Mayele kakosa kiatu kwa uzembe wake mwenyewe

Nilimsikia utetezi wake akihojiwa akilalamika kuwa mabeki wanamkamia sana

Haya baada ya siku mbili mchizi akakutana na zari la penati, mashabiki wakiwa wamejiandaa kushangilia wakastukia mpira unakuja jukwaani kimo cha ndege
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Meza panadol kwan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haha mayele amewaachia makolo kidonda cha kudumu mnahasira naye kama kawapokonya mke [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Analia yeye huko anasema wachezaji wenzake hawampi ushirikiano, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] , jiji limetuliaaaa.
 
Simba mbovu imefikaje robo final CAF?
 
Nikweli watanzania kwa uroho wa kwanini naacha yote .
Yotee kabisa mnakera mnajionaga mnaweza hamuwezi kitu mnahitaji wakuwawezesha asilimia kadhaa za watu mnawapuuzia ndio wanaoweza wengi wenu vilaza , wajuaji na hamuwezi .
Wengi wanaoweza mnawanyima fulsa wanaishia kunywa pombe nakulewa tu.
Namwisho wanakufa bila heshima yeyote mnabaki hakuna lolote mnaloweza mpaka leo kunawatu hawajui kuzidisha hesabu ndogo tu au kutamka millioni mbili na laki sita na elfu ishirini na sita na miatano.
Anasema elfu kumi na mbili na mapoint .
Hamnaga ushirikiano na hamtaki kuelezewa mkabadilika.
Mayele his right .
Ikute wewe nawe wale wale tu kwanza umebahatisha post ya leo .
 
PumBAaa

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Mayele his right make hapo kwanza ncheke
 

Attachments

  • 20220629_224822.jpg
    44.7 KB · Views: 3
Kwasababu umebeba lile jagi kwa hiyo we unajiona ni bora sana umesalimika huitaji solution?

Afu George mpole naskia ni mnyakyusa, we ulikuwa unalijua hilo?
Umekosa hoja umeanza ukabila I'm out of here
 
Mayele his right make hapo kwanza ncheke
Yeah his right mnajuaga kumkatisha mtu tamaa ndio maana kazi sifanyagi na watz wanajiwekea visheria vyao vya ajabu utakuta wanakukwamisha ili hali mkose wote ili uondoke tu mahali hapo na unakuta faida ni ya wote acheni ujinga nchi iendelee mh. Kasema tuache dhambi tufanye kazi ndio hii sasa mambo ya figisu figisu tuziache
 
Ngoja walimu wa kimalkia waje mie simooo πŸƒπŸΏ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…