Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Kumbuka huyo unayesema n mwenyekiti ni rais, anyway Chadema kupewa nafasi kdg tuu wanaanza kuongea mbovu mbovuSasa walitaka Makonda apewe nafasi aongee kama nani pale? Mwenyekiti wake alikuwepo, katibu wake wa Chama alikuwepo na viongozi mbalimbali wa serikali walikuwepo. Hajapewa rais mstaafu JK apewe Makonda my foot