Mayele akiuzwa Yanga SC itaambulia 30% tu ya Pesa na 70% atachukua anayemmiliki huko Congo DR

Mayele akiuzwa Yanga SC itaambulia 30% tu ya Pesa na 70% atachukua anayemmiliki huko Congo DR

Mtangazaji wa Michezo wa Redio Kubwa na inayokubalika nchini Congo DR ya ( iitwayo ) Top Congo FM Mwanadada Sylivia Meya kasema Mayele akiuzwa Kokote kule Yanga SC waliopewa kwa Mkopo wataambulia 30% tu na Tajiri anayemmiliki Mayele na Wachezaji wengine 24 wa Congo DR atachukua 70% yake.

Chanzo Taarifa: Spoti Leo ya Radio One leo Jumanne tarehe 18 July, 2023.

Haya wale mliokuwa mkimtukana Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Michezo Tanzania nzima Saleh Ally ( Saleh Jembe ) aliposema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Mchezaji Fiston Kalala yuko Yanga SC kwa Mkopo na haimmiliki na kwamba ni Mali ya A$ Vita Club ambao na Wao wamepewa na Tajiri Mmoja mkubwa nchini humo anayewamiliki Wachezaji Wakubwa 24 hamjachelewa Kumuomba Radhi / Msamaha na ikiwezekana hata Kumpigia Salute kwani alikuwa sahihi 100% kwa alichokisema.

Yanga SC itaambulia Tsh 92 Milioni tu huku AS Vita Club itaambulia Tsh 170 Milioni na huyo Mmiliki wake ( Tajiri ) atachukua Tsh 1.7 Bilioni.

Kudadadeki.....!!
Huyu jamaa anazeeka vibaya sana, hii ndo shida ya wazee kuendekeza ganja. Hivi unaweza kuwaambia watu kati ya Yanga na As vita au Maniema nani wamemuuza Mayele? Asiyekuwa na umiliki anawezaje kumuuza mchezaji asiyewake?
 
Huyu jamaa anaandika utumbo sana humu na kuna watu wanamuona.ni kichwa sana
GENTAMYCINE Mshindi wa Tuzo katika Shindano la Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa Msimu wa Kwanza wa 2022/2023 na mwenye Utajiri mkubwa wa Followers ( Great Thinkers ) hapa JamiiForums wanaofikia 158 mpaka sasa.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Huyu jamaa anazeeka vibaya sana, hii ndo shida ya wazee kuendekeza ganja. Hivi unaweza kuwaambia watu kati ya Yanga na As vita au Maniema nani wamemuuza Mayele? Asiyekuwa na umiliki anawezaje kumuuza mchezaji asiyewake?
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Back
Top Bottom