nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
njaa mbaya sana!Mayala maana yake ni Njaa,hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njaa mbaya sana!Mayala maana yake ni Njaa,hata Msukuma mwenzake alimjua jinsi alivyo mnafiki na mwenye njaa.
Arudishe milioni 2 aliyopewa na kina Mdee kuwa mpiga debe mitandaoni.Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!.
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!.
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Tumsamehe bure Pascal Mayalla kwani si yeye. Ni NJAAHuyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!.
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Hahahaahah Mtani buanaMain Character wa Uzi ameshaamka na kumbe anausoma....KJ bhana.....!!!!
Demokrasia bro ndio iko hivyoHuyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!.
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
P popote ulipo fanya kama unajikuna tukuone tafadhali Kwa maslahi ya taifa,bila kusahau na katiba ya warioba ipo jikoni karibu kuja mezani🚶Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!.
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Amedakishwa??Arudishe milioni 2 aliyopewa na kina Mdee kuwa mpiga debe mitandaoni.
Duh anapingana na Mahakama zake?Paskali Mayala hakubaliani na uamuzi wa mahakama kama ambavyo anavyomuona Mbowe ni gaidi.
Atabaka wajukuu.Umri wa kulea Wajukuu
MUNGU fundiP popote ulipo fanya kama unajikuna tukuone tafadhali Kwa maslahi ya taifa,bila kusahau na katiba ya warioba ipo jikoni karibu kuja mezani🚶
Kwani yeye pekee aamini tofauti na jamii nzima🤔Paskali Mayala hakubaliani na uamuzi wa mahakama kama ambavyo anavyomuona Mbowe ni gaidi.
DadaaaakeAtabaka wajukuu.
🤣🤣🤣🤣🤣Dadaaaake
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!.
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!.
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine