Mayele akiuzwa Yanga SC itaambulia 30% tu ya Pesa na 70% atachukua anayemmiliki huko Congo DR

Mayele akiuzwa Yanga SC itaambulia 30% tu ya Pesa na 70% atachukua anayemmiliki huko Congo DR

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mtangazaji wa Michezo wa Redio Kubwa na inayokubalika nchini Congo DR ya ( iitwayo ) Top Congo FM Mwanadada Sylivia Meya kasema Mayele akiuzwa Kokote kule Yanga SC waliopewa kwa Mkopo wataambulia 30% tu na Tajiri anayemmiliki Mayele na Wachezaji wengine 24 wa Congo DR atachukua 70% yake.

Chanzo Taarifa: Spoti Leo ya Radio One leo Jumanne tarehe 18 July, 2023.

Haya wale mliokuwa mkimtukana Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Michezo Tanzania nzima Saleh Ally ( Saleh Jembe ) aliposema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Mchezaji Fiston Kalala yuko Yanga SC kwa Mkopo na haimmiliki na kwamba ni Mali ya A$ Vita Club ambao na Wao wamepewa na Tajiri Mmoja mkubwa nchini humo anayewamiliki Wachezaji Wakubwa 24 hamjachelewa Kumuomba Radhi / Msamaha na ikiwezekana hata Kumpigia Salute kwani alikuwa sahihi 100% kwa alichokisema.

Yanga SC itaambulia Tsh 92 Milioni tu huku AS Vita Club itaambulia Tsh 170 Milioni na huyo Mmiliki wake ( Tajiri ) atachukua Tsh 1.7 Bilioni.

Kudadadeki.....!!
 
Mayele.PNG


Kama kimombo kinapanda utaelewa. Kama hakupandi basi endelea kunywa mtori nyama utazikuta chini. 😂 😂
 
Yaani pamoja na Kutetema ( Kutingisha Manyonyo ) Kwake kote kule kumbe akiuzwa Yanga SC itaambulia Shilingi Milioni 92 tu huku AS Vita Club alikotoka ikiambulia Shilingi Milioni 170 na Tajiri anayemmiliki Mayele na Wachezaji wengine 23 akipata Shilingi Bilioni 1.7 yake.

GENTAMYCINE nikiwa kama mwana Yanga SC lia lia hakuna asiyejua hapa JamiiForums nataka Maelezo ya kutosha kutoka kwa Rais wa Yanga SC yangu ( yetu ) kwanini kwa Miaka yote Miwili wametudanganya kuwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele Kanunuliwa na si wa Mkopo huku leo ikiwekwa Wazi kuwa kumbe mlikopeshwa na AS Vita Club ambao nao pia walipewa na Tajiri Mmiliki Wachezaji wakubwa 23 zaidi nchini Congo DR.
 
Mtangazaji wa Michezo wa Redio Kubwa na inayokubalika nchini Congo DR ya ( iitwayo ) Top Congo FM Mwanadada Sylivia Meya kasema Mayele akiuzwa Kokote kule Yanga SC waliopewa kwa Mkopo wataambulia 30% tu na Tajiri anayemmiliki Mayele na Wachezaji wengine 24 wa Congo DR atachukua 70% yake.

Chanzo Taarifa: Spoti Leo ya Radio One leo Jumanne tarehe 18 July, 2023.

Haya wale mliokuwa mkimtukana Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Michezo Tanzania nzima Saleh Ally ( Saleh Jembe ) aliposema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Mchezaji Fiston Kalala yuko Yanga SC kwa Mkopo na haimmiliki na kwamba ni Mali ya A$ Vita Club ambao na Wao wamepewa na Tajiri Mmoja mkubwa nchini humo anayewamiliki Wachezaji Wakubwa 24 hamjachelewa Kumuomba Radhi / Msamaha na ikiwezekana hata Kumpigia Salute kwani alikuwa sahihi 100% kwa alichokisema.

Yanga SC itaambulia Tsh 92 Milioni tu huku AS Vita Club itaambulia Tsh 170 Milioni na huyo Mmiliki wake ( Tajiri ) atachukua Tsh 1.7 Bilioni.

Kudadadeki.....!!
Let's assume Yanga hapati hata mia, wewe unapata faida gani? Dume zima kupigia hesabu hela za mwanaume mwenzako
 
BREAKING NEWS

Klabu ya soka ya Simba ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania leo imefikia uamuzi wa kusitisha nia yake ya kumsajili mchezaji Mkongomani Mayele toka Yanga SC. Kwa mujibu wa habari za ndani kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Jemedari, mfua jezi wa timu ya Simba, zinasema kuwa uongozi wa Simba ulionyesha nia ya kumsajili Mayele kama mtunza bustani na kufanya shughuli nyingine za usafi katika uwanja wa Mo Arena huko Bunju, lakini kwa sababu. ambayo hazijawekwa wazi, uongozi umeachana na nia yake hiyo.
 
