demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Sioni kama katika siku za hivi karibuni kutatokea na mchezaji nchini Tanzania atauzwa kwa kiasi cha zaidi ya Bilioni 3.6 kumzidi Fiston Kalala Mayele.
Yanga SC wameingiza mpunga mrefu zaidi kwa mauzo ya Mayele kuliko thamani ya Mkataba wa msimu mmoja wa Simba na Sandaland.
3,645,000,000 Tanzanian Shilling: Thamani ya Mayele.Link:
Sell-on clause ni kipengele ambacho kinawanufaisha AS Vita katika mauzo hayo. SaSa watavuna Milioni 800 katika mauzo hayo. Wakati huo huo Yanga SC wataingiza Bilioni 2 na Milioni 800.
Yanga SC wameingiza mpunga mrefu zaidi kwa mauzo ya Mayele kuliko thamani ya Mkataba wa msimu mmoja wa Simba na Sandaland.
3,645,000,000 Tanzanian Shilling: Thamani ya Mayele.Link:
Sell-on clause ni kipengele ambacho kinawanufaisha AS Vita katika mauzo hayo. SaSa watavuna Milioni 800 katika mauzo hayo. Wakati huo huo Yanga SC wataingiza Bilioni 2 na Milioni 800.