Lakini mbona hata kama hakuwa na mke poa tu...Protocol ya corona haijali Raisi wala nani hasa hasa nchi za wenzetu na akirudi kenya lockdown ya 14 days , Sasa hapo mgonjwa anaangaliwa na nani? Au wewe
Jamani msilolijua nyamazeni. Mama Mahiga mwanawe ni mgonjwa sana, kitu kilichopelekea mama kuitwa aende kumuuguza. Alipofika Nairobi kuna karantini ya siku 14! Bado hajamaliza hata hiyo karantini mumewe anafariki ghafla, mwanawe yuko taabani. Ombeni yasiwakute. Huyu mama anapitia kipindi kigumu sana. Watoto wake wengine wawili (wa ndoa) mmoja yuko Switzerland mwingine yuko Marekani! Hamuujui uchungu wake, nyamazeni muombe Mungu Awaepushe yasije kuwapata hayo!Hamna excuse yeyote ya kukubalika eti uache kuja kumzika mmeo kwani hamna ndugu wa kumuachia mtoto na hapo hospital kwani yeye ni Dr? Yeye si anamuangalia tu ila manesi na ma Dr ndo wanaomtibu isitoshe yule ni mtoto wa mkubwa lazma yuko first class huduma zote anapewa,yeye asingeshindwa kupanda ndege fasta after mazishi arudi Nairobi, angekuwa usukumani huyo angepigwa masumule au "Nchenya"
Mbio za jasusiKwaheri jasusi umeacha alama
Sio wote wapi wired kuomba misamaha!Muacheni mama wa watu amuuguze mtoto wake. Jiwe alivyomdhalilisha hadharani mbele ya trafiki na umma Unadhani atatoa wapi karej ya kuja kujumuika na wajumbe wake. Hadi le hajaombwa msamaha
Na mumewe kafa kwa ugonjwa pendwa sidhani kama ataingia Nairobi.Jamani msilolijua nyamazeni. Mama Mahiga mwanawe ni mgonjwa sana, kitu kilichopelekea mama kuitwa aende kumuuguza. Alipofika Nairobi kuna karantini ya siku 14! Bado hajamaliza hata hiyo karantini mumewe anafariki ghafla, mwanawe yuko taabani. Ombeni yasiwakute. Huyu mama anapitia kipindi kigumu sana. Watoto wake wengine wawili (wa ndoa) mmoja yuko Switzerland mwingine yuko Marekani! Hamuujui uchungu wake, nyamazeni muombe Mungu Awaepushe yasije kuwapata hayo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko ndio kunaitwa kufa kama beberu....Hata wanae aliowazaa na yule mbunge aliyekuwa naibu waziri fedha sijawaona. R.I.P Baba. Hivyo Dodoma alikuwa peke yake. Maisha haya bwana waziri kabisa anakufa akiwa mpweke Dodoma. Too sad.
Unazidi kutuchanganya watoto wengine wa ndoa unamaanisha nini?kuna wengine alionao si wa ndoa au ndo huyo mgonjwaJamani msilolijua nyamazeni. Mama Mahiga mwanawe ni mgonjwa sana, kitu kilichopelekea mama kuitwa aende kumuuguza. Alipofika Nairobi kuna karantini ya siku 14! Bado hajamaliza hata hiyo karantini mumewe anafariki ghafla, mwanawe yuko taabani. Ombeni yasiwakute. Huyu mama anapitia kipindi kigumu sana. Watoto wake wengine wawili (wa ndoa) mmoja yuko Switzerland mwingine yuko Marekani! Hamuujui uchungu wake, nyamazeni muombe Mungu Awaepushe yasije kuwapata hayo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa aliingiaje ?Wewe unaelazimisha aje kuzika, angekuja kupitia wapi, Kenya sio mamburula, walishafunga mipaka kitambo, umeng'ang'ania tu hamna excuse
Sent using Jamii Forums mobile app
Chini ni nyama ya udongo vyeo kwenuKwaheri jasusi umeacha alama
ameuliza kuhusu corona wewe unajibu habari za ebola!.....magonjwa mawili tofauti kabisa, ule mziki wa ebola ni habari nyingine kabisa aiseee
Nmemjibu kulingana na alichoandika, inawezekana wewe ndio hujaelewaJifunze kutafakari juu ya unachojibu, acha kukurupuka tumia akili, read between lines utaelewa. Usiwe utopian
Jikite kwenye mada wewe mkaldayo acha porojo jamviniSio wote wapi wired kuomba misamaha!
kama ww naona unanyenyekeay vibibi vya kizungu tu hapo....
angalia visikupe covid tukakupoteza
Mbele za Mungu hakuna nyadhifa yoyote. Binadamu wote sawa tu. Kama ana nyadhifa kubwa mbona amekufa? Kwanini anazikwa kaburini na tani saba juu yake kama hawa wengine mnaowazika usiku?
Nyadhifa iko wapi hapo? Kila binadamu anapaswa kuheshimiwa hakuna alie juu ya mwingine mwisho wa siku wote kaburi linatuhusu.
Sio wote wanazikwa na tani 7, wengine wanajengewa makaburi na kuwekewa mifuniko. Hawagusi jeneza linagusa udogo wa mkono tu.Mbele za Mungu hakuna nyadhifa yoyote. Binadamu wote sawa tu. Kama ana nyadhifa kubwa mbona amekufa? Kwanini anazikwa kaburini na tani saba juu yake kama hawa wengine mnaowazika usiku?
Nyadhifa iko wapi hapo? Kila binadamu anapaswa kuheshimiwa hakuna alie juu ya mwingine mwisho wa siku wote kaburi linatuhusu.
Nadhani labda kuna mahali walichimba wakawa wanajengea hivyo udongo ukatakiwa kuhamishwa ulivyopakiwa kwenye mende uzito ulivyopimwa ikawa tani saba.Hivi hiki kipimo cha tani saba kilitokana na nini?
Ni kweli mkuu na sio wote wanazikwa mfano kama sisi Masai zamani mtu akifa anapakwa mafuta ya kondoo anaachwa porini analiwa na fisi. Kupakwa mafuta ni ili ile harufu ivutie fisi waje haraka.Sio wote wanazikwa na tani 7, wengine wanajengewa makaburi na kuwekewa mifuniko. Hawagusi jeneza linagusa udogo wa mkono tu.
Sent using Jamii Forums mobile app