Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Mayalla ana hali gani mida hii baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Hapo kwenye bold, ni vyema ujifunze tu kuandika kuliko kuingia kwenye mambo makubwa yaliyo nje ya uwezo wako.
Siyo wote tunajua kiswahili vizuri usizanu wote tulisomea tz ...acha kutumia matakooo kufikiri
 
Hapo nakupinga uhuni ulifanyika na nani ? Maana chadema walivulugana wenyewe kwa wenyewe ...je kilicho zuia chadema kufanya waliyo fanya sasa ya kuitisha mkutano wa chama na kuwafuta ni nini hadi wakangoja huu mwaka. Mbowe ni muhuni sana hao wakina mdee ni wake zake ndiyo maana yote hayo yanatokea .... kuna msemo wanasema ukitembea na mfanyakazi wako jua unaialibu ofisi yako ....icho ndiyo kilicho tokea
Chadema haijawahi kukurupuka Wala kufanya kazi Kwa mashinikizo
 
Na mimi nikuulize hao hakina mdee walikuwa ccm au chadema ? Kama ni chadema basi jua uhuni ulifanya ndani ya chadema yenyewe ndiyo maana chadema kiliweza kuchukua hatua ya pili waliyo chukua sasa ...ila walichelewa kuchukua hiyo hatua ...kama nilivyo sema wakina mdee ni wake zao huko chadema ....kuhusu kuto kupeleka majini swali tufanye hakupeleka sasa kama hakupeleka kwanini kina mdee wasinge kataa hizo nafasi ..hivyo ingejulikana kuwa tatizo siyo ndani ya chadema ...ilikuwaje majina yaende kifigisu na waliokwenye hayo majina wakubali hizo figisu kwa kukubali ubunge
Yaani wewe ni empty headed
 
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!

Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine

Mayala Hana presha kabisa, anajua fika wale ni wabunge na wataendelea kuwa wabunge, na Leo wameingia bungeni na Spika Yuko kimya kabisa
 
Na mimi nikuulize hao hakina mdee walikuwa ccm au chadema ? Kama ni chadema basi jua uhuni ulifanya ndani ya chadema yenyewe ndiyo maana chadema kiliweza kuchukua hatua ya pili waliyo chukua sasa ...ila walichelewa kuchukua hiyo hatua ...kama nilivyo sema wakina mdee ni wake zao huko chadema ....kuhusu kuto kupeleka majini swali tufanye hakupeleka sasa kama hakupeleka kwanini kina mdee wasinge kataa hizo nafasi ..hivyo ingejulikana kuwa tatizo siyo ndani ya chadema ...ilikuwaje majina yaende kifigisu na waliokwenye hayo majina wakubali hizo figisu kwa kukubali ubunge
You are beating round the bush.
Jijibu maswali niliyopoint out.
Usitake kurusha mchanga machoni kuficha kutojibu the basic contradiction hapo.
 
Mayalla huwa msanii tu, anachezea akili za watu makusudi huku akiujua ukweli.

Pale anapojiweka juu ya maamuzi ya KK ya Chadema, Baraza Kuu la Chadema, msajili wa vyama, na maamuzi ya mahakama zetu kwamba wote hao hukosea kwenye maamuzi kuwahusu kina Mdee ndipo humuona ni msanii tu.

Jaman tuhifadhi maneno yetu, tusijifanye tunajua Sana
 
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!

Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Ataenda mahakamani kukata rufaa kwa ajili ya Covid 19!
 
Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!

Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?

Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Mayalla ana tatizo mahali siyo bure
 
Back
Top Bottom