Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

Yaan mda woteee ule walikua busy na ujinga mwingine leo sasa baada ya kichapo ndo wanashtuka kuna MUNGU !!sema kwa sababu Mungu ni mwingi wa rehema atafanya jambo.
Kama ulifuatilia huu mzozo tokea awali hakuna muda hamas hawakujua uwepo wa Mungu
Na ndio maana awali waliwataka waislam wenzao ulimwenguni kote wawaombea tu dua kwa Allah kama hawawezi kutoa msaada wa moja kwa moja
Yote ila nikujua kwamba uwezo wa Allah ni mkubwa zaidi kuliko misaada ya wanaotaka kuwapa
 
wakiachilia mateka wote na either kujisalimisha au kukimbia gaza, vita inaisha leo leo, ila kwa ujeuri wa HAMAS, wanaoumia ni wananchi waliichagua HAMAS...
ISRAEL inapigana kwa sababu 2 kuu,
1. kukomboa raia wake waliotekwa na hamas, iwe ni kwa kuwapata huko mapangoni au kwa kuwapiga hamas mpaka hamas waachilie mateka wenyewe. sasa hakuna nchi iaiyipigania watu wake labda tz, kwahyo vita haitaisha kama hamas ataendelea kushikilia mateka. solution? achia mateka vita iishe. kwahyo mpaka hapo wa kulaumiwa ni HAMAS

2. kuhakikisha mashambulizi ya octoba 7 hayajirudii tena, wenyewe wanasema #neverAGAIN , maana viongozi wa hamas wametangaza kuwa hichi ni kimbuka cha al qaisa na watarudia tena na tena na tena kuwashambulia israel mpaka iwafute kwenye uso wa dunia, sasa kama adui ameshakutangazia kifo utakaa kimya na kumsubiri au ni kumfata huko huko ummlize kabla hajakumaliza... ndicho wanachofanya IDF. lengo ni kuwamaliza hamas wote kama sio kuwaua basi ni kuwakamata na kuhakikisha hakuna kirusi cha hamas kitachopanga shambulizi dhidi ya Israel in near future... sasa katika hili pia wa kulaumiwa ni HAMAS, maana wametangaza vita ila uwanja wao wa vita ni kwenye mitaa yenye watu wengi.

hitimisho ni hamas waondoke gaza, mateka waachiwe vita iishe, lakin kuwalaumu israel wakati mabalaa yote kayataka hamas basi sio fair. wanachi wa gaza wawageukie na kuwalilia hamas, wala Mungu hajawaacha, ila HAMAS ndio wanaowaletea mateso.

mkiwa na viongozi wapuuzi, mabalaa yakija huwapata wote, hata zama za farao na kina musa, ujieuri wa farao ulileta mateso wa kwa misri wote, maana yale mapigo 10 kila mmisri alipigwa.
ISRAEL wanapigania maisha yao na kesho yao, adui wa amani ni HAMAS
 
wakiachilia mateka wote na either kujisalimisha au kukimbia gaza, vita inaisha leo leo, ila kwa ujeuri wa HAMAS, wanaoumia ni wananchi waliichagua HAMAS...
ISRAEL inapigana kwa sababu 2 kuu,
1. kukomboa raia wake waliotekwa na hamas, iwe ni kwa kuwapata huko mapangoni au kwa kuwapiga hamas mpaka hamas waachilie mateka wenyewe. sasa hakuna nchi iaiyipigania watu wake labda tz, kwahyo vita haitaisha kama hamas ataendelea kushikilia mateka. solution? achia mateka vita iishe. kwahyo mpaka hapo wa kulaumiwa ni HAMAS

2. kuhakikisha mashambulizi ya octoba 7 hayajirudii tena, wenyewe wanasema #neverAGAIN , maana viongozi wa hamas wametangaza kuwa hichi ni kimbuka cha al qaisa na watarudia tena na tena na tena kuwashambulia israel mpaka iwafute kwenye uso wa dunia, sasa kama adui ameshakutangazia kifo utakaa kimya na kumsubiri au ni kumfata huko huko ummlize kabla hajakumaliza... ndicho wanachofanya IDF. lengo ni kuwamaliza hamas wote kama sio kuwaua basi ni kuwakamata na kuhakikisha hakuna kirusi cha hamas kitachopanga shambulizi dhidi ya Israel in near future... sasa katika hili pia wa kulaumiwa ni HAMAS, maana wametangaza vita ila uwanja wao wa vita ni kwenye mitaa yenye watu wengi.

hitimisho ni hamas waondoke gaza, mateka waachiwe vita iishe, lakin kuwalaumu israel wakati mabalaa yote kayataka hamas basi sio fair. wanachi wa gaza wawageukie na kuwalilia hamas, wala Mungu hajawaacha, ila HAMAS ndio wanaowaletea mateso.

