Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Yaani wewe ni empty headed
Ngoja nikuitie aisha mashauzi ukaimbe naye taarabu maana umeshindwa kujibu unaleta umbea tu ...nimekuuliza kwanini hao akina halima wasikatae hayo majina umeshindwa kunijibu
 
Andika hiyo lugha unayojua vizuri sio huu utoto uliouandika hapa.
Najua kirusi nimesoma huko toka shule ya msingi hadi sec...nilisha sema siku nyingi wewe tumia kiswahili mimi nitatumia kiswaili acha kukalili
 
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"! Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake? Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Mayala maana yake ni Njaa, hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
Anaitwa Pascal Njaa
 
Ila unafiki unataka roho ngumu sana! Yaani mtu mzima unakubali kuonekana wa hovyo na kuharibu heshima ya jina lako uliyoijenga kwa jasho na damu ili umfurahishe mteuzi?

Mayalla hadi anaitwa bungeni na Ndugai alikuwa shujaa anayesimamia hoja za msingi, lakini njaa ilipompelèka Kawe ndio akawa bogus kuliko hata Suphian Juma yule kijana wa Zitto na marehemu Seif
Njaa umemshushia heshima sn
 
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!

Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine

NI KWELI MAANA MIMI PIA KUNA SIKU NILIJIBU POST YAKE JUU YA HAO 19 , AKANIULIZA KAMA NINAIFAHAMU KATIBA YA CHADEMA, NA ALINIWEKEA VIFUNGU VYA KATIBA YA CHADEMA.
 
😁😁😁
16554546876670.jpg
 
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!

Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Binafsi mimi umuona Mayala kama mtetea tumbo lale sioni jingine kwake
 
Back
Top Bottom