Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwani uongo hawakuivamia Palestine tokea mwaka 1948Kwani uwongo hawakuvamia Israeli na kuua raia zaidi ya 1400?!
Rip Joshua na Clemency wahanga wa hujuma za magaidi ya hamas
Kwa malengo ya Israel iliyojiwekea mpaka sasa Hamas ndiye mshindi.
Ushindi wa vita hupimwa kwa kufikiwa malengo ya vita.
Siku tukicelebrate na nyinyi msije mkalia au mukapoteana kwa aibu.
Yeye Mwenyezi Mungu eneo ambalo si mbali na hapo Gaza ndiye aliyetoa ushindi kwa Mussa a.s wakati Fir'aun alipomfukuza na wanyonge wenzake mpaka akambamiza na bahari.
Kilichotokea kumbe Fir'aun alikuwa akivutwa kwa hekima za Allah s.w afike hapo aangamizwe moja kwa moja.
Mussa a.s akijiona hana pa kukimbilia akaomba na Allah s.w alikwishapanga akapasuliwa bahari mbele yake apite.
Farasi wa jeshi la Fir'aun walikwishaona dalili mbaya lakini Allah akawaonesha kitu wakafuata.Baada ya Mussa na watu wake kuwa wameshavuka huku nyuma jeshi la Fir'aun na mwenyewe Fir'aun likazamishwa na ikawa ndio mwisho wa uadui wao
Wapalestina wamefurushwa na kuuliwa njiani mpaka wamefika Rafah kwenye ukuta.Kilichobaki ni rehma za Allah s.w
Tunazungumzia hii vita iliyoanza Oct 7Kwani uongo hawakuivamia Palestine tokea mwaka 1948
Magaidi yatashuhulikiwa tu maadam yanashirikiana na wazayuni kuua watu
DAGONI Alikuwa Mungu wa Philistines. and Philistine walikuwa ni wazungu Greek from Greece magovi not haya maarabu machizi na majizi yaliyoletwa na Omary yakaenea kwa kuzaliana kama panya.. Arafat ndio alikuja na slogan ya Upalestina jina la maudhi kutoka kwa wa roma land of Israel Judea na Samaria kuiita PalestinaMungu wa wapalestina si DAGONI wa enzi za kina ghoriati au saiv amebadili jina
Ukisoma kisa cha Musa a.s ndipo unapomjua Allah s.w vizuri zaidi.Musa huyu huyu ukoo wa mayahudi au musa wa ukoo wa mud mkureshi?
Hiyo ndio dawa ya magaid chief. Hamas waliomba vita wacha wapewe.Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.
Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.
Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.
Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.
Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.
Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.
Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.
Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.
Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...
Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.
Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.
Rafah baba tunasubiri kiwake hawa mbwa watafute kauli nyingineIDF inachotaka Kufanya Iwe Fundisho Kwa Vizazi Vijavyo Mateka wauweni Wote Ila Huku Iwe History
Naona Sasa akili imeanza kuwarudi!! Mara ooh Hamas wameshinda vita mara ooh makafiri wanateketea!!Vita vinaingia mwezi wa tano. Wapalestina wa Gaza wamepiga makelele sana na hawakupata msaada wanaostahiki. Sasa ni mayowe tu kutoka kila eneo mfano wa yale mayowe ya watu waliovamiwa na majambazi wenye silaha usiku.
Mayowe sasa hivi yanatokea Rafaha mpakani na Misri. Upande wa nyuma kuna makuta yenye seng'enge na mbele yao na juu ni majeshi ya Israel yanayojiandaa kuvamia na kuvuruga eneo lote kwa kisingizio cha kuwamaliza Hamas na hata mateka hawawataji tena.
Eneo hilo kwa sasa lina watu takriban milioni moja na laki 3 zaidi ya nusu ya watu wa Gaza kabla ya vita.Watu hao wamesongamana kwenye mahema na wachache kwenye nyumba za ndugu zao ambazo zimegeuka kama vyumba vya mahabusu kutokana na msongamano.
Jamal Abu Tour kwenye eneo hilo ameiambia CNN katika kujifariji na kuwa na tamaa ya kupata msaada kuwa wanaomba Allah awasaide ili majeshi ya Israel yasitekeleze nia yao hiyo kwani hawana tena sehemu ya kukimbilia.
Mzee huyo akaendelea kusema kuwa hawataki warudi jiji la Gaza au Khan Younis na El Nuseirat kwani wamesikia wenzao huko wanakula majani na kunywa maji machafu.
