Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Ila unafiki unataka roho ngumu sana! Yaani mtu mzima unakubali kuonekana wa hovyo na kuharibu heshima ya jina lako uliyoijenga kwa jasho na damu ili umfurahishe mteuzi?

Mayalla hadi anaitwa bungeni na Ndugai alikuwa shujaa anayesimamia hoja za msingi, lakini njaa ilipompelèka Kawe ndio akawa bogus kuliko hata Suphian Juma yule kijana wa Zitto na marehemu SeifIl
Ila unafiki unataka roho ngumu sana! Yaani mtu mzima unakubali kuonekana wa hovyo na kuharibu heshima ya jina lako uliyoijenga kwa jasho na damu ili umfurahishe mteuzi?

Mayalla hadi anaitwa bungeni na Ndugai alikuwa shujaa anayesimamia hoja za msingi, lakini njaa ilipompelèka Kawe ndio akawa bogus kuliko hata Suphian Juma yule kijana wa Zitto na marehemu Seif
Aisee yule jamaa sijui huwa anawaza kwa kutumia nini🤪😂 ana ngonjera za masifu kuliko hata wana ccm wenyewe! Halafu kutwaa kumtag mama kule twitter!
Yule mie nahisi akili zake hazimtoshi vizur
 
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!

Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Pascal Mayalla anaamini kwenye hukumu ya 'karma' anasubiri hiyo.

Alitumia Uhuru wake wa kutoa maoni, ndio demokrasia hiyo.
 
Nina wasi wasi sana na Paskali.

Mizania yake ya kuyapima mambo inazidi kuporomoka
.
Mimi mwana CCM lakini huwezi mtu kusapoti uhuni uliofanyika kuwaingiza kina Mdee bungeni.

Uhuni uliofanyika ni sawasawa na kuisigina katiba.
Kwa haya yanayofanywa na spika Tanzania tunaonesha dalili za wazi tunahitaji kutawaliwa,tumeshindwa kujitawala.
 
Maisha Ni Vita babu .hayo Ni maisha ya kisiasa Ni akili yako na ushapu wako kungamua wapi utapata pesa kwa mbinu zozote ulitaka Nani waende bungeni

Hata hao wa bunge wa ccm wengi wako pale isivyo halali hili hawalisemi hkn mbunge pale hata tulia Yuko pale isivyo halali jaribu kulitazama hili kwa wabunge wengi jins walivyo ingia kimazabe so wakina mdee wapambane maisha Ni vita
 
Back
Top Bottom