Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Zamani wanasiasa wote ccm waliingizwa jeshini piaKapteni EDWARD N
GOYAI LOWASA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani wanasiasa wote ccm waliingizwa jeshini piaKapteni EDWARD N
GOYAI LOWASA
The rulling party ya Tiziiii
Kwa hiyo CDM hawakumdhalilisha kumuita Lowasa fisadi hali ya kuwa sio fisadi....???KikulachoChako hiyo picha uliyoweka unainasibisha na Nini??
Mwenyewe humu nina mabandiko ya kutosha kushinikiza Lowassa afikishwe mahakamani. Unajua ni kwa nini??
Sisi tulijua hata iweje CCM hawawezi kumfikisha Lowassa mahakamani kwani wanajua ni sawa na kufungua Sanduku la Pandora.
Nashangaa wanaficha kuonyesha Kijiji cha lowasa hapo monduli,Hahahahaaaaa huwa sitaki hata kuwasikia
Wafanyabiashara wa CCM.Hapa sijaelewa Rostam Aziz amewakilisha chama gani cha Siasa
Mbowe ( Chadema)
Zitto ( ACT Wazalendo)
Bashe ( CCM)
Si unajua unapewa Tu 😂 karatasi , unaambiwa soma kama ilivyoKatika historia yake mbona hawazungumzii maisha yake pale Monduli TTC, kuna wakati tulitembelea pale tukaambiwa alisoma hapo na kuna mavazi yake ya uongozi wa Brass band yamewekwa kwenye makumbusho ya chuo
Na kwa jina la Bwana unasoma kama ilivyo kumbe unapindisha ukweliSi unajua unapewa Tu 😂 karatasi , unaambiwa soma kama ilivyo
Si unajua unapewa Tu 😂 karatasi , unaambiwa soma kama ilivyoImekuaje kwenye wasifu wake,haijatajwa kuwa mgombea urais kupitia chadema
Iligundulika kuwa ufisadi wake ni wa kimfumo ndani ya CCM na siyo wake binafsi.Kwa hiyo CDM hawakumdhalilisha kumuita Lowasa fisadi hali ya kuwa sio fisadi....???
Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Nahisi TV nyingi zimejiunga live kutoka camera za Ikulu.Kama Una angalia ITV, Sawa Ila kama ni TBC kuna vitu hawaonyeshi,
Hata nyumba ya lowasa , haionekani, utasema msiba unafanyika porini