Mazishi ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Hayati Edward Lowassa, Februari 17, 2024

Sasa walitaka Makonda apewe nafasi aongee kama nani pale? Mwenyekiti wake alikuwepo, katibu wake wa Chama alikuwepo na viongozi mbalimbali wa serikali walikuwepo. Hajapewa rais mstaafu JK apewe Makonda my foot
Kumbuka huyo unayesema n mwenyekiti ni rais, anyway Chadema kupewa nafasi kdg tuu wanaanza kuongea mbovu mbovu
 
Tulimsikia akiwatisha kina Bashe,Aweso........ na wengineo wengi,kumbe hana maana katika siasa za Tanganyika hata kidogo labda huko kwao Koromije.[emoji23]
 
Nape je?
 
Kwahiyo mlitakaje sasa kikwete aongee..makonda aongee ..nape aongee ..dah aisee kweli....

Ndio maana familia ikaandika Marehemu Aligombea nafasi ya uraisi wa JMT kwa tiketi ya UKAWA
 
Kumbuka huyo unayesema n mwenyekiti ni rais, anyway Chadema kupewa nafasi kdg tuu wanaanza kuongea mbovu mbovu
Kwann familia imeandika marehemu aligombea urais kwa tiketi ya UKAWA na Chadema? Walikua wanaepuka mambo km haya
 
Ifike hatua tujue itifaki tutaaacha kujifedhesha kama hivi. Msiba wa Serikali nyie mnataka Chama kipewe nafasi. Au kama labda una ugomvi na Makonda mkuu.
 
Kilsza mmo
Anavyogokea mawaziri na waziri mkuu yupo,rais yupo whois he??kulaza fulani hivi albert bashiye
"Unyumbu ni janga la taifa
 
Kumbuka huyo unayesema n mwenyekiti ni rais, anyway Chadema kupewa nafasi kdg tuu wanaanza kuongea mbovu mbovu
Habari za asubuhi mkuu, ndiomana nami nikasema kuwa mwenyekiti wake yupo lakini pale alisimama kwa nafasi zote mbili kwasababu marehemu alikuwa mwanachama pia mtumishi wa serikali. Kiprotocol aliyepaswa kuongea ni kiongozi mkubwa kama ilivyokuwa. Nadhani tupo pamoja....
 
Mara baada ua kifo cha Lowasa kutangazwa, Makonda ndiye aliyeanza kujipa umuhimu kwa kuwatoa wengine umuhimu. Hivyo watu wanapoandika ni sababu ya kauli zake mwenyewe.
 
Zerobrain halina akili kabisa. Na litakuja kufa vibaya
 
Nimethibitisha pasi shaka kuwa Makonda ni drama episode ya CCM. Hana umuhimu wowote zaidi ya kuwa busati
 
Yule ni Karibu mwenezi ulitaka afanyeje wakati Boss wake Nchimbi alikuwa pale ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…