May be this love not for me

May be this love not for me

Southern Highland

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
14,938
Reaction score
25,405
Mimi weekend yangu inaenda ivyo. Sina jambo kwa mchumba
 

Attachments

  • Screenshot_20240106_212247_Messages.jpg
    Screenshot_20240106_212247_Messages.jpg
    32.8 KB · Views: 11
Huyo sio wako tena
Hata usiwaze kulipiza kisasi
Kwa vijembe vingi huko status
Kwenye moyo wake huna nafasi, easy
Tena usiwaze kujipiga risasi
Usijinyonge usijigasi
Kwenye moyo wake huna nafasi, easy
Usilazimishe, utazeeka vibaya
csikulazimishe, no no noo
 
Kuna Bidada nmekutana nalo Supermarket, Sasa nikaliongelesha likanipa namba ilikua mida ya saa nane mchana.

Baadae tukachat chat mwisho tukakubaliana tutiane usiku wa Leo

Wakat wakuchat naona likakosea kutuma meseji ,likaituma kwangu ukisema "kama huji nambie Baba".

Hiyo ilikua kama saa 12 jion.

Nikauliza vp, likasema, ohoo ni Baba wa watoto wangu ameniambia nimsubiri aniletee Pesa ya watoto wake maandalizi shule.

Baadae likawa halijibu sms, na sim halipokei.


Nikaona isiwe Tabu ..nikafuta namba zake .



Najua litajichanganya kesho kunitafuta .
 
Kuna Bidada nmekutana nalo Supermarket, Sasa nikaliongelesha likanipa namba ilikua mida ya saa nane mchana.

Baadae tukachat chat mwisho tukakubaliana tutiane usiku wa Leo

Wakat wakuchat naona likakosea kutuma meseji ,likaituma kwangu ukisema "kama huji nambie Baba".

Hiyo ilikua kama saa 12 jion.

Nikauliza vp, likasema, ohoo ni Baba wa watoto wangu ameniambia nimsubiri aniletee Pesa ya watoto wake maandalizi shule.

Baadae likawa halijibu sms, na sim halipokei.


Nikaona isiwe Tabu ..nikafuta namba zake .



Najua litajichanganya kesho kunitafuta .
baba alienda 😀😀😀
 
Back
Top Bottom