Mayele kuondoka Yanga, pengo lake linazibika kiurahisi sana

Mchezaji anayechangia 25% ni nguzo muhimu kwa timu. Kama huamini toa % ya mchango wake kutoka 78 pts,utabaki na 50 pts
Meaning team ilicheza down to ten man sio [emoji16][emoji16]
 
Wazi, ila malengo makubwa hapa ni kwamba team yetu sio dependent we can do better hata akikosa mchezaji mmoja meaning kila mchezaji kwenye team ana contribution proportional na wenzake.
 
Vipi, pengo bado lipo?🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kumbe hata mpira haujui. Mimi naongelea mchango wake Yanga kufika hatua ya fainali CAF. Pia kuchukua ligi angalia mchango wa kupata points 3 kupitia magoli yake. Acha uzwazwa
Kama Aziz Ki asingefunga kule uarabuni huo mchango wa Mayele ungeuona wapi. Hiyo shida ya kumtegemea mchezaji mmoja ndiyo inazisumbua timu nyingi duniani ikiwemo Simba. Sisi tushatoka huko, kwa sasa ukimkaba Konkoni anakufunga Aziz, ukimkaba Aziz anakufunga Max, ukimkaba Max anakufunga Mzize, ukimkaba Mzize beki inapanda inakufunga huo ndiyo mtaji tulionao Yanga ya Gamondi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…