Mazishi ya mtu hai kishirikina

Mazishi ya mtu hai kishirikina

Dadadeeeki kuna mtu alinizulumu nyumba nataka nimzike sitaangalia zaidi imani yangu kwa Mungu wangu ila naangalia wema wangu kwake na alichonilipa. Picha yake nitapata mtandaaoni. Sasa mtani utanisaidiaje. Acha noma iwe noma
 
Nmejaribu kuwaza tu,watu kama diamond,alikiba na watu maarufu wengne hawa mbona hawajazikwa kiroho.maana picha zao nyingi sana why mtu asichukie akawazike huko[emoji23]
 
Mku Mshana ni namna gani watu watajinasua ktk haya.
Mimi niliwahi kutuma picha home nikiwa nje ya Nchi na zile ziliombwa na ndugu wa ukoo na zile picha hazikurudi wa hazijawahi kunekana.
Na baada ya kurudi hapa nyumbani Tanzania na sikurudi kwa kutaka mimi ila nilipata shida kubwa.
Kwa ujumla nimekutana mengi sana Mtani ambayo ni magumu sana
Pole sana mkuu
 
Nmejaribu kuwaza tu,watu kama diamond,alikiba na watu maarufu wengne hawa mbona hawajazikwa kiroho.maana picha zao nyingi sana why mtu asichukie akawazike huko[emoji23]
Wako vyema wale mara nyingi ni watu wakuzimuni

Mkuu Kuzimu inaendesha dunia. Kuna ma agent wasiohesabika wa Kuzimu Duniani

Ukiwa mbali na mungu hasa hasa ibada jua tu kuwa lazima uwe mtumwa wa Kuzimu.

Ukweli mchungu, sijui mpira, mziki na makorokoro mengine ni mipango iliyosetiwa ili tumsahau Mungu


Wanawake katika hili wanatumika Sana hasa mavazi vipodozi labda nikwambie tu asilimia 98 ya vipodozi vinapitishwa Kuzimu.



Waganga ni mawakala halisi wa Kuzimu waepuke Sana hao.
 
Wako vyema wale mara nyingi ni watu wakuzimuni

Mkuu Kuzimu inaendesha dunia. Kuna ma agent wasiohesabika wa Kuzimu Duniani

Ukiwa mbali na mungu hasa hasa ibada jua tu kuwa lazima uwe mtumwa wa Kuzimu.

Ukweli mchungu, sijui mpira, mziki na makorokoro mengine ni mipango iliyosetiwa ili tumsahau Mungu


Wanawake katika hili wanatumika Sana hasa mavazi vipodozi labda nikwambie tu asilimia 98 ya vipodozi vinapitishwa Kuzimu.



Waganga ni mawakala halisi wa Kuzimu waepuke Sana hao.
Usiichafue asili yetu waafrika ,huo uagent wa kuzimu uliwapa wewe?
 
Usiichafue asili yetu waafrika ,huo uagent wa kuzimu uliwapa wewe?
Mkuu hapo ndipo tulipofikia ukubali ukatae.


Tutazunguka weeee lakini nimejiridhisha kwa asilimia 100 Ibilisi na watu wake ndiyo wanaharibu hi dunia uo ndio ukweli


Nasijui wale wanasema hakuna mungu sijui hakuna shetani wanaonekana vituko tu

Kikubwa kama unamshikilia yesu mshikilie kisawa sawa.

Kama ni Allah umshililie hasaaaaa
 
Mkuu hapo ndipo tulipofikia ukubali ukatae.


Tutazunguka weeee lakini nimejiridhisha kwa asilimia 100 Ibilisi na watu wake ndiyo wanaharibu hi dunia uo ndio ukweli


Nasijui wale wanasema hakuna mungu sijui hakuna shetani wanaonekana vituko tu

Kikubwa kama unamshikilia yesu mshikilie kisawa sawa.

Kama ni Allah umshililie hasaaaaa
Waafrika tuna imani zetu,miungu yetu nk.Usinyooshe kidole na kunena mabaya kuhusu imani zetu za asili kwamba ni agents wa ibilisi unless unatumia mrengo wa dini yako ya kikristo.
 
