stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Mkiwa mnaandika mtulie basi kwani mnawahi wapi? Tumeshafika 2119?sasa Swali kwa Tulia: Wewe kuwabakiza CVovid 2119 Bungeni kinyume cha sheria/Katiba/hukumu ya mahakama pamoja na kuandikiwa barua na chadema kuwa hao si wanachma wao, bado umewakumbatia kukaa bungeni ambayo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Je wewe kwenye hili la Akina Mdee umepanda nini na utavuna nini?