Andika uzi wako wa kingine kilichocjakachuliwa huu unahusi Maziwa, Punguza kasi NduguMavitu kibao tu yanachakachulishwa we unawaza maziwa?
Hata hiyo oksjeni unayovuta hapo imechakachuliwa sema ni wewe unawazia mavitu ya kula tu!
Serikali yenyewe imechakachuliwa
Yaan!.. tunaelekea wapi sisi jamaniMighawani ni zaidi ya kufuru, hakuna cha maziwa fresh wala chai ya rangi
Ukiagiza chai ya maziwa unaletewa maji yenye rangi ya maziwa yaliyochanganywa na majani ya chai
Ukiagiza maziwa fresh unaletewa maji yenye rangi ya maziwa!.
Mnunue maziwa wanapofuga na mkaona wanakamua.. tofaut na hapo kuleni Remix ya maziwa hiyo 🤣Anaekamua anaweka maji... Anamuuzia wa reja reha nae anaweka maji.. Anakuja maam ntilie anawekaa majii..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Haya kunywa chai ya Rangi ya maziwaaa.
Maziwa maji maji [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anaekamua anaweka maji... Anamuuzia wa reja reha nae anaweka maji.. Anakuja maam ntilie anawekaa majii..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Haya kunywa chai ya Rangi ya maziwaaa.
Hakika mkuu nakubaliana nawe, nmeacha utaratibu wa kunywa maziwa kwa sababu ya uchakachuaji na sijui wanayoyaongeza yana madhara ganiMnunue maziwa wanapofuga na mkaona wanakamua.. tofaut na hapo kuleni Remix ya maziwa hiyo 🤣
Madhara pia sijui ila bila shaka madhara yake ni ya muda mrefu, maziwa ya unga yana Kemiko mingi sanaaHakika mkuu nakubaliana nawe, nmeacha utaratibu wa kunywa maziwa kwa sababu ya uchakachuaji na sijui wanayoyaongeza yana madhara gani
hicho kifaa kinapima density ya maziwa kama kaweka maji kinamumbua,kama kaweka unga wa ngano kadhalika na tui la naziKaka ahsanteee, sikuwa najua hili