Bukoba Finest
JF-Expert Member
- Jul 13, 2023
- 250
- 315
Kwahyo Kenge huwa askii kabisa tofauti na hapo mkuu?Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
Mpaka Atoke DamuKwahyo Kenge huwa askii kabisa tofauti na hapo mkuu?
Dah man sikujua kama kenge ni mjinga kiasi hiki [emoji23][emoji23]Mpaka Atoke Damu
Anaweza Kupanda Mfano Mti Anakwenda Mpaka Tawi La Mwisho Bila Kujari Umbali Halafu Anaaguka Damu Zinatoka Ndiyo Anajua Nimeumia
Muwindaji nguli kakaMayele ndo nani huko dasilamu?
Aliyefika Final Shirikisho sio Mayele ni Yanga Sc acha kujichomoa fuse.Magoli yake mengi yalikuwa decisive goals. Hasa kwenye mashindano ya CAF. Yanga isingefika popote bila Mayele. Acheni kujifariji
Ni wazi lakini waliomleta Mayele bado wapo kwahyo shughuli haipoMtatia akili ngoja tuone jikaze tu ni kawaida timu kuondokewa na mchezaji tegemeo Ila nisikufiche shughuli ipo..
Kumbe hata mpira haujui. Mimi naongelea mchango wake Yanga kufika hatua ya fainali CAF. Pia kuchukua ligi angalia mchango wa kupata points 3 kupitia magoli yake. Acha uzwazwaAliyefika Final Shirikisho sio Mayele ni Yanga Sc acha kujichomoa fuse.
Baadhi ya waandishi na mashabiki ( Timu pinzani) wamefurahia swala la Fiston Kalala Mayele "Predator" kukubali offer ya Pyramids na kusisitiza kuwa Yanga haitakuwa na makali msimu unajao.
Yanga msimu uliopita amefunga magoli 67 Mayele kafunga goli 17 tu kati ya 67. Magoli 50 yote yamefungwa na wachezaji wengine hiyo inaonesha wazi Yanga sio team ya kumtegemea mchezaji mmoja Mayele kachangia asilimia 25.37% ya magoli yote yaliyofungwa kwa maana ya kwamba asilimia 74.6% ya magoli bado ipo Yanga.
Endapo yanga wataitumia 2B vizuri anaweza kuja Mayele Pro na league itakuwa ya moto zaidi kama atatua Sankara raia wa Ivory coast.
Hakuna anayemchukulia poa Mayele, ila Yanga inaweza kufanya vizuri bila yeye."linazibika vizuri sana ni neno la shabiki maandazi"
- Mafanikio ya Yanga ya Msimu uliyopita kwa asilimia kubwa yamebebwa na Mayele.
- Thamani ya Mayele inaelezea umuhimu wake, uniquiness, na value, monetary value speak it all.
Mimi no Mshabiki wa Yanga Kindaki ndaki, tutafanya vizuri, ila tusimchukulie poa Mayele.
Hakuna anayemchukulia poa Mayele, ila Yanga inaweza kufanya vizuri bila yeye.
Good observationBaadhi ya waandishi na mashabiki ( Timu pinzani) wamefurahia swala la Fiston Kalala Mayele "Predator" kukubali offer ya Pyramids na kusisitiza kuwa Yanga haitakuwa na makali msimu unajao.
Yanga msimu uliopita amefunga magoli 67 Mayele kafunga goli 17 tu kati ya 67. Magoli 50 yote yamefungwa na wachezaji wengine hiyo inaonesha wazi Yanga sio team ya kumtegemea mchezaji mmoja Mayele kachangia asilimia 25.37% ya magoli yote yaliyofungwa kwa maana ya kwamba asilimia 74.6% ya magoli bado ipo Yanga.
Endapo yanga wataitumia 2B vizuri anaweza kuja Mayele Pro na league itakuwa ya moto zaidi kama atatua Sankara raia wa Ivory coast.
Basi ukirejea article yangu utaelewa nilichomaanisha, Mayele hakuwa uwanjani peke yake ndio maana kabeba asilimia 25 kweye alama 78 tulizovunaKumbe hata mpira haujui. Mimi naongelea mchango wake Yanga kufika hatua ya fainali CAF. Pia kuchukua ligi angalia mchango wa kupata points 3 kupitia magoli yake. Acha uzwazwa
...ukweli dhahiriBaadhi ya waandishi na mashabiki ( Timu pinzani) wamefurahia swala la Fiston Kalala Mayele "Predator" kukubali offer ya Pyramids na kusisitiza kuwa Yanga haitakuwa na makali msimu unajao.
Yanga msimu uliopita amefunga magoli 67 Mayele kafunga goli 17 tu kati ya 67. Magoli 50 yote yamefungwa na wachezaji wengine hiyo inaonesha wazi Yanga sio team ya kumtegemea mchezaji mmoja Mayele kachangia asilimia 25.37% ya magoli yote yaliyofungwa kwa maana ya kwamba asilimia 74.6% ya magoli bado ipo Yanga.
Endapo yanga wataitumia 2B vizuri anaweza kuja Mayele Pro na league itakuwa ya moto zaidi kama atatua Sankara raia wa Ivory coast.
Bora ameondoka Ili Simba wapumueMtatia akili ngoja tuone jikaze tu ni kawaida timu kuondokewa na mchezaji tegemeo Ila nisikufiche shughuli ipo..
😂😂Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni