mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Kichwa cha kuku kabisa, pumbavYaani wewe ni empty headed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa cha kuku kabisa, pumbavYaani wewe ni empty headed
Hapa ndipo ninapoona umuhimu wa fake Id maana you can be who ever you want to be, say whatever you wish to say na bado mashambulizi hayataenda kwenye identity yako isipokuwa kwenye identity ambayo si wewe. Mayalla asingekuwa na Id halali hii hoja ya njaa isingejirudia rudia humu maana hajulikani kuwa ni YEYE.Mayala maana yake ni Njaa, hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
Linaanzia hapa katika 'KJ' tu.Mayalla ana tatizo mahali siyo bure
Kimya kingi kina mshindo mkuu, jiandae kisaikolojia mtalia na kusaga meno.Mayala Hana presha kabisa, anajua fika wale ni wabunge na wataendelea kuwa wabunge, na Leo wameingia bungeni na Spika Yuko kimya kabisa
Siyo wote tunajua kiswahili vizuri usizanu wote tulisomea tz ...acha kutumia matakooo kufikiri
Mkuu ni kigamboni au kawe?Mzee anaezeeka vibaya imagine hata ccm wenzake walimkataa kule kigamboni wakampa kura moja tu tafsiri yake ni kwamba haaminiki. Freelancer mavi.
Hana aibu yule mzeeHuyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, alipata kura mojaHuyo alipata kura sifuri Hana la maana .
na vithread anavyodai viko kama Swali🤣🤣Usihofu
Uwa hakosi threads za kujidifensia
Anazo nyingi tu zilizokuwa akiwapondea akina Mdee
Kubwa JingaWenye Akili watalielewa / wamelielewa.
Ila P kaumbuka vibaya sana, ndiyo maana jina lake linamaanisha njaaKwanini JF INA WATOTO WENGI HIVI. Katoa hoja zake sio msahafu. Heshimuni uhuru wa mtu. Acheni kushambulia personality yake na uhuru Wake wa „dare to speak“
Wachangiaji wa aina yenu Sijui Kwanini mko hapa na Utaskia mnadai katiba mpya.
Hapana anatafuta network kuchaguliwa angalau uDC. Amejisikia vibaya kuona akina joketi wanaketi meza moja na wakuu wengine. Il-hali yeye akiwa upande wa washangiliajiMayalla huwa msanii tu, anachezea akili za watu makusudi huku akiujua ukweli.
Pale anapojiweka juu ya maamuzi ya KK ya Chadema, Baraza Kuu la Chadema, msajili wa vyama, na maamuzi ya mahakama zetu kwamba wote hao hukosea kwenye maamuzi kuwahusu kina Mdee ndipo humuona ni msanii tu.
Duh mbona wewe ni kama hamnazo vile, pole sanaSiyo wote tunajua kiswahili vizuri usizanu wote tulisomea tz ...acha kutumia matakooo kufikiri
HajajibuHuyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Sio kigamboni ni Kawe mkuuMzee anaezeeka vibaya imagine hata ccm wenzake walimkataa kule kigamboni wakampa kura moja tu tafsiri yake ni kwamba haaminiki. Freelancer mavi.
NEC walitumika tu kama comuflage kuna uwezekano mkubwa hata hawakupelekewa barua /majina yeyeto na chadema .Tujikite katika mlolongo wa katiba, kisheria na natural justice.
Toka awali katibu mkuu CHADEMA yuko on record kukataa kuwa hakupeleka majina wa wateuliwa viti maalu, wanawake, huko NEC.
SASA NIKUULIZE WEWE-NEC waliyapata wapi hayo majina!
Pili hakuna kikao cha CHADEMA kilikaa kuwateua, walijiteuaje?
Jiulize hayo ya msingi na utajua tu, kwa vile una akili za kukutosha, kujua forgery ilitoka wapi.