Max Rioba adai ameshindwa kufanya kazi na Young Dee Kwa kuwa hana Nidhamu

Nimesikitika kuona huyu huyu max leo hii anapata kashfa kisa dee,.....na sitoshangaa akirudia tena kumsaidia. Max anamchukulia dee zaidi ya msanii, anamchukulia kama mdogo wake kabisa ndiyo maana anaumia sana kumuona dee vile
Vipi kuhusu kuhusu tuhuma za kuliwa tigo
 
Vipi kuhusu kuhusu tuhuma za kuliwa tigo
La Upunga silijui mkuu...nisipate dhambi ya uongo....hata huyo max ukikaa ukimuuliza hana uhakika kama ni kweli .
 
Hilo la kupumiliana ndio mada kuu.Ila nani anampumulia mwenzie ndio bado lipo kwenye mabano.

Ila kwa tabia za Max label yake kuwa na msanii mmoja miaka na miaka na kumlilia Young D live studio na kumuonea wivu Young D akiwa na Tunda ukichanga akili zako utaelewa hapo nani anampumulia mwenzie
 

Kuna mahali max anasema eti young dee aliniomba nije kulala kitandani kwako!!!.. yaani ameomba kulala kwenye kitanda cha max...kweli hapo shida ipo kwa kweli...kwanza utasemaje maneno kama hayo kwenye interview!!!..
 
Wewe kweli mzaramo.
 
kiatu kipya! asa apo akuweke wazi kitu gan sasa au haujaisoma vzr post yake? amekwambia dogo hana nidham na pia kuna habar amezipata kuwa amerudia kuvuta madawa na hata mitandaon ameona taarifa za dogo kurudia kuvuta madawa! sasa apo kitu gan jaman hakieleweki? kama hamjaelewa tena bas somen vzr post yake mtamuelewa
 
Huyu Max nimemdharau sana kwa anayoyafanya dhidi ya huyu mtoto.kaka utakuwa unapita humu hebu acha kuharibu maisha ya huyu mtoto vile amekataa kuwa chini yako,juzi umejitengenezea chat yako eti nawe una mashabiki lukuki huoni aibu jitazane upya kwenye kioo
 
Kwanza niulize huyu max anamkee na pia hela zake max anazipata wap
 
[emoji15] [emoji15] [emoji101] [emoji101] [emoji101] [emoji101] ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…