Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Nawe umeheshimu uhuru wa wenzako.?Kwanini JF INA WATOTO WENGI HIVI. Katoa hoja zake sio msahafu. Heshimuni uhuru wa mtu. Acheni kushambulia personality yake na uhuru Wake wa „dare to speak“
Wachangiaji wa aina yenu Sijui Kwanini mko hapa na Utaskia mnadai katiba mpya.
Ila unafiki unataka roho ngumu sana! Yaani mtu mzima unakubali kuonekana wa hovyo na kuharibu heshima ya jina lako uliyoijenga kwa jasho na damu ili umfurahishe mteuzi?
Mayalla hadi anaitwa bungeni na Ndugai alikuwa shujaa anayesimamia hoja za msingi, lakini njaa ilipompelèka Kawe ndio akawa bogus kuliko hata Suphian Juma yule kijana wa Zitto na marehemu SeifIl
Aisee yule jamaa sijui huwa anawaza kwa kutumia nini🤪😂 ana ngonjera za masifu kuliko hata wana ccm wenyewe! Halafu kutwaa kumtag mama kule twitter!Ila unafiki unataka roho ngumu sana! Yaani mtu mzima unakubali kuonekana wa hovyo na kuharibu heshima ya jina lako uliyoijenga kwa jasho na damu ili umfurahishe mteuzi?
Mayalla hadi anaitwa bungeni na Ndugai alikuwa shujaa anayesimamia hoja za msingi, lakini njaa ilipompelèka Kawe ndio akawa bogus kuliko hata Suphian Juma yule kijana wa Zitto na marehemu Seif
Pascal Mayalla anaamini kwenye hukumu ya 'karma' anasubiri hiyo.Huyu jamaa alianzisha thread nyingi sana Kila siku na zisizo na kichwa Wala miguu akiilaumu na kujifanya kuikosoa CHADEMA kwamba eti "hawaijui Katiba ya Chadema Wala ya nchi"!
Kama kawaida walijitokeza vilaza wakamsapoti, sasa natamani kufahamu amejisikiaje Baada ya Mahakama kuipiga chini kesi ya Mdee na Wenzake?
Funzo, tusizidi kujiona wajuaji kuliko wengine
Usichanganye vijembe na uhuru wa maoniPascal Mayalla anaamini kwenye hukumu ya 'karma' anasubiri hiyo.
Alitumia Uhuru wake wa kutoa maoni, ndio demokrasia hiyo.
Kwa haya yanayofanywa na spika Tanzania tunaonesha dalili za wazi tunahitaji kutawaliwa,tumeshindwa kujitawala.Nina wasi wasi sana na Paskali.
Mizania yake ya kuyapima mambo inazidi kuporomoka
.
Mimi mwana CCM lakini huwezi mtu kusapoti uhuni uliofanyika kuwaingiza kina Mdee bungeni.
Uhuni uliofanyika ni sawasawa na kuisigina katiba.
Akiba haiozi, hata sisi tuliweka akiba ya maneno Wakati akitunangaPaskali kachagua kuweka akiba ya maneno maana hata haelewi nini kinaendelea
Jina halikuchanganyi, unachnganywa ns virusi kichwani mwako.Mayala ama malaya mbona jina linachanganya
Абсолютно глупо перестать использовать ум в шкафу
Не спорьте с слишком умным человеком
Kazi ipoотказаться от собачьих вещей
глупое дерьмо, дерьмо ccm, дерьмо SA100 дерьмо парламент.[emoji90][emoji90][emoji90]отказаться от собачьих вещей