Mazungumzo ya amani vita vya Ukraine yanaonyesha jinsi gani dunia imejaa unafiki sana

Mazungumzo ya amani vita vya Ukraine yanaonyesha jinsi gani dunia imejaa unafiki sana

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kituko cha kwanza mazungumzo yanafanyika pasipo wahusika wakuu Ukraine kuwepo katika hayo mazungumzo! Yani ni sawa na umemkamata mgoni anamtafuna mke wako ukazua ugomvi halafu wapatanishi wanakuja wanamchukua mgoni wako wanaenda kukaa naye kikao peke yao wanamuuliza anataka nini kumaliza kesi huku wakiwa hawataki kusikia chochote unachosema!

Kituko kingine ni hiki cha kusema uchaguzi mkuu huru na haki ufanyike Ukraine kama sehemu ya mpango wa amani. Anayepatanisha Saudi Arabia hana hata msamiati wa uchaguzi kwenye kamusi yake, Urusi yenyewe imetawaliwa na mtu mmoja kwa miaka 25 iliyopita wakati Ukraine imebadilisha marais mara tano.
Huu ni wendawazimu!
20250219_202158.jpg
 
Kituko cha kwanza mazungumzo yanafanyika pasipo wahusika wakuu Ukraine kuwepo katika hayo mazungumzo! Yani ni sawa na umemkamata mgoni anamtafuna mke wako ukazua ugomvi halafu wapatanishi wanakuja wanamchukua mgoni wako wanaenda kukaa naye kikao peke yao wanamuuliza anataka nini kumaliza kesi huku wakiwa hawataki kusikia chochote unachosema!

Kituko kingine ni hiki cha kusema uchaguzi mkuu huru na haki ufanyike Ukraine kama sehemu ya mpango wa amani. Anayepatanisha Saudi Arabia hana hata msamiati wa uchaguzi kwenye kamusi yake, Urusi yenyewe imetawaliwa na mtu mmoja kwa miaka 25 iliyopita wakati Ukraine imebadilisha marais mara tano.
Huu ni wendawazimu!
View attachment 3242089
Unashangaa nini wakati walianzisha Ukraine.
Mkutano wa kwanza wa kumaliza vita uliitishwa na Ukraine nchini Swithland bila ya kumualika Russia so unachoona cha ajabu ni nini
Trump ametoa sqbabu za kutowaalika Ukrain wala Urope ni kwamba wangeweza kumaliza vita hata kabla havijaanza kwa mazungumzo lakini wao walichagua vita na pia wamekutana mara ngap and what was the outcome
 
Ww si kila siku tulikuwa tunakuambia kuwa Marekani ana angalia maslahi yake kwanza sema ana tumia ajenda ya demokrasia kueneza siasa zake chafu ulimwenguni ww ukawa unakaza kichwa.
Bila shaka ukweli ulikuwa unaujua sema kwasababu unafiki na chuki umekujaa tu.
Gadafi angekuwa mlinda masilahi ya wamagharibi mpaka sasa angekuwepo.

Wanataka kuipindua Serikali ya Iran kwa kudai sio ya kidemokrasia lakini wakati huo ndo walinzi wakuu wa tawala za ghuba.
 
Kituko cha kwanza mazungumzo yanafanyika pasipo wahusika wakuu Ukraine kuwepo katika hayo mazungumzo! Yani ni sawa na umemkamata mgoni anamtafuna mke wako ukazua ugomvi halafu wapatanishi wanakuja wanamchukua mgoni wako wanaenda kukaa naye kikao peke yao wanamuuliza anataka nini kumaliza kesi huku wakiwa hawataki kusikia chochote unachosema!

Kituko kingine ni hiki cha kusema uchaguzi mkuu huru na haki ufanyike Ukraine kama sehemu ya mpango wa amani. Anayepatanisha Saudi Arabia hana hata msamiati wa uchaguzi kwenye kamusi yake, Urusi yenyewe imetawaliwa na mtu mmoja kwa miaka 25 iliyopita wakati Ukraine imebadilisha marais mara tano.
Huu ni wendawazimu!
View attachment 3242089
Kwani uchaguzi unafanyika Russia au Saudi ?

