Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Mayele angetetema Mara ngapi mechi ya Orlando pirates vs Simba

Hujui kitu usijidhalilishe kwa nyuzj zako nyingi zisizokuwa na weledi zaidi ya chuki kwa Simba na ushabiki oya oya wa Yanga. Hata wana Yanga wenye weledi wa mpira wanakudharau tu.
Makolo mna hasira baada ya kufunga goli moja la penalty [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ushauri.. hasira zenu mpelekeeni Pablo .....apunguze kikosi cha wazee
 
Baada kumaliza kuiangalia mechi ya kimataifa Kati ya Orlando pirates vs Simba sports club pale kwa mkapa na mechi kuisha kwa ushindi DHAIFU wa goli moja Tena la PENALTY .....huu nauita ushindi DHAIFU kwa sababu ni goli ambalo sio la kiufundi but ni Kama zawadi ya bila kuitolea jasho ........

Yafuatayo ni Mambo niliyoyaona Jana
1. Simba imekosa washambuliaji wa kuweza kuamua matokeo... type ya MAYELE au au CR 7

2. Simba kwa level iliyofikia iachane wachezaji wazee....kina kagere, mzee Bocco

3.binafsi naona MAYELE angewachezea Simba Ange score goali 3 kwa kikosi kile cha Orlando pirates

Je, mfano MAYELE angechezea SIMBA Jana unadhani angefunga goli ngapi?

Note: ushindi wa penalty ....sio ushindi wa kiume

View attachment 2191731
Ni lini Manyele amefunga hatrick hata na hivi vitimu vya NBC tu kavishindwa[emoji1787][emoji1787]
 
Ni lini Manyele amefunga hatrick hata na hivi vitimu vya NBC tu kavishindwa[emoji1787][emoji1787]
Kama unafuatilia utagundua kuwa Ni marachache yanga ana score goal 3+
 
Mkuu..... MAYELE aheshimiwe TAFADHARI......ukiona Hadi wabunge wanamzungumizia .....usichukulie poa
Kwa hiyo kipimo cha akili yako ni wabunge, wakishasema jambo moja kwa moja ubongo wako unapitisha kuwa sahihi?

Hebu wakati mwingine tupunguze ujinga. Hata robo ya akili zifanye kazi.
 
Mkuu .....Geita walikuwa hawachez mpira standards.....but walikua Wana butua .....so ukiwa na wachezaji class ya Mayele .....hawajazoea hii aina ya mipira
Kwa hiyo hicho walichokuwa wanakibutua kilikuwa ni kitu gani ikiwa walikuwa hawachezi mpira?

Kama Geita walikuwa hawachezi mpira basi Yanga ndio walikuwa nao muda wote na Geita walikuwa nacheza butua.

Mitandao imerahisisha sana uchambuzi wa soka.
 
Back
Top Bottom