Mayowe ya watu wa Gaza ambayo watu wameziba masikio kuyasikiliza. Waomba msaada kwa mmoja tu

Tunazungumzia shambulio la kigaidi la Oct 7 ndio chanzo. Kabla ya hapo kulikua na vurugu za hapa na pale ambazo hazikusababisha maaafa makubwa kiasi hiki
Shambulio la kigaidi lilifanyika maaka 1948 lili la October 7 lilikua ni shambulizi la ukombozi na linatakiwa kupongezwa na kuungwa mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…