Mayele kakosa kiatu kwa uzembe wake mwenyewe

Mayele kakosa kiatu kwa uzembe wake mwenyewe

Sasa mambo ya kimataifa yanahusikaje hapa.. hata kama hao akina Kagere wakitoka na 2 sijui 3.. hzo 2 tuoneshe mechi gani ya kimataifa wamefunga..acha Uzwazwa wewe Kikurung'unde
kagere kawafunga hadi al ahly
mpuuzi wewe
 
Masikini makolo mnajifariji [emoji1787]
Umeona clip? Analia huku anamfata kibendera, dreads zinapeperuka na upepo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka mbavu cnaa, nasubiri chupli chupli ya Takadini kesho kwa Press.

Mpoleeeeee katuliza jiji, mnalooo hili. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaambiwa mayele toka aanze kucheza soka la ushindani (timu za ligi kuu) hajawahi kua mfungaji bora
 
Mayele akiwa ndani ya 18 anakabwa na watu watatu hadi wanne muda mwingi wa mechi tena ni game zoote

Mpole hakuna anayehangaika nae ni yeye tu mpira ukimkalia sawa ana score.

Mayele ukongo wake pia umemponza wa tz wengi wakiwemo baadhi ya waamuzi walipenda sana mpole achukue kiatu hiki eti sababu tu ni mzawa..!na hilo limethibitika katika mechi nne au sita sasa ambapo magoli ya mayele yamekua yakikataliwa atini offside wakati mengi yao ukiangalia yalikua magoli halali kabisa
Kitu ambacho kwa mpole hakipo,kundi kubwa la wa tz lilitamani mpole aongoze ktk mbioza wafungaji.

Lakini kuna uzi niliwahi kuweka hapa kuwa Mayele atabaki kuwa Mayele..
Leo hii George Mpole anaongoza katika ufungaji lakini sio hatari/ tishio...

Leo hii timu yeyote na mtu yeyote akiambiwa aunde kikosi na awekewe straika wawili achague kati ya mayele na george ...unadhani nani atanyakuliwa hapo?

So Mayele si mzembe bali Mpole uzalendo umembeba kwa kiasi kikubwa
Kwahiyo mabeki walikuwa wanamwachia afunge kisa uzalendo? Mbona uingereza anachukua salah badala ya kane inamaana hakuna uzalendo?
 
Bila ushabiki wa hizi timu zenu za Kariakoo, Mpole ni mfungaji wa magoli mengi na Mayele ni mfungaji Bora wa msimu.
 
View attachment 2276909
Swala la mayele kutokua mfungaji bora liliiua la kitaifa kwa 80%,ilifikia mpaka waandishi kumpa ahadi ya pesa,marefarii na makolo nao sijui walimuhaidi nini huyu jamaa,niliangalia ile game coastal pa1 walikua washafungwa goli 2 kwa goli la feisal na chico lakini mabeki walikua tayari afunge yoyote lakini sio mayele kwa jinsi walivyokua wanamchezea deep
Kwani messi na Ronaldo hawakabwi Sana? Lakini mwisho wa siku wanaweka mpira nyavuni Mayele ili awe mshambuliaji hatari alitakiwa kuonesha ni striker wa namna gani au mwenye ubora upi kwa kipindi chote hicho wanachomkaba Messi na Ronaldo wamekuwa Bora na wanatajwa kama wachezaji Bora wa muda wore kwa moment kama hizo
 

Attachments

  • FB_IMG_16565661566068991.jpg
    FB_IMG_16565661566068991.jpg
    18.5 KB · Views: 3
Mm nilikuwa nawaambia watu mayele ni mchezaji wa kawaida hajafika levo za kina Kagere yaan timu yako haijafungwa mechi hata moja na imechukuwa ubingwa unashindwaje kuwa top score wakati chance ya kushinda kwenu kila mechi ni kubwa angalia Kagere hapo Simba hali sio nzuri goli 7 inamaana huyu mayele Angekuwa timu kama azam au Simba ya mwaka huu Angekuwa kama mugalu tu anagoli 1 au 3 kutetema mwaka mzima mwisho wa msimu unaangukia pua kwa wasiokuwa na akili wote watalalamikia goli la Leo kama yeye ni hatari kwanini asishinde magoli hata 19 au 20 ili kuweka utofauti na wenzake kwa yoyote anaona imemuuma mayele kukosa kiatu aende karume akamtafutie mkiambiwa huyo ni mchezaji wa kawaida muwe mnaelewa Timu mkubwa miaka 5 haitoi mfungaji bora wa ligi huo ukubwa wa Yanga uko wapi?
Kwani hao unaowasema hawakuwa katka ligi akina kagere na wengine achani unafiki ni matokeo ya mitihani ilivyo

Mpole Kawa top score na mayele wapili
Full stop


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Ndio ni moja na mimba yake mkabeba mapacha 4
Sawa kolo nambari 1.. ndo kombe mlilokuwa mkilisubiri Hilo ni kiatu Cha Mpole tu.. ety..
Yaan haya maisha haya kutoka kwenye kinyang'anyiro Cha makombe Hadi kiatu. Alafu nasikia amechukuwa mchezaji wa GEITA, kwani nyie ukoloni Huku hamna wachezaji eeh🤣🤣
3ZOV
 
Back
Top Bottom