Mazishi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Lowassa, Februari 17, 2024

Mazishi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Lowassa, Februari 17, 2024

Rostam ndio alisuluhisha na akawakutanisha maremu lowasa na marehemu magufuli na mambo yakaisha na akarudi CCM
Rostam ni mtu muhimu sana nchini na pia alikua na uhusiano mzuri na marehem lowasa.
 
Amenukuu wagalatia Hiv:

Gal 6:7-9 SUV​

Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.

sasa Swali kwa Tulia: Wewe kuwabakiza CVovid 2119 Bungeni kinyume cha sheria/Katiba/hukumu ya mahakama pamoja na kuandikiwa barua na chadema kuwa hao si wanachma wao, bado umewakumbatia kukaa bungeni ambayo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.

Je wewe kwenye hili la Akina Mdee umepanda nini na utavuna nini?
Na pia tunauliza maandiko hayo kwenye huo mstari,yanahusiana vipi na msiba wa ndg yetu Edward Lowasa!? Kwamba kuna mahali Lowasa alimdhihaki Mungu,na amevuna mauti? Huyu betina vipi huyu!? Badala ya kutoa neno lenye faraja kwa familia anatoa neno la kuonya! Kwamba Lowasa alitenda Nini? Mchawi mkubwa huyu!
 
Na pia tunauliza maandiko hayo kwenye huo mstari,yanahusiana vipi na msiba wa ndg yetu Edward Lowasa!? Kwamba kuna mahali Lowasa alimdhihaki Mungu,na amevuna mauti? Huyu betina vipi huyu!? Badala ya kutoa neno lenye faraja kwa familia anatoa neno la kuonya! Kwamba Lowasa alitenda Nini? Mchawi mkubwa huyu!
Uko sahihi kabisa. nami nimeshangaa
 
Back
Top Bottom