Mazishi ya Dkt. Augustine Philip Mahiga kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa. Mkewe ashindwa kuhudhuria baada ya kuwa Kenya akiuguza mtoto

Yawezekana ni shida ya kutoka Kenya na kurudi tena Kenya. Kumbukeni, ndege za abiria haziruki wala kutua

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sifa alizopewa Mme..sidhani kama yangefanyika mawasiliano wangezuia ndege toka TZ kwenda mbeba..

Kuna namna hapa.
 
Hata wanae aliowazaa na yule mbunge aliyekuwa naibu waziri fedha sijawaona. R.I.P Baba. Hivyo Dodoma alikuwa peke yake. Maisha haya bwana waziri kabisa anakufa akiwa mpweke Dodoma. Too sad.
 
Ndio utajua hadi kanisani classes zipo.. kuna waumini ni wahuzuriaji wa jumuia ndogo ndogo , misa kila siku asubuhi , kila jpili yupo lakini akifa au akifiwa anazikwa na katekista au paroko tu..

Lakini akifariki mtu mzito hata kama jumuia ndogo ndogo hakanyagi utamuona Askofu tena mkuu..
 
Hata wanae aliowazaa na yule mbunge aliyekuwa naibu waziri fedha sijawaona. R.I.P Baba. Hivyo Dodoma alikuwa peke yake. Maisha haya bwana waziri kabisa anakufa akiwa mpweke Dodoma. Too sad.
Elezea vizuri..
 
Huyo Mahiga ni mtu wa kimataifa amejenga heshima nje ya nchi hawezi kuchukuliwa kirahisi kama machinga wa Itigi.
 
Wewe unaelazimisha aje kuzika, angekuja kupitia wapi, Kenya sio mamburula, walishafunga mipaka kitambo, umeng'ang'ania tu hamna excuse

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwako kuzika unaona jambo la maana sana? Kwa maneno rahisi kuzika ni kufukia mtu aliyekufa, jambo ambalo hata angekuwepo asingelifanya labda angeongeza tu sauti ya vilio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sifa alizopewa Mme..sidhani kama yangefanyika mawasiliano wangezuia ndege toka TZ kwenda mbeba..

Kuna namna hapa.
Protocol ya corona haijali Raisi wala nani hasa hasa nchi za wenzetu na akirudi kenya lockdown ya 14 days , Sasa hapo mgonjwa anaangaliwa na nani? Au wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…