Mayele Kuuzwa Bilioni 3.6 AS Vita Kuchota Milioni 800

Mayele Kuuzwa Bilioni 3.6 AS Vita Kuchota Milioni 800

Twambie Maniema AS wanapata ngapi?
Unamzunguzia Maxi Nzengeli?za kuambiwa changanya na zako.Mayele amejiunga Yanga toka AS vita.manufaa Kama yapo watapata toka AS vuta.
 
Unamzunguzia Maxi Nzengeli?za kuambiwa changanya na zako.Mayele amejiunga Yanga toka AS vita.manufaa Kama yapo watapata toka AS vuta.
Kwa taarifa yako Mayele anamilikiwa na Maniema AS vita na Yanga walipewa kwa mkopo. Yanga atakula m 97 tu kwenye hilo dili. Vita naye atakula kiasi kisichozidi m 180. Mkwanja uliobaki unaenda kwa Maniema AS ambao nao ni kivuli tu, mmiliki halali ni mbeba mtutu mmoja mkubwa huko DRCambaye kimsingi ndo atakula mchuzi huo. Vivyo hivyo kwa Djuma Shaban na sasa Maxi Nzengeli
 
Aibu kweli..kelele zote zilee
Kwa taarifa yako Mayele anamilikiwa na Maniema AS vita na Yanga walipewa kwa mkopo. Yanga atakula m 97 tu kwenye hilo dili. Vita naye atakula kiasi kisichozidi m 180. Mkwanja uliobaki unaenda kwa Maniema AS ambao nao ni kivuli tu, mmiliki halali ni mbeba mtutu mmoja mkubwa huko DRCambaye kimsingi ndo atakula mchuzi huo. Vivyo hivyo kwa Djuma Shaban na sasa Maxi Nzengeli
 
Yanga SC wameingiza mpunga mrefu zaidi kwa mauzo ya Mayele kuliko thamani ya Mkataba wa msimu mmoja wa Simba na Sandaland.
 
Kwa taarifa yako Mayele anamilikiwa na Maniema AS vita na Yanga walipewa kwa mkopo. Yanga atakula m 97 tu kwenye hilo dili. Vita naye atakula kiasi kisichozidi m 180. Mkwanja uliobaki unaenda kwa Maniema AS ambao nao ni kivuli tu, mmiliki halali ni mbeba mtutu mmoja mkubwa huko DRCambaye kimsingi ndo atakula mchuzi huo. Vivyo hivyo kwa Djuma Shaban na sasa Maxi Nzengeli
Huu ni ukweli kabisa na hujakosea
✍️
 
Kwa taarifa yako Mayele anamilikiwa na Maniema AS vita na Yanga walipewa kwa mkopo. Yanga atakula m 97 tu kwenye hilo dili. Vita naye atakula kiasi kisichozidi m 180. Mkwanja uliobaki unaenda kwa Maniema AS ambao nao ni kivuli tu, mmiliki halali ni mbeba mtutu mmoja mkubwa huko DRCambaye kimsingi ndo atakula mchuzi huo. Vivyo hivyo kwa Djuma Shaban na sasa Maxi Nzengeli
Uongo.
 
Dalali anaposhangilia tajiri kuuza Mali yake kwa bei kubwa..sema siyo mbaya kwani na yeye kamgao lake ka udalali kananakuwa angalau kidogo
Nimeshangaa Yanga tunafurahia kwa udalali.... Tajiri amenyamaza tu.
 
View attachment 2691018
Sell-on clause ni kipengele ambacho kinawanufaisha AS Vita katika mauzo hayo. SaSa watavuna Milioni 800 katika mauzo hayo. Wakati huo huo Yanga SC wataingiza Bilioni 2 na Milioni 800.
Ukiitafsiri hii habari kwa hesabu za uhakika, Yanga watakuwa wameambulia hela ndogo sana, na pengine ndio maana walikuwa wanaona heri asiuzwe mwaka huu hata kama mwakani ataondoka bure. Yaani ndani ya $1.5M kuna hela ya usajili na mishahara ya miaka mitatu. Katika hiyo hela ya usajili tu (sio $1.5M yote), ondoa na uweke pembeni $0.8M za AS Vita, maana yake zinabaki $0.7M ambazo hata nazo ndani yake kuna components za hela ya usajili na mshahara wa Mayele (sio wa Yanga). Hiki ni kitu kizito kimetua kichwani. Mleta mada kaa chini uombe radhi kwa kupotosha
 
Sioni kama katika siku za hivi karibuni kutatokea na mchezaji nchini Tanzania atauzwa kwa kiasi cha zaidi ya Bilioni 3.6 kumzidi Fiston Kalala Mayele.

