Baba ndie wa kufanya kaz na kuleta chakula ndani..!!!
Kabla ya kuacha kazi jiulize hili:
A) Mshahara wako una effect yeyote katika familia yako,namaanisha kwa mumeo na watoto wako na upande wa ndugu zako je wanakutegemea..? Kama ni ndio hapo kuacha kaz inabidi uwe na plan B ambayo itakua ina uwezo wa kukutengenezea kiasi kile cha mshahara wako ama zaidi kwa kuwa tayar mshahara ushaingia kwenye damu,una mahitaji binafsi huwa unacover pasipo mjulisha ama kumuomba Mr..!!
Otherwise mwanamke anatakiwa awe na familia yake ni kawaida mwanaume akakaa mbali na familia lakini sio mama kwanza aliewaambia wanawake mnatakiwa mfanye kazi nani mbona mnajipa mizigo(western culture)[emoji52] Mama anatakiwa aangalie familia inaendeleaje nyumban..
Sikatai, someni hata mmalize elimu yote but sio lazima kufanya kazi b'ze ajira ni mume wa pili how can you manage..??
Kama mume anaingiza hela kazini au kwenye biashara inatosha mwanamke ukijitahidi saaana anzisha ka kitu kakuingizie pesa but sio kakutinge mpaka ukose muda wa kuangalia familia..
Ndo maana familia za siku hizi kitoto mwaka na nusu kinaenda shule..!!!
My Opinion
Kama utakua una kitu cha kufanya kikuingizie fedha kwa kua ulishazoea kila mwisho wa mwezi kukinga Piga chini hiyo kaz kalee wanao
Lakini kama hutakuanacho bas pima kama kazi ni bora kuliko familia yako au familia ni bora kuliko kazi..!!
Sorry kwa Gazeti[emoji41][emoji41]
Sent from my SM-A260F using
JamiiForums mobile app