King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huo Mpunga unaweza ukainunua Kolo FC aka Ndunduka FC.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania kuna tatizo la lugha na kuelewaNilikaa kimya nione kama kuna mtu mwingine atalisema hili. Taarifa iliyoletwa na yule puyanga mleta mada haifanani na post aliyoambatanisha.
Watu wengi hawajui kusomaNimebishana na watu ofisini leo asubuhi kuhusu hili
Tatizo letu ni ushabiki na kutoelewa vitu.Tafsiri kamili na sahihi ya hiyo post ni hii hapa chini ingawa sina uhakika wa chanzo cha hiyo taarifa iliyoambatanishwa.
Yanga walimpata Mayele kwa pesa ndogo au bure kutoka Vita (au wengine tumekuwa tunasema muda mrefu kwa mkopo halafu tunabezwa), wakawekeana kipengele hicho cha sell-in-clause kwamba ikitokea Mayele ameuzwa, Vita atapata mshiko wake wa kutosha tu kutoka kwenye hayo mauzo. Taarifa hiyo hapo juu haijasema asilimia ngapi kila upande unapata.
Gharama za jumla za mauzo (transfer fee) ni dola 800,000 ambayo ni kama bilioni 1.8.
Hiyo dola 1.5M aliyosema inajumuisha transfer fee (hiyo dola 800,000) na mshahara wa Mayele. Kwa hesabu za haraka, tukichukulia transfer fee ni dola 1M, Mayele anaenda kupata mshahara wa kama dola 14,000 kwa mwezi (ambayo ni kama shilingi milioni 32).
Wengine siyo vilaza humu kama baadhi ya watu wanavyodhani.
Hakuna mchezaji wa bei hiyo, hiyo ni bei ya jikoni yani imepikwa.Safi sana yanga iko kibiashara faida aliyoiacha mayele kwa yanga ni kubwa mno
Tatizo la lugha ni kubwa sana nchi hiiTanzania kuna tatizo la lugha na kuelewa
We jamaa nani anakudanganya kipumbavu namna hii?Sioni kama katika siku za hivi karibuni kutatokea na mchezaji nchini Tanzania atauzwa kwa kiasi cha zaidi ya Bilioni 3.6 kumzidi Fiston Kalala Mayele.
Yanga SC wameingiza mpunga mrefu zaidi kwa mauzo ya Mayele kuliko thamani ya Mkataba wa msimu mmoja wa Simba na Sandaland.
3,645,000,000 Tanzanian Shilling: Thamani ya Mayele.Link:
View attachment 2691018
Sell-on clause ni kipengele ambacho kinawanufaisha AS Vita katika mauzo hayo. SaSa watavuna Milioni 800 katika mauzo hayo. Wakati huo huo Yanga SC wataingiza Bilioni 2 na Milioni 800.
View attachment 2691020
Tafsiri sahihi tu ya hiyo post inawaumbuaLeta ushahidi wako wa ukweli ili tusiamini uthibitisho uliotolewa hapo
Umenyanyua mikono juu,, wanatumia nguvu mno kujifariji [emoji23][emoji23]Ila mashabiki wa Yanga
Ukiyaambia ukweli yanatukana, hiyo bei ni kwaajili ya kuwapoza tu machungu lakini hamna kitu hapoHakuna mchezaji wa bei hiyo, hiyo ni bei ya jikoni yani imepikwa.
Mi jicho langu limeenda kuangalia vingine.
Habari zenu za kuokoteza hizi kama ingekuwa hivyo Yanga wasinge mwachia,aondoke kwani angebaki alikuwa na uwezo wa kuingiza zaidi ya hiyo hela.
Thubutuu, hapo subiria kudhulumianaYanga nao kwenye mkataba wao kuwe ni kifungu kitakachowanufaisha iwapo Pyramids itaamua nayo kumwuza
Nawaambiaga siku zote hawa puyanga, kusema uongo zama hizi ni kazi bure, kwa huu utandawazi, muda haupiti unaumbuka.Watakuwa walikuwa wanamlipa kidogo asee sasa kakataa shilingi ngapi akachukue hiyo 32m
Rekodi za manunuzi ya wachezaji, credit huwa zinaenda kwa mnunuzi, wala si mnunuaji au mnunuliwaji. Cha msingi hatakuwapo kwenye kikosi cha Yanga, mengine ni makelele ya vyura 😁Sioni kama katika siku za hivi karibuni kutatokea na mchezaji nchini Tanzania atauzwa kwa kiasi cha zaidi ya Bilioni 3.6 kumzidi Fiston Kalala Mayele.