwani huko singida
 
Acha tu .. watu wa kujiajiri tuongezeke
 
Kopa hela ya kutosha kabisa yani kama mshahara wako unakuruhusu kukopa milioni 20 kopa alafu sepaaaa
Hakuna atakaekutafuta
 
Kama hujui Mambo Bora ukae kimya tu .
Graduate ajira ya 2020 anao uwezo wa kuchukua hata m17 Sasa Kama huyo Ni mkongwe kazin au ajira ya mwaka 2015 na Ni graduate means saiz alishapanda daraja so m20 Ni za kufikia.

Pia Kuna walimu Wana sifa za kuchukua loan Hadi ya m30 ,usikariri maisha ya zamani ya mwalimu saiz Kuna walimu wanakunja had m2.6 per month
Wadanganye wasiojua,graduate wa 2020 kuchukua milioni 20,narudia wadanganye wasiojua kuhusu walimu wakongwe kulipwa m 2 hiyo ni sawa nakubaliana na wewe
 
Badili changamoto kuwa fursa. Nunua mazao weka dawa bei ikipanda uza, Huko kuna alizeti tumia ajira kama kinga kopa jiongeze .
Shida yake sio pesa bali kumisi mjegejo wa mumewe muwe mnaelewa maudhui
 
Kwenu wakuu I hope mko salama..

Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.

SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!

Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,

Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.

Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.

Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.

Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..

NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.

Asante.
Wadada wa Instagram hawajawahi kuwa na utimamu wa akili Rudi basi Dar ili Uwe unakua wakwanza kupata connections alafu huyo anaye kupa kiburi Cha kuacha kazi siku akidorora ndiyo utaelewa UMUHIMU WA KAZI
 
Nature ya kazi yake haimruhusu kuja nilipo pia Ni mgonjwa anaclinic Moi.
Pole ila usiache kazi. Maana kama yupo moi unaweza ukaacha kazi. Unaenda naye mungu anampenda zaidi. What will be the next?
 
Ushauri wa #63 kipengele namba mbili ni best kwako, omba kwenda shule kujiendeleza Dar au Pwani isiwe ngumu sana ukiwa huko hiyo miaka jipange na unachotaka ikiwemo kuhama, kubadili kazi, kuacha n;k
 
Mkopo mil 20 kwa mshahara upi wa mwalimu
Kuanzia Tgts E ambaye hana loan ya heslb anapata loan zaidi ya hiyo 20M,tena kwa bank ambazo now zina 13% yaweza kufika hata 23M kwa 5yrs,ukiupeleka mkopo 7ys unaweza kuchukua kitita zaidi
 
Kwenu wakuu I hope mko salama..

Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.

SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!

Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,

Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.

Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.

Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.

Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..

NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.

Asante.
UNa elimu level ipi.. Ili nikisaidie mawazo
 
Back
Top Bottom