Mayele kakosa kiatu kwa uzembe wake mwenyewe

Mayele kakosa kiatu kwa uzembe wake mwenyewe

Attachments

  • FB_IMG_16565661658555698.jpg
    FB_IMG_16565661658555698.jpg
    46.1 KB · Views: 4
Kiatu kilikuwa kinashindaniwa na kila mshambuliaji wakiwemo hao wachezaji wako wa Simba,
 
uzungu ndiyo ulio m cost mayele. mambo ya kubadilishana badilishana jezi adi 'julio' baada ya mechi ya namungo vs yanga akakamata jezi yake na kuwakabidhi makolo …………………………..
 
Mimi navyofahamu huwezi kuwa mshambualiji mahiri na hatari kama unafunga bao moja kila mechi halafu unategemea uje kuwa mfungaji bora.

Mchezaji kama Mayele kwa aina ya viungo wa Yanga akiwemo Aucho, Sure Boy, Fei Toto, Farid Mussa, Jesus na nk alitakiwa kila mechi amekosa kosa sana bao 2.

Mayele alitakiwa kufunga hata hatrick kwenye mechi lakini ameishia kufunga mabao ya kichawi tu.

Hivi George Mpole kwa timu gani hadi aje kuwa na mabao 17 Leo amshinde Mayele kama sio uzembe wa mkongo huyo.

Wenzake akina Bocco, Kagere, Mugalu walikuwa wakizifumania timu wanajiondokea na mabao 2 had 3 kwa mechi moja.

Sasa wewe Mayele utoke kwenu Congo huko unakuja kufunga kigoli moja halafu unalalamika kuwa wachezaji wenzako wamekunyima ushirikiano.

Nawashauri Yanga kwa mchezaji kama Mayele ambaye hana uwezo wa kufunga mabao mengi katika mchezo mmoja jiandaeni kuaga michuano ya kimataifa.

Mark my words
kwani unadhani alikuwa anacheza pekee yake?
 
Bila ushabiki wa hizi timu zenu za Kariakoo, Mpole ni mfungaji wa magoli mengi na Mayele ni mfungaji Bora wa msimu.
Atakayechukua tuzo ya Kiatu cha Mfungaji bora, ndo mshindi, hizi zingne ni kelele za Takadini fans, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
uzungu ndiyo ulio m cost mayele. mambo ya kubadilishana badilishana jezi adi 'julio' baada ya mechi ya namungo vs yanga akakamata jezi yake na kuwakabidhi makolo …………………………..
Kwa uzungu gan alionao yule dada Fistonia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mnatuchekesha huku khaaah, aendelee kutetemesha matiti ili amkonge boss wake,
 
Yeye ameshakubali, nyie ni nani muendelee kuteseka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16565792292191560.jpg
 
Kwa hiyo mpole mpaka kawa mfungaji bora alikuwa anafunga goli ngapi kila mechi?[emoji848]
Mtu una bichwa kuuuubwa halafu unashindwa kuambulia point.

Mwandishi kasema kwamba Mpole anacheza timu ndogo kulinganisha na Mayele.

Pili kasema unacheza na viungo mahiri km Bangala, Aucho, Feitoto, Sureboy unashindwaje kufunga goli za kutosha? So Mayele ni mzembe, km Siyo wa kawaida.

Kwahiyo Mpole ajengewe sanamu, kwa hadhi na viwango vya geita ,Mpole

amefanya maajabu.
 
Mayele anakabwa kama kawaibia mabeki wa timu pinzani Figo,kuna beki wa timu fulani ambayo mashabiki wake wana maumivu kwa sasa alionekana shujaa kwemye derby kisa tu kamzuia Mayele asifunge,uchizi!!
msimu imeisha kombe imechukua lkn una maumivu.

Je, msimu mpya 2022/2023 ukianza Manzoki, Phiri, Okra wakianza kutupia hayo mahati tiriki si utakuwa unatembea na dripu ya insulin na kipimo Cha Bp.
 
Back
Top Bottom