Kwakuwa msiba huo umekwisha,Tayari
Tuendelee na mambo mengine muhimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa msiba huo umekwisha,Tayari
...mwamba wa Karagwe
Lucas mwashambwa kuweka kwako namba yako ya simu humu JF kumekusaidia.Lucas Mwashamba ametambulishwa kama nani hapo msibani?
Kucheka na nyani anayemaliza Mahindi yako ni ushambaChuganian hawana unafiki
That Lema is my vision kabisa sicheki na nyani wakijani
Lema hapendi unafikiView attachment 2906880
Ila makonda naye anapenda sifa.....hapo kawavamia from nowhereDiplomasia...
Yale mazishi ya chato yalikuwa na mauza uza mengi ndo maana kuna wakati camera zilikuwa zinakwepeshwa kwepeshwa.....Kuna mambo mengi hapa yamewekwa wazi tofauti na Chato, camera zilikuwa remotely controlled kutoka kusikojulikana
Lema hapo Chadema yupo tu kama mfanyakazi hana impact yeyote ile kwa vile za Makonda hawezi kumfuata Lema.Chuganian hawana unafiki
That Lema is my vision kabisa sicheki na nyani wakijani
Lema hapendi unafikiView attachment 2906880
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Zamani wa Monduli (CCM) Hayati Edward Lowassa anazikwa leo Nyumbani kwake, Monduli. Mazishi haya yamehudhuriwa na viongozi wakuu wa Nchi wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Waombolezaji wametoa Salamu za Mwisho kwenye Jeneza la Hayati Lowassa, wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kisha famili ya Lowassa, viongozi wengine wa kitaifa pamoja na Viongozi waandamizi kutoka vyama vya upinzani, Freeman Mbowe na Zitto Kabwe.
Mazishi haya yataendeshwa kwa Sehemu mbili, Kidini na Kiserikali. Kwa upande wa Dini, Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Alex Malasusa ataongoza ibada hiyo, kisha Jeshi la Wananchi la Tanzania litashiriki sehemu ya pili ya Mazishi hayo.
Kwa mujibu wa taratibu za Kijeshi, Hayati Lowassa atapigiwa mizinga 17 kwa heshima yake.
Saa 6:25 Mchana, Maafisa wa JWTZ wenye cheo cha Kanali wanauingiza Mwili wa Hayati Lowassa Kaburini. Zoezi hili linafuatiwa na kuweka mchanga kaburini kama sehemu ya kuaga.
Saa 6:55 Mchana, maafisa wa JWTZ wameanza shughuli za kufunika kaburi. Mizinga 17 imepigwa.
Kama Una angalia ITV, Sawa Ila kama ni TBC kuna vitu hawaonyeshi,Kuna mambo mengi hapa yamewekwa wazi tofauti na Chato, camera zilikuwa remotely controlled kutoka kusikojulikana
Wote wapo,JK na RA vipi wapo hapo
Kabisa... Jamaa ana tabia zinazotia shaka sana mwanaume kuwa nazo...🤫🤫🤫Ila makonda naye anapenda sifa.....hapo kawavamia from nowhere