Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana MkuPole sana kaka
Pole sana mkuuMku Mshana ni namna gani watu watajinasua ktk haya.
Mimi niliwahi kutuma picha home nikiwa nje ya Nchi na zile ziliombwa na ndugu wa ukoo na zile picha hazikurudi wa hazijawahi kunekana.
Na baada ya kurudi hapa nyumbani Tanzania na sikurudi kwa kutaka mimi ila nilipata shida kubwa.
Kwa ujumla nimekutana mengi sana Mtani ambayo ni magumu sana
Wako vyema wale mara nyingi ni watu wakuzimuniNmejaribu kuwaza tu,watu kama diamond,alikiba na watu maarufu wengne hawa mbona hawajazikwa kiroho.maana picha zao nyingi sana why mtu asichukie akawazike huko[emoji23]
Usiichafue asili yetu waafrika ,huo uagent wa kuzimu uliwapa wewe?Wako vyema wale mara nyingi ni watu wakuzimuni
Mkuu Kuzimu inaendesha dunia. Kuna ma agent wasiohesabika wa Kuzimu Duniani
Ukiwa mbali na mungu hasa hasa ibada jua tu kuwa lazima uwe mtumwa wa Kuzimu.
Ukweli mchungu, sijui mpira, mziki na makorokoro mengine ni mipango iliyosetiwa ili tumsahau Mungu
Wanawake katika hili wanatumika Sana hasa mavazi vipodozi labda nikwambie tu asilimia 98 ya vipodozi vinapitishwa Kuzimu.
Waganga ni mawakala halisi wa Kuzimu waepuke Sana hao.
Mkuu hapo ndipo tulipofikia ukubali ukatae.Usiichafue asili yetu waafrika ,huo uagent wa kuzimu uliwapa wewe?
Waafrika tuna imani zetu,miungu yetu nk.Usinyooshe kidole na kunena mabaya kuhusu imani zetu za asili kwamba ni agents wa ibilisi unless unatumia mrengo wa dini yako ya kikristo.Mkuu hapo ndipo tulipofikia ukubali ukatae.
Tutazunguka weeee lakini nimejiridhisha kwa asilimia 100 Ibilisi na watu wake ndiyo wanaharibu hi dunia uo ndio ukweli
Nasijui wale wanasema hakuna mungu sijui hakuna shetani wanaonekana vituko tu
Kikubwa kama unamshikilia yesu mshikilie kisawa sawa.
Kama ni Allah umshililie hasaaaaa
Unadhani wanakaa kibwege? Uliza asili ya bifu la Diamond na AlikibaNmejaribu kuwaza tu,watu kama diamond,alikiba na watu maarufu wengne hawa mbona hawajazikwa kiroho.maana picha zao nyingi sana why mtu asichukie akawazike huko[emoji23]
Miungu ya wafrika ni Mizimu na ambao ni miongoni mwa makundi ya shetani.Waafrika tuna imani zetu,miungu yetu nk.Usinyooshe kidole na kunena mabaya kuhusu imani zetu za asili kwamba ni agents wa ibilisi unless unatumia mrengo wa dini yako ya kikristo.
Hahaha... Hao wanamziki mara nyingi huwa ndio wezi wa nyota za watu...Nmejaribu kuwaza tu,watu kama diamond,alikiba na watu maarufu wengne hawa mbona hawajazikwa kiroho.maana picha zao nyingi sana why mtu asichukie akawazike huko[emoji23]
Asante sana MkuPole sana mkuu
Kweli mkuu nakumbuka kuna nyumba niliwahi panga mitaa ya kigogo Asa yule faza aliyekuwa anasimamia yale mabanda yaani yalikua yao na alikua anaishi pale na familia yakeupo sahihi bt mara nyingi ninyi wachawi huwaroga watu bila sababu.
unaeza rogwa kisa tu unavaa vizuri kuliko wao, unaeza rogwa kisa tu unaishi vyema na mkeo, unaeza rogwa kisa tu unatekeleza vizuri majukum kazini, wachawi ni watu wa hovyo sana na hawahitaji uwakosee ndo wakuroge.
Ni kweli mkuu,Wako vyema wale mara nyingi ni watu wakuzimuni
Mkuu Kuzimu inaendesha dunia. Kuna ma agent wasiohesabika wa Kuzimu Duniani
Ukiwa mbali na mungu hasa hasa ibada jua tu kuwa lazima uwe mtumwa wa Kuzimu.
Ukweli mchungu, sijui mpira, mziki na makorokoro mengine ni mipango iliyosetiwa ili tumsahau Mungu
Wanawake katika hili wanatumika Sana hasa mavazi vipodozi labda nikwambie tu asilimia 98 ya vipodozi vinapitishwa Kuzimu.
Waganga ni mawakala halisi wa Kuzimu waepuke Sana hao.
duh polUsemacho ni kweli, mimi ni mfano ambao niliwahi kuzikwa kishirikina, lakini Yesu akanitoa kwenye hilo kaburi au gereza.
Masikitiko yangu ni kwamba mtoa mada hujaelezea jinsi ya kufufuka kutoka kwenye hilo kaburi, na dalili zipi utazijua kama wewe binafsi umeshazikwa.