Nmejaribu kuwaza tu,watu kama diamond,alikiba na watu maarufu wengne hawa mbona hawajazikwa kiroho.maana picha zao nyingi sana why mtu asichukie akawazike huko[emoji23]
Unadhani wanakaa kibwege? Uliza asili ya bifu la Diamond na Alikiba
 
Waafrika tuna imani zetu,miungu yetu nk.Usinyooshe kidole na kunena mabaya kuhusu imani zetu za asili kwamba ni agents wa ibilisi unless unatumia mrengo wa dini yako ya kikristo.
Miungu ya wafrika ni Mizimu na ambao ni miongoni mwa makundi ya shetani.

Mkuu tumshukuru Sana Mungu kwa kutuletea uongofu la sivyo tungekwisha.
 
Nmejaribu kuwaza tu,watu kama diamond,alikiba na watu maarufu wengne hawa mbona hawajazikwa kiroho.maana picha zao nyingi sana why mtu asichukie akawazike huko[emoji23]
Hahaha... Hao wanamziki mara nyingi huwa ndio wezi wa nyota za watu...
 
Katika vyote ulivyotaja yani kuringa ndo huwa naringa lakini naringia nini ikiwa sina mali wala gari? Basi tu mi kuwa na bize na inshu zangu ndo kuringa huko Mshana Jr
 
Katika vyote ulivyotaja yani kuringa ndo huwa naringa lakini naringia nini ikiwa sina mali wala gari? Basi tu mi kuwa na bize na inshu zangu ndo kuringa huko Mshana Jr
[emoji3][emoji3][emoji3] hayo yanaitwa maringo yenye manufaaa
 
upo sahihi bt mara nyingi ninyi wachawi huwaroga watu bila sababu.

unaeza rogwa kisa tu unavaa vizuri kuliko wao, unaeza rogwa kisa tu unaishi vyema na mkeo, unaeza rogwa kisa tu unatekeleza vizuri majukum kazini, wachawi ni watu wa hovyo sana na hawahitaji uwakosee ndo wakuroge.
Kweli mkuu nakumbuka kuna nyumba niliwahi panga mitaa ya kigogo Asa yule faza aliyekuwa anasimamia yale mabanda yaani yalikua yao na alikua anaishi pale na familia yake

Kwa jinsi alivyoishika Dini ya kiislamu basi niliamini hawezi kuwa mchawi kiasi kile amini Radio ya elfu20 ilisababisha aniandame kinoma yaani mixer kunifanyia mitego na cha ajabu alikua anajigeuzq paka

Kiukweli nimeamini mchawi na mafanikio ni moto na maji
 
Naweza kutumia picha za Yanga nikawazika kabla ya Jmosi?
 
Hii 40 na kukatika kichwa, naomba ufafanue nijifunze kitu. Huwa nasikia tu 40, ....kumbe inahusiano na "kukatika" kichwa? Kwa vipi? Mshana Jr
 
Wako vyema wale mara nyingi ni watu wakuzimuni

Mkuu Kuzimu inaendesha dunia. Kuna ma agent wasiohesabika wa Kuzimu Duniani

Ukiwa mbali na mungu hasa hasa ibada jua tu kuwa lazima uwe mtumwa wa Kuzimu.

Ukweli mchungu, sijui mpira, mziki na makorokoro mengine ni mipango iliyosetiwa ili tumsahau Mungu


Wanawake katika hili wanatumika Sana hasa mavazi vipodozi labda nikwambie tu asilimia 98 ya vipodozi vinapitishwa Kuzimu.



Waganga ni mawakala halisi wa Kuzimu waepuke Sana hao.
Ni kweli mkuu,

Muziki hasa huu wa kidunia unatoka kuzimu moja kwa moja,

Zile ni ibada za kishetani.
 
Usemacho ni kweli, mimi ni mfano ambao niliwahi kuzikwa kishirikina, lakini Yesu akanitoa kwenye hilo kaburi au gereza.

Masikitiko yangu ni kwamba mtoa mada hujaelezea jinsi ya kufufuka kutoka kwenye hilo kaburi, na dalili zipi utazijua kama wewe binafsi umeshazikwa.
duh pol
 
Back
Top Bottom