mkiwa na viongozi wapuuzi, mabalaa yakija huwapata wote, hata zama za farao na kina musa, ujieuri wa farao ulileta mateso wa kwa misri wote, maana yale mapigo 10 kila mmisri alipigwa.
ISRAEL wanapigania maisha yao na kesho yao, adui wa amani ni HAMAS
Tatizo unazungumza kwa kutumia kichwa cha kuku.
Habari za wapalestina hazikuanza kwao na wao hawajaanzisha chochote.Ule ni muendelezo wa kila ilichofanya Israel iliyoundwa na Uiengereza kwa njama mwaka 1948.
Walianza wazee wa siku hizo kujitetea wakaingia kwenye mtego wakaenda ukimbizini mainchi mengi halafu wakafungiwa lango la kurejea.Akashika akina Arafat lakini kwa kutumia siasa ya maneno hakupata cha maana mpaka akafa au akauawa.
Hamas tangu washike Gaza pekee washapigwa na kuteswa na Israel zaidi ya mara 3 katika vita vikali.Chaguo la kutumia nguvu na kusubiri mateso ni chagua la kiume na kibinadamu.
Unaposema wajisalimishe itawasaidia nini.
Na kwa sasa Israel haipiganii tena mateka .Na mateka hawatajwi tena kila upande kwa kiwango cha awali.Wengi wameshakufa na Hamas haina hamu ya kutoa takwimu zao.
Kinachowapeleka Rafah IDF ni kutekeleza malengo ya siri ambayo baadhi yao akina Netanyahu huwa yanawaponyoka .Lengo kuu ni kuwalazimisha kwa nguvu wapalestina wavuke mpaka waingie Misri na wadhibiti eneo la Rafah na baada ya hapo waitawale Gaza kama wanavyotawala maeneo ya Ukingo wa magharibi na mashariki.
Masetla kutoka Ulaya na Poland na kwengineko wajenge nyumba na mageti ya kuwazuia wapalestina hata kutembeleana.
 
Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.

Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.

Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.

Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.

Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.

Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.

Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.

Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.

Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...

Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.

Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.

Waache wauane mpaka waseme basi wenyewe.
Baada ya hapo kutakuwa na amani, heshima na utulivu wa hali ya juu.
 
Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.

Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.

Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.

Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.

Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.

Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.

Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.

Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.

Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...

Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.

Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.
Qhamas waendelee kuyachapa mayahudi.
 
Huu mwaka Israhell lazima waitoe Palestine licha ya madhila makubwa yanayowapata
Na pale unapoona nguvu na uwezo wako wa kibinaadamu umeishia basi ujue uwezo na rehma za Mungu upo na unaendelea zaidi na zaidi
Israhell itaitema Palestine iliokua huru na mji mkuu ukiwa Jerusalem na watu watasalia masjid al Aqsa
Achana na hizi ndoto za Alinacha.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kama ulifuatilia huu mzozo tokea awali hakuna muda hamas hawakujua uwepo wa Mungu
Na ndio maana awali waliwataka waislam wenzao ulimwenguni kote wawaombea tu dua kwa Allah kama hawawezi kutoa msaada wa moja kwa moja
Yote ila nikujua kwamba uwezo wa Allah ni mkubwa zaidi kuliko misaada ya wanaotaka kuwapa
Kwa hiyo ile kukata watu vichwa kwa kutumia makoleo ndio kumwabudu allah?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Yeye Mwenyezi Mungu eneo ambalo si mbali na hapo Gaza ndiye aliyetoa ushindi kwa Mussa a.s wakati Fir'aun alipomfukuza na wanyonge wenzake mpaka akambamiza na bahari.
Kilichotokea kumbe Fir'aun alikuwa akivutwa kwa hekima za Allah s.w afike hapo aangamizwe moja kwa moja.
Mussa a.s akijiona hana pa kukimbilia akaomba na Allah s.w alikwishapanga akapasuliwa bahari mbele yake apite.
Farasi wa jeshi la Fir'aun walikwishaona dalili mbaya lakini Allah akawaonesha kitu wakafuata.Baada ya Mussa na watu wake kuwa wameshavuka huku nyuma jeshi la Fir'aun na mwenyewe Fir'aun likazamishwa na ikawa ndio mwisho wa uadui wao
Wapalestina wamefurushwa na kuuliwa njiani mpaka wamefika Rafah kwenye ukuta.Kilichobaki ni rehma za Allah s.w
Usichanganye habari, Allah hajawahi kumsaidia Musa na wala Musa hajawahi kumtambua Allah.

Musa alikuwa na asili ya kiyahudi na Mungu wake ndio huyo Mungu wa wayahudi anayewapiga watu wa Mungu Allah.
Hapo ni Mungu wa wayahudi na Mungu wa waarabu wapo vitani.
 
Usichanganye habari, Allah hajawahi kumsaidia Musa na wala Musa hajawahi kumtambua Allah.

Musa alikuwa na asili ya kiyahudi na Mungu wake ndio huyo Mungu wa wayahudi anayewapiga watu wa Mungu Allah.
Hapo ni Mungu wa wayahudi na Mungu wa waarabu wapo vitani.
Huna elimu hata chembe.Na umeshangazwa na ukweli uliokuwa hujawahi kuusikia.
Musa alikuwa mtume wa Allah na muislamu kama alivyokuwa Yesu a.s.
Mitume wa Allah ni wengi sana lakini 25 tu ndio iliotajwa kwetu kupitia Qur'an na miongoni mwao ni hao Musa ,Issa(Yesu) a.s na Muhammad s.a.w
 
Hamas wamesababisha maafa makubwa sana Kwa wapalestina wasiokua na hatia.

Kumbuka sio wapalestina wote wanaunga mkono ugaidi wa Hamas
 
Back
Top Bottom