Mahmoud Khalil Amer ambaye alikimbizwa kutoka kamba ya El Shati kaskazini ya Gaza na ambaye kwa sasa amejenga hema pembezoni pa makubiri eneo hilo Rafah,amesema kwa kweli kwa sasa hawana maisha.Waliokufa wanaweza kuwa ni bora kuliko wao.
Wakati mayowe ya watu wa Gaza yakiwa ya hali ya juu watu waliotarajiwa kuwasikia na kuwasaidia karibu wote ndio wamekuwa kimya zaidi kuliko mwanzoni mwa vita.Wale wanaoinua sauti baada ya kusikia mayowe hayo wanatoa matamko kama ya walevi.
Raisi Erdogan wa Uturuki karibuni alimlinganisha Netanyahu na Hitler.Wakati hukumu ya ICJ haikumshtua Netanyahu kauli kama hiyo ya Erdogan haina maana yoyote na ni kama ameridhia aendelee na analolifanya wakati angeweza kumzuia.
Ofisi ya raisi Mahmoud Abbbas wa mamlaka ya Palestina ukingo wa magharibi imesema wakati umefika kwa kila mmoja kutekeleza majukumu yake kuhakikisha janga kubwa zaidi halitokei na kuliingiza eneo lote kwenye vita visivyokwisha...
Tangu vita vianze ofisi hiyo haijaona janga tu na kauli ya ofisi hiyo mbona ni nyepesi kuliko uwezo wao wa kuzuia janga.
Katika hali ya kutosikilizwa mayowe yao ni vyema kwamba watu wa Gaza eneo la Rafaha wamejua ni wapi pa kupeleka kilio chao, kwa Allah muweza wa kila jambo, kwani huyo pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwakinga na balaa kama alivyofanya kwa nabii Mussa a.s mbele ya Fir'aun na jeshi lake.
Kwa uwezo wa Allah itakuwa kinyume chake na historia itaandikwa kuhusu october 7 na kilichofanyika 1948Naona Sasa akili imeanza kuwarudi!! Mara ooh Hamas wameshinda vita mara ooh makafiri wanateketea!!
Mnakumbuka shuka kukiwa kumekucha!! October 7 mtaikumbuka kama siku ambayo HAMAS na Dini yao walifanya jambo la kipumbavu na lenye majuto makubwa!!
Hii vita ilianzia tokea mwaka 1948Tunazungumzia hii vita iliyoanza Oct 7
Kama hutaki kuzaliana kama waarabu nenda ukabarikiwe tu papa si kaishakupa njiaDAGONI Alikuwa Mungu wa Philistines. and Philistine walikuwa ni wazungu Greek from Greece magovi not haya maarabu machizi na majizi yaliyoletwa na Omary yakaenea kwa kuzaliana kama panya.. Arafat ndio alikuja na slogan ya Upalestina jina la maudhi kutoka kwa wa roma land of Israel Judea na Samaria kuiita Palestina
Kuliki alolifanya paoa kukwambia ukapewe barakaNaona Sasa akili imeanza kuwarudi!! Mara ooh Hamas wameshinda vita mara ooh makafiri wanateketea!!
Mnakumbuka shuka kukiwa kumekucha!! October 7 mtaikumbuka kama siku ambayo HAMAS na Dini yao walifanya jambo la kipumbavu na lenye majuto makubwa!!
Allah aliwanusuru wana wa Izrael wakiongozwa na nabii Mussa?Yeye Mwenyezi Mungu eneo ambalo si mbali na hapo Gaza ndiye aliyetoa ushindi kwa Mussa a.s wakati Fir'aun alipomfukuza na wanyonge wenzake mpaka akambamiza na bahari.
Kilichotokea kumbe Fir'aun alikuwa akivutwa kwa hekima za Allah s.w afike hapo aangamizwe moja kwa moja.
Mussa a.s akijiona hana pa kukimbilia akaomba na Allah s.w alikwishapanga akapasuliwa bahari mbele yake apite.
Farasi wa jeshi la Fir'aun walikwishaona dalili mbaya lakini Allah akawaonesha kitu wakafuata.Baada ya Mussa na watu wake kuwa wameshavuka huku nyuma jeshi la Fir'aun na mwenyewe Fir'aun likazamishwa na ikawa ndio mwisho wa uadui wao
Wapalestina wamefurushwa na kuuliwa njiani mpaka wamefika Rafah kwenye ukuta.Kilichobaki ni rehma za Allah s.w