Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Nawe umeheshimu uhuru wa wenzako.?Kwanini JF INA WATOTO WENGI HIVI. Katoa hoja zake sio msahafu. Heshimuni uhuru wa mtu. Acheni kushambulia personality yake na uhuru Wake wa „dare to speak“
Wachangiaji wa aina yenu Sijui Kwanini mko hapa na Utaskia mnadai katiba mpya.