Mawazo yenu tafadhali, nakaribia kuacha kazi

Asante mpenzi.
Nilishaanza kidogo kufanya but muda ndo changamoto.

Nashukuru sana kwa MAWAZO yako
 
Fika TAMISEMI DODOMA Mji Wa Serikali Ukiwa Na Copies Za Barua Zako Ambazo Umeshaomba Zamani, Uone Iwapo Zimefika Ama Ziliishia Ulipo
SINGIDA Upo Mbona Ni Pazuri Tu
Chapa Kazi
Mmhh kiufupi zinaishia nilipo.
 
hapo cha kwanza siyo lazima kupata dsm kabisa unaweza kupambana ukasogea karibu (moro, pwani-bagamoyo, chalinze, mkuranga) then utaendeleza harakati. (Unapoandika tangazo la kutafuta wa kubadilishana naye ainisha kabisa kuwa utampa muhusika senti ya kusafirisha mizigo mchakato ukikamilika) pia kuwa makini na matapeli

2. Inawezekana unachopitia ni kuboreka na kazi ya aina moja kwa muda mrefu pia. Omba kuingia katika mpango wa masomo, then kasome, ubadili kidogo upepo pia upate mpango mpya wa fikra

3. Tafuta koneksheni (ila kuwa makini sana na wapigaji)

4. Anza kuomba kazi private institutions za dsm ili ukiacha kazi uwe na mahali pa kupata senti AU jichange mtaji kabisa ili ukijilipua uwe na cha kufanya kuingiza chochote
NB: kama ukiamua kuacha usiache kienyeji, soma mkataba wako au stansing order acha kwa utaratibu rasmi
 
[emoji24]

Kiukweli ujasiriamali nauweza ,naupenda na Niko tayari kupambana.

Anyway Nashukuru sana kwa USHAURI wako
 
sijajua upo kijijini kiasi gani ila komaa huko huko ukiacha utasota baadae, NB kama issue ni Dar es salaam omba hata mikoa ya Jirani kama Pwani au Tanga ila kama unataka tu Dar utasota sana sogea hata jirani mambo mengine mbele kwa mbele
Mkuu shida comment inakuja "tafuta wa kubadilishana naye"

Nimejaribu namna nyingi mno nimeshindwa mkuu.
 
Sawa.
 
Baba ndie wa kufanya kaz na kuleta chakula ndani..!!!

Kabla ya kuacha kazi jiulize hili:
A) Mshahara wako una effect yeyote katika familia yako,namaanisha kwa mumeo na watoto wako na upande wa ndugu zako je wanakutegemea..? Kama ni ndio hapo kuacha kaz inabidi uwe na plan B ambayo itakua ina uwezo wa kukutengenezea kiasi kile cha mshahara wako ama zaidi kwa kuwa tayar mshahara ushaingia kwenye damu,una mahitaji binafsi huwa unacover pasipo mjulisha ama kumuomba Mr..!!
Otherwise mwanamke anatakiwa awe na familia yake ni kawaida mwanaume akakaa mbali na familia lakini sio mama kwanza aliewaambia wanawake mnatakiwa mfanye kazi nani mbona mnajipa mizigo(western culture)[emoji52] Mama anatakiwa aangalie familia inaendeleaje nyumban..
Sikatai, someni hata mmalize elimu yote but sio lazima kufanya kazi b'ze ajira ni mume wa pili how can you manage..??
Kama mume anaingiza hela kazini au kwenye biashara inatosha mwanamke ukijitahidi saaana anzisha ka kitu kakuingizie pesa but sio kakutinge mpaka ukose muda wa kuangalia familia..
Ndo maana familia za siku hizi kitoto mwaka na nusu kinaenda shule..!!!

My Opinion
Kama utakua una kitu cha kufanya kikuingizie fedha kwa kua ulishazoea kila mwisho wa mwezi kukinga Piga chini hiyo kaz kalee wanao
Lakini kama hutakuanacho bas pima kama kazi ni bora kuliko familia yako au familia ni bora kuliko kazi..!!
Sorry kwa Gazeti[emoji41][emoji41]

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Unaacha kazi ili urudi daslam siyo? Nikajua unaacha kazi kwaajili unabiashara zako zinakulipa na unakosa muda wa kutosha..

Hta hvyo watu wanatofautiana maisha wengine wa kishua acha tu kazi urudi daslam maana itakua umemiss sana KFC
Na burger [emoji488] points, na si unajua vile ice cream [emoji509] ilivyo tamu? Eeeh aacha tu urudi daslam maisha ni rahisi sana
 
[emoji38] mkuu ninahuzuni Ila umenifanya nicheke kwa sauti.
 
Vuta mkopo wa maana hata 20M then sepa zako ukapambane kivingine au chukua ndinga hata IST kila mwisho wa mwezi uko dar.
Nb. Za kuambiwa changanya na zako
Unataka kumuua mtt wa watu ww πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ™ƒ
Yaaan na ist kila wikend dar na kurud
 
Nitafanyia kazi .

Asante .
 
Badili changamoto kuwa fursa. Nunua mazao weka dawa bei ikipanda uza, Huko kuna alizeti tumia ajira kama kinga kopa jiongeze .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…