Meshaki Richard
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 320
- 174
Ndo hapa watu wajue maisha ni zaidi ya pesa. Si pesa unapata lakini hauna amani unaona Bora ujikalie zako ukila mihogo Ila amani iwepo moyoniKwenu wakuu I hope mko salama..
Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.
SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!
Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,
Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.
Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.
Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.
Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..
NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.
Asante.
Labda upweke unakusumbua au wivu kwa umpendaye yote yanawezekana.kipimo kidogo kwakuwa unapata kiburi na mshahara ulio nao kwa sasa unaona maisha simple tu zingatia ushauri wa Adolfms #39 sasa anzisha kitu ambacho utakiona ukiacha kazi utakifanya,alafu endelea na kazi miezi kama 6 bila kuchukuwa mshahara wako ukiishi kwakutegemea ulichokibuni ukiona umeweza Ku- savaiv jua mtihani umeshinda ila...ilaa..ilaaa...heshimu panapo kupa heshimaKwenu wakuu I hope mko salama..
Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.
SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!
Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,
Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.
Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.
Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.
Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..
NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.
Asante.
Kwenu wakuu I hope mko salama..
Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.
SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!
Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,
Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.
Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.
Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.
Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..
NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.
Asante.
sijajua upo kijijini kiasi gani ila komaa huko huko ukiacha utasota baadae, NB kama issue ni Dar es salaam omba hata mikoa ya Jirani kama Pwani au Tanga ila kama unataka tu Dar utasota sana sogea hata jirani mambo mengine mbele kwa mbeleKwenu wakuu I hope mko salama..
Nianze kwa kusema mi ni mtumishi idara ya elimu halmashauri flani SINGIDA.
SHIDA YANGU KUU NI UHAMISHO kutoka SINGIDA KURUDI DAR WILAYA YOYOTE ILE HATA PEMBEZONI MWA MJI TU!!
Nimejaribu Mara kadhaa kufanya process za uhamisho lakini zinadunda kila nikiandika barua zinafika hatua flani zinakwama kwa sababu mbalimbali ikiwemo kupotezwa kwa barua masjara,Mara sijui madiwani wamesimamisha uhamisho, Mara ya mwisho nikaambiwa nitafute wakubadilishana naye,
Nimejaribu Mara nyingi kuweka matangazo ya kutafuta watu wa kubadilishana lakini wapi.. hata humu JF Nimejaribu kuweka matangazo yangu since 2016 nimeambulia patupu.
Imefika mahali sasa Sina mood kabisa ya kufanya kazi kwasababu:
familia yangu yote ipo dar akiwemo mume,mzazi,.na watoto ambao imenilazimu kuwaacha huko angali wadogo kutokana na changamoto zinginezo.
Kutokana na kukosa huko kwa morale ya kufanya kazi najikuta nashindwa kufanya kazi kwa ufanisi Hali inayopelekea kuonekana mzembe kazini n.k. hivyo kujikuta napata barua za maonyo mbalimbali na changamoto zingine.
Kwa Hali hiyo Basi NAONA NI BORA NIACHANE KABISA NA KAZI HII nirudi dar japo mzazi na Mume wamenisihi nisiache lakini kwa upande wangu naona kadri siku zinavyoenda mazingira ya kazi yanazidi kuwa magumu kwangu..
NAOMBENI USHAURI WENU tafadhali..
Au Kama Kuna anayeweza kunisaidia kutoka huku NITASHUKURU SANA.
Asante.
Mkopo mil 20 kwa mshahara upi wa mwalimuVuta mkopo wa maana hata 20M then sepa zako ukapambane kivingine au chukua ndinga hata IST kila mwisho wa mwezi uko dar.
Nb. Za kuambiwa changanya na zako
AsanteWazo lako ni zuri kufanya kazi pasi na kuwa na ari na mwamko wa kazi yako ni tatizo kubwa sana,asilimia kubwa ya matatizo yanachangiwa na mifumo iliyopo pamoja na wajiri kwa sababu zao binafsi au kiutendaji
Nasikiaga wakubwa wa utumishi wanavyo pishanisha habari za kuhusu uhamisho wa waalimu "MSIRUHUSU WALIMU WAHAME,UHAMISHO UMESIMAMISHWA MPAKA MAELEKEZO YATAKAPOTOKA"
kwakweli sio fair hata kidogo
Nakushauri mwalimu jipange kidogo kabla hujaacha hiyo kazi
Kwa kuandaa pesa kipindi ambacho serikali haitakuwa inakulipa
Kwa maana halisi ya mahitaji yako kwa kipindi cha angalau miezi minne au sita na kuendelea
Wakati unaangalia mpango mwingine wa kuingiza kipato ukiwa sehemu tofauti na mwanzo.
Iwe ni biashara au ajira mpya
Alafu Usiache kazi kwa kutoroka andika barua Kabidhi sehemu husika wakujibu endelea na maisha yako kwa amani
Samahani kwa uandishi Mbovu
[emoji24]Ndo hapa watu wajue maisha ni zaidi ya pesa. Si pesa unapata lakini hauna amani unaona Bora ujikalie zako ukila mihogo Ila amani iwepo moyoni
Binafsi jikaze upate hela hapo ulipo.kopa mkopo benki afu sepa kanunue ng'ombe zako za maziwa Anza kukomaa.usiogope mama.ama ukafungue kibanda Cha urembo ama mpesa ukomae mbona iyo hela utakuwa unajilipa.jaribu kuwaonyesha kuwa imekubaliana na Hali ya huko. Anza kuonyesha upendo fake kabisa.
Baadaye kopa sepa basi.
Si hawakuelewi.
Noted mkuu.Labda upweke unakusumbua au wivu kwa umpendaye yote yanawezekana.kipimo kidogo kwakuwa unapata kiburi na mshahara ulio nao kwa sasa unaona maisha simple tu zingatia ushauri wa Adolfms #39 sasa anzisha kitu ambacho utakiona ukiacha kazi utakifanya,alafu endelea na kazi miezi kama 6 bila kuchukuwa mshahara wako ukiishi kwakutegemea ulichokibuni ukiona umeweza Ku- savaiv jua mtihani umeshinda ila...ilaa..ilaaa...heshimu panapo kupa heshima