Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi huwa na reject maziwa sana kutoka kwa wakulima wachakachuaji huo ni muarubaini tosha nduguNitakutafuta then nitakupa mrejesho
Binafsi huwa siyapendi kabisaMadhara pia sijui ila bila shaka madhara yake ni ya muda mrefu, maziwa ya unga yana Kemiko mingi sanaa
Bei ya hiyo lactometer ina range kwenye Tsh. ngapi?Tumia lactometer, itakusaidia kujua kama yamechakachuliwa au lah
Tanzania ya leo na isivyokuwa na uaminifu, kila mmoja anataka utajiri wa haraka, asilimia kubwa kwa haramu.Mfanyabiashara anaona Kununua Lita moja ya maziwa fresh ni heri ananunue Kopo la maziwa ya unga na akapata lita zaidi ya 20 za maziwa
View attachment 2858429
na wanayaongeza na Butter 'magarine'
View attachment 2858430
ili yawe na vimafuta na yakipoa yanaonekana kama maziwa halisi ya ngombe
View attachment 2858431
Yani Biashara ya maziwa siku hizi ni uhuni mtupu, maziwa haya tunayouziwa kama maziwa freshi, hakuna kitu, kabisaa hayana virutubisho halali vya maziwa.. ni kujitengenezea faida tu ila hawajalia afya ya watumiaji kwa miaka kadhaa ijayo..
chukua hatua mdau
60-100k mkuuBei ya hiyo lactometer ina range kwenye Tsh. ngapi?
We kula tu uishi siku zako!Andika uzi wako wa kingine kilichocjakachuliwa huu unahusi Maziwa, Punguza kasi Ndugu