Kwani wao Russia na Saudi kutokufanya uchaguzi wa kukufurahisha wewe kuna wazuia nini wao Ukraine kufanya uchaguzi wa kukufurahisha wewe na waukraine wenzako ?
 
Ukraine ilipoteza furusa muhimu ya kufikia makubaliano kwenye mazunzumzo yaliyo fanyika mjini Istanbul mwanzoni mwa vita, hati ya makubaliano ilikuwa imekamilika kilicho kuwa kinasubiliwa ni saini tu, Ukraine ikajiondoa baada ya kushawishiwa na Uingereza kuwa waendelee kupigana watawasaidia mpaka ushindi.
 
Ukraine ilipoteza furusa muhimu ya kufikia makubaliano kwenye mazunzumzo yaliyo fanyika mjini Istanbul mwanzoni mwa vita, hati ya makubaliano ilikuwa imekamilika kilicho kuwa kinasubiliwa ni saini tu, Ukraine ikajiondoa baada ya kushawishiwa na Uingereza kuwa waendelee kupigana watawasaidia mpaka ushindi.
Uingereza wenyewe ndio hao wanabadili mawaziri wakuu kama nguo za ndani

Borris mzee wa Javelin hayupo tena haah
 
Uingereza wenyewe ndio hao wanabadili mawaziri wakuu kama nguo za ndani

Borris mzee wa Javelin hayupo tena haah
Nyie msiobadili viongozi mnawashinda nini hao waingereza kama hata vyoo vya shule tu mnashindwa kujenga..😛😛😛
 
Kituko cha kwanza mazungumzo yanafanyika pasipo wahusika wakuu Ukraine kuwepo katika hayo mazungumzo! Yani ni sawa na umemkamata mgoni anamtafuna mke wako ukazua ugomvi halafu wapatanishi wanakuja wanamchukua mgoni wako wanaenda kukaa naye kikao peke yao wanamuuliza anataka nini kumaliza kesi huku wakiwa hawataki kusikia chochote unachosema!

Kituko kingine ni hiki cha kusema uchaguzi mkuu huru na haki ufanyike Ukraine kama sehemu ya mpango wa amani. Anayepatanisha Saudi Arabia hana hata msamiati wa uchaguzi kwenye kamusi yake, Urusi yenyewe imetawaliwa na mtu mmoja kwa miaka 25 iliyopita wakati Ukraine imebadilisha marais mara tano.
Huu ni wendawazimu!
View attachment 3242089
Ukraine ni kama platform tu, wanaopigana ni Urusi na NATO/USA. na ndio maana wanafanya mazungumzo vita iishe.
 
Trump kaamua kuwa kibaraka wa Putin, unamuita Zelenskyy dikteta wakati Putin ndo dikteta maarufu duniani
Kituko cha kwanza mazungumzo yanafanyika pasipo wahusika wakuu Ukraine kuwepo katika hayo mazungumzo! Yani ni sawa na umemkamata mgoni anamtafuna mke wako ukazua ugomvi halafu wapatanishi wanakuja wanamchukua mgoni wako wanaenda kukaa naye kikao peke yao wanamuuliza anataka nini kumaliza kesi huku wakiwa hawataki kusikia chochote unachosema!

Kituko kingine ni hiki cha kusema uchaguzi mkuu huru na haki ufanyike Ukraine kama sehemu ya mpango wa amani. Anayepatanisha Saudi Arabia hana hata msamiati wa uchaguzi kwenye kamusi yake, Urusi yenyewe imetawaliwa na mtu mmoja kwa miaka 25 iliyopita wakati Ukraine imebadilisha marais mara tano.
Huu ni wendawazimu!
View attachment 3242089
 
Back
Top Bottom