Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kupigana bila malengo ni uhuni.
Peter Msechu anatupigia makelele hapa, natamani yule kijana alimtandika gumi muombolezaji amtembelee na yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupigana bila malengo ni uhuni.
Peter Msechu anatupigia makelele hapa, natamani yule kijana alimtandika gumi muombolezaji amtembelee na yeye.
Kujiuzulu siyo kustaafu.Watu wengi mnakariri kuwa kustaafu ni hadi ufikishe umri 😀
Ziko sababu mbalimbali za mtu kustaafu na mojawapo ni Hii ya kujiuzulu
Wewe endelea kubisha sisi tunamzika Waziri mkuu mstaafu Edward LowassaKujiuzulu siyo kustaafu.
Sabato hutakiwi kudanganya!!!
Unafiki, uongo, fitna, majungu na siasa za majitaka za wanasiasa uchwara na chawa wao ndio zimetufikisha hapa leo.CCM ni kundi kubwa sana la watu wasio na haya.
Jinsi walivyokuwa wanamtusi, wanamnyanyasa Lowassa na familia yake, walivyomuita "maiti", wakamtweza kwa Kila Hali, leo wanajifanya kububujikwa na machozi.
CCM walimdhadhalilisha sana Lowassa kiasi kwamba Leo tunapowaona wameongozana kwenda kwenye mazishi yake, tunajiuliza, KULIKONI???
Na kweli wamemdhalilisha na kumchafua kweli kweli, alaf leo wanajitokeza kudai eti mama yake na Lowasa alikuwa mwalim wao miaka 41 iliyopita. Siku zote za kumchafua hili swala hawakuliongelea 🤣🤣🤣CCM ni kundi kubwa sana la watu wasio na haya.
Jinsi walivyokuwa wanamtusi, wanamnyanyasa Lowassa na familia yake, walivyomuita "maiti", wakamtweza kwa Kila Hali, leo wanajifanya kububujikwa na machozi.
CCM walimdhadhalilisha sana Lowassa kiasi kwamba Leo tunapowaona wameongozana kwenda kwenye mazishi yake, tunajiuliza, KULIKONI???
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Zamani wa Monduli (CCM) Hayati Edward Lowassa anazikwa leo Nyumbani kwake, Monduli. Mazishi haya yamehudhuriwa na viongozi wakuu wa Nchi wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Regina ni mke wa LowassaUnafiki, uongo, fitna, majungu na siasa za majitaka za wanasiasa uchwara na chawa wao ndio zimetufikisha hapa leo.
Na kweli wamemdhalilisha na kumchafua kweli kweli, alaf leo wanajitokeza kudai eti mama yake na Lowasa alikuwa mwalim wao miaka 41 iliyopita. Siku zote za kumchafua hili swala hawakuliongelea 🤣🤣🤣
RIP Lowasa ulieitwa fisadi na wanafunzi wa mama yako.
Hii tabia CCM hawawezi kuuacha...Unafiki, uongo, fitna, majungu na siasa za majitaka za wanasiasa uchwara na chawa wao ndio zimetufikisha hapa leo.
Kwani siyo kweli kuwa Regina Lowassa hakuwa Mwalimu wa Lissu Ilboru?alaf leo wanajitokeza kudai eti mama yake na Lowasa alikuwa mwalim wao miaka 41 iliyopita.
Kwani wakati Lowassa anajiunga CHADEMA alikuwa hajui kama kina Lema wamesema maneno hayo??Siku zote za kumchafua hili swala hawakuliongelea
Regina siyo mama yake Lowassa Bali ni mke wake!!RIP Lowasa ulieitwa fisadi na wanafunzi wa mama yako.
CCM ni kundi kubwa sana la watu wasio na haya.
Jinsi walivyokuwa wanamtusi, wanamnyanyasa Lowassa na familia yake, walivyomuita "maiti", wakamtweza kwa Kila Hali, leo wanajifanya kububujikwa na machozi.
CCM walimdhadhalilisha sana Lowassa kiasi kwamba Leo tunapowaona wameongozana kwenda kwenye mazishi yake, tunajiuliza, KULIKONI???
Suala la ufisadi wa Lowassa kwenye List of shame lilishaisha. Lilikufa kifo cha kawaida!!CDM Walimbrand fisadi na kumuweka kwenye list of shame, sijaona kabla ya kifo chake kama kuna mahala waliupdate Ile list.
Mbona unakwepesha kwepesha maneno au unafikiri hii comment yako ndio itakayokipa chama chako ushindi 2025?Kwani wakati Lowassa anajiunga CHADEMA alikuwa hajui kama kina Lema wamesema maneno hayo??
Subiri tuone kenge wa cdm haswa wale ambao ni msukule wa mzee MboweWale Chadema lia lia haya Mwenyekiti Mbowe ametambulishwa kama mzee maarufu na mgeni maalumu wa familia
Credit: TBC
Ni hilo tu
Hii hoja ni dhaifu!!Mbona unakwepesha kwepesha maneno au unafikiri hii comment yako ndio itakayokipa chama chako ushindi 2025?
Hakuna asiyejua ni kwa nini Lowassa alilazimishwa kurudi CCM.Unaposema alipojiunga Chadema hakujua kama kina Lema walimsema, lkn pia unajifanya kusahau kuwa alirudi pia CCM, je aliporudi CCM pia hakujua kama kina Nape walimsema?
Wenzako wanamchukia mbowe kwasababu ya kuhatalisha ugali wao mwenzetu unamchukia mbowe Kwa lipi?Subiri tuone kenge wa cdm haswa wale ambao ni msukule wa mzee Mbowe
Wanasema kikanuni ni mstaafuSiyo mstaafu.
Malizia haya mayai ya kuchemsha unayokula usipotoshe wazalendo vijana.
Ona akili zako sasa, mambo ya watu ya familia wewe unakimbilia kuja kuanzisha mada. Poor youmgeni maalumu wa familia
KAnuni inatambua kama kustaafu, na hii si hapa kwetu tu, hata mataifa mengine unless kama taifa limespecify tofauti, mfano kuna nchi nilisoma juzi kati haitambui kama mstaafu kama alifukuzwa kazini tu, ila sababu nyingine yeyote ya kufanya kutola nje ya ofisi wanatambua kama kustaafuEnzi zile mkiwa mnavaa Yale mashati yenu ya vitenge mlifundishwa kuwa kujiuzulu ni kustaafu???