Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!!!Azungumze mambo ya kuwafariji wafiwa. Hatutaki mambo ya kujitwalia faida za kibinafsi kwenye misiba ya wengine. Kama ana kiu ya siasa, asubiri akufe yeye ndiyo alete siasa kwenye msiba wake.
Uzi tayariMungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Ana kiherehere mnoMkuu uko fasta Sana.
Hao CCM wanafanya ni hapo!!???Maana yake ni kuwa, siasa misibani hazikubaliki asilani.
Aanze na peoplesNi jambo zuri kupewa nafasi ya kuzungumza.
kachomekwa sio 🐒Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa
Na hiyo ni kubwa zaidi kuliko wengine wooote.Kakaribishwa kama ndugu wa karibu
HatariMkuu uko fasta Sana.
Waliozungumza imekuwaje???Kwa hiyo akishazungumza itakuaje?
Hao CCM wanafanya ni hapo!!???
Kwani Siasa ni nini???Wanamuombolezea mmoja kati ya wanachama na viongozi wao wenye nguvu.
Lakini nao pia wakileta siasa wakemewe.
Ana kiherehere mnoMkuu uko fasta Sana.
Na pia tunauliza maandiko hayo kwenye huo mstari,yanahusiana vipi na msiba wa ndg yetu Edward Lowasa!? Kwamba kuna mahali Lowasa alimdhihaki Mungu,na amevuna mauti? Huyu betina vipi huyu!? Badala ya kutoa neno lenye faraja kwa familia anatoa neno la kuonya! Kwamba Lowasa alitenda Nini? Mchawi mkubwa huyu!Amenukuu wagalatia Hiv:
Gal 6:7-9 SUV
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
sasa Swali kwa Tulia: Wewe kuwabakiza CVovid 2119 Bungeni kinyume cha sheria/Katiba/hukumu ya mahakama pamoja na kuandikiwa barua na chadema kuwa hao si wanachma wao, bado umewakumbatia kukaa bungeni ambayo ni dhambi kubwa mbele ya mwenyezi Mungu.
Je wewe kwenye hili la Akina Mdee umepanda nini na utavuna nini?
Kwani Siasa ni nini???
Uko sahihi kabisa. nami nimeshangaaNa pia tunauliza maandiko hayo kwenye huo mstari,yanahusiana vipi na msiba wa ndg yetu Edward Lowasa!? Kwamba kuna mahali Lowasa alimdhihaki Mungu,na amevuna mauti? Huyu betina vipi huyu!? Badala ya kutoa neno lenye faraja kwa familia anatoa neno la kuonya! Kwamba Lowasa alitenda Nini? Mchawi mkubwa huyu!
Aisee!!Tafsiri yake ni pana, lakini pia ni nyingi. Wengine wanasema, ni uongo uliokomaa. 😛 😂 😀