BREAKING NEWS

Klabu ya soka ya Simba ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania leo imefikia uamuzi wa kusitisha nia yake ya kumsajili mchezaji Mkongomani Mayele toka Yanga SC. Kwa mujibu wa habari za ndani kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Jemedari, mfua jezi wa timu ya Simba, zinasema kuwa uongozi wa Simba ulionyesha nia ya kumsajili Mayele kama mtunza bustani na kufanya shughuli nyingine za usafi katika uwanja wa Mo Arena huko Bunju, lakini kwa sababu. ambayo hazijawekwa wazi, uongozi umeachana na nia yake hiyo.
Hahahaha 🤣🤣
 
Let's assume Yanga hapati hata mia, wewe unapata faida gani? Dume zima kupigia hesabu hela za mwanaume mwenzako
Subiri utakuka kuambiwa alikua mchezaji wa JS likasi , anamilikiwa na Gen Tango Four,

Watanzania wajinga wajinga wengi sana,ndo maana mnaburuzwa buruzwa kama mi mbuzi
 
Mtangazaji wa Michezo wa Redio Kubwa na inayokubalika nchini Congo DR ya ( iitwayo ) Top Congo FM Mwanadada Sylivia Meya kasema Mayele akiuzwa Kokote kule Yanga SC waliopewa kwa Mkopo wataambulia 30% tu na Tajiri anayemmiliki Mayele na Wachezaji wengine 24 wa Congo DR atachukua 70% yake.

Chanzo Taarifa: Spoti Leo ya Radio One leo Jumanne tarehe 18 July, 2023.

Haya wale mliokuwa mkimtukana Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Michezo Tanzania nzima Saleh Ally ( Saleh Jembe ) aliposema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Mchezaji Fiston Kalala yuko Yanga SC kwa Mkopo na haimmiliki na kwamba ni Mali ya A$ Vita Club ambao na Wao wamepewa na Tajiri Mmoja mkubwa nchini humo anayewamiliki Wachezaji Wakubwa 24 hamjachelewa Kumuomba Radhi / Msamaha na ikiwezekana hata Kumpigia Salute kwani alikuwa sahihi 100% kwa alichokisema.

Yanga SC itaambulia Tsh 92 Milioni tu huku AS Vita Club itaambulia Tsh 170 Milioni na huyo Mmiliki wake ( Tajiri ) atachukua Tsh 1.7 Bilioni.

Kudadadeki.....!!
Kama mambo madogo sana kama haya huyajui basi kuhusu bandari na DP kalisha wowowo lako chini huwezi kuelewa lolote.

Mayele amesajiliwa Yanga akitokea Fc Maniema na siyo AS Vita.

Fifa inaupload status za wachezaji wote Mayele hayupo Yanga on loan.

Mayele angekuwa Yanga kwa mkopo Pyramids wangekwenda kuongea na FC Maniema wenye mchezaji wao.

Biblia inatufundisha kwamba hata mjinga akinyama uhesabiwa hekima.

Na Invisible anasisitiza ficha upumbavu wako.
 
Kama mambo madogo sana kama haya huyajui basi kuhusu bandari na DP kalisha wowowo lako chini huwezi kuelewa lolote.

Mayele amesajiliwa Yanga akitokea Fc Maniema na siyo AS Vita.

Fifa inaupload status za wachezaji wote Mayele hayupo Yanga on loan.

Mayele angekuwa Yanga kwa mkopo Pyramids wangekwenda kuongea na FC Maniema wenye mchezaji wao.

Biblia inatufundisha kwamba hata mjinga akinyama uhesabiwa hekima.

Na Invisible anasisitiza ficha upumbavu wako.
Rubbish and Nonsensical.
 
Mtangazaji wa Michezo wa Redio Kubwa na inayokubalika nchini Congo DR ya ( iitwayo ) Top Congo FM Mwanadada Sylivia Meya kasema Mayele akiuzwa Kokote kule Yanga SC waliopewa kwa Mkopo wataambulia 30% tu na Tajiri anayemmiliki Mayele na Wachezaji wengine 24 wa Congo DR atachukua 70% yake.

Chanzo Taarifa: Spoti Leo ya Radio One leo Jumanne tarehe 18 July, 2023.

Haya wale mliokuwa mkimtukana Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Michezo Tanzania nzima Saleh Ally ( Saleh Jembe ) aliposema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Mchezaji Fiston Kalala yuko Yanga SC kwa Mkopo na haimmiliki na kwamba ni Mali ya A$ Vita Club ambao na Wao wamepewa na Tajiri Mmoja mkubwa nchini humo anayewamiliki Wachezaji Wakubwa 24 hamjachelewa Kumuomba Radhi / Msamaha na ikiwezekana hata Kumpigia Salute kwani alikuwa sahihi 100% kwa alichokisema.

Yanga SC itaambulia Tsh 92 Milioni tu huku AS Vita Club itaambulia Tsh 170 Milioni na huyo Mmiliki wake ( Tajiri ) atachukua Tsh 1.7 Bilioni.

Kudadadeki.....!!
1689752050261.png
 
Back
Top Bottom