Yanga SC wameingiza mpunga mrefu zaidi kwa mauzo ya Mayele kuliko thamani ya Mkataba wa msimu mmoja wa Simba na Sandaland.

3,645,000,000 Tanzanian Shilling: Thamani ya Mayele.Link:

View attachment 2691018
Sell-on clause ni kipengele ambacho kinawanufaisha AS Vita katika mauzo hayo. SaSa watavuna Milioni 800 katika mauzo hayo. Wakati huo huo Yanga SC wataingiza Bilioni 2 na Milioni 800.
View attachment 2691020
GSM ndiyo watapata hizo faida siyo Yanga,wao ndiyo waliowekeza Hela za kumnunua na Kuna mikataba wameandikishana na Yanga ambayo wewe shabiki huwezi kuonyeshwa,kama huamini ninachokiandika chukua mfano wa mauzo ya jezi,jezi inauzwa sh 35,000 lakini Yanga wanaambulia sh 1300/= kwa Kila jezi yaani haiingii akilini .
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Nyie wengine sio watu mpira kabisa, hivi unafuatiliaga tetesi za usajili kupiti gwiji huyu wa Fabrizio Romano.

Ngoja nikuelekeze kwenye deal la kumsajili mchezaji, kuna negotiations kati ya mchezaji na timu inayo mtaka baada ya timu inayo mtaka kupata ruhusa kwa timu inayo mmiliki.

Baada ya Mchezaji na timu inayo mtaka kumalizana upande wa maslahi ya mchezaji binafsi, then klabu inayo mtaka wanarudi mezani kwa ajili ya kufanya makubaliano na timu inayo mmiliki.

So kiwango chochote atakacho pata timu inayo mmiliki yy hausiki nacho, kwani yy tayari alikuwa tayari na room ya mazungumzo na club inayo mtaka,signing fees yy haimuhusu.
Ukiitafsiri hii habari kwa hesabu za uhakika, Yanga watakuwa wameambulia hela ndogo sana, na pengine ndio maana walikuwa wanaona heri asiuzwe mwaka huu hata kama mwakani ataondoka bure. Yaani ndani ya $1.5M kuna hela ya usajili na mishahara ya miaka mitatu. Katika hiyo hela ya usajili tu (sio $1.5M yote), ondoa na uweke pembeni $0.8M za AS Vita, maana yake zinabaki $0.7M ambazo hata nazo ndani yake kuna components za hela ya usajili na mshahara wa Mayele (sio wa Yanga). Hiki ni kitu kizito kimetua kichwani. Mleta mada kaa chini uombe radhi kwa kupotosha
 
Sioni kama katika siku za hivi karibuni kutatokea na mchezaji nchini Tanzania atauzwa kwa kiasi cha zaidi ya Bilioni 3.6 kumzidi Fiston Kalala Mayele.

Yanga SC wameingiza mpunga mrefu zaidi kwa mauzo ya Mayele kuliko thamani ya Mkataba wa msimu mmoja wa Simba na Sandaland.

3,645,000,000 Tanzanian Shilling: Thamani ya Mayele.Link:

View attachment 2691018
Sell-on clause ni kipengele ambacho kinawanufaisha AS Vita katika mauzo hayo. SaSa watavuna Milioni 800 katika mauzo hayo. Wakati huo huo Yanga SC wataingiza Bilioni 2 na Milioni 800.
View attachment 2691020
Huna akili. Meema wako wapi hapo
 
Nyie wengine sio watu mpira kabisa, hivi unafuatiliaga tetesi za usajili kupiti gwiji huyu wa Fabrizio Romano.
Sasa kama mwandishi haaminiki, ni kwa nini mleta mada amesema dau la usajili ni sh. 3.6B?
 
Sasa kama mwandishi haaminiki, ni kwa nini mleta mada amesema dau la usajili ni sh. 3.6B?
Hoja yangu ilijikita katika huu uongo ulio uandika ww.

"...yake zinabaki $0.7M ambazo hata nazo ndani yake kuna components za hela ya usajili na mshahara wa Mayel..............".
 
Back
